Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 22,768
- 20,005
Kuku kwa Kabila watamu sana na viburudisho mtaa wa OstabayBabati stendi, kuanzia saa 12 asubuhi unapata.
Kuku kwa Kabila watamu sana na viburudisho mtaa wa OstabayBabati stendi, kuanzia saa 12 asubuhi unapata.
Njia nyingi kubwa za malori kwenye miji mikubwa huu utaratibu mboona kawaida sana,last week nilipiga ugali pale singapore(singida) asubuhi..
Mkuu,kule sio Tanzania..njia imejaa malori ya makaa ya mawe..Njia ya Dar, Lindi, Mnazi mmoja, masasi, kwenda tunduru kupita kilimasere, hadi namtumbo, songea hadi mbinga hawana huo utaratibu kabisa utanusanusa nangulukuru kwingine usishangae ukakuta giza tupu
Hahaha Mkuu hapo ni kukesha tu hamna namna.Rweru
Ila tuache utani kuna Kaspasi diferenti pande hiyo.....Rweru
Ikwiriri tu ndo PATAMUNjia ya Dar, Lindi, Mnazi mmoja, masasi, kwenda tunduru kupita kilimasere, hadi namtumbo, songea hadi mbinga hawana huo utaratibu kabisa utanusanusa nangulukuru kwingine usishangae ukakuta giza tupu
Mungu FundiHahaha Mkuu hapo ni kukesha tu hamna namna.
Ila tuache utani kuna Kaspasi diferenti pande hiyo.....
Unguja saa 12:00 asubuhi chapati na supu ya kuku tayari.
Ikwiriri tu ndo PATAMU
Wakora Wakora!!Mungu Fundi
Huku Ni Tofauti Sana Ukiutazama Mto Kagera Unaanzia Kyerwa Huko Mpaka Rwanda. Haa
Mungu Fundi
Huku Ni Tofauti Sana Ukiutazama Mto Kagera Unaanzia Kyerwa Huko Mpaka Rwanda. Haa
Kabisa MkuuHalafu pale ikwiriri pana mchongo wa milango na vitanda na frem za mbao pori kama unajenga kuliko kupigwa na wahuni wa mbagala afadhali ikwiriri unakata na vibali mambo yananyooka
Dogo nitumie namba yako PM nikutumie muamala wa supu, naona unastress sanaMbwembwe tuu. Mtu unakaa kwenye kiti umening'iniza poumbou mkono huko usukani kila baada ya kilomita 10 unasimama kwa mama ntlie kula na kupiga umbea na madereva wenzako iyo unaita kazi? Kuna wanaume wako kazini shambani na migodini hawaendekezi msosi na kulakula hovyo hovyo ni kazi kwenda mbele.
Ukitoka Nkwenda Kuvuka Maji Ziwa RushwaUkishavuka mto kagera hali ya hewa inabadilika
Karibu sana A City. The Geneva of AfricaArusha napakubali Sana , asubuhi Sana unakuta mitura ya kutosha , nyama choma ndizi choma na supu zote zipo tayari
Katima Mulilo Zambezi Mkuu umenikumbusha mbali...Ukishavuka mto kagera hali ya hewa inabadilika
Dogo nitumie namba yako PM nikutumie muamala wa supu, naona unastress sana
Ni sehemu? Wapi huko?KASUMBALESA
Congo na Zambia BODA Mega barani Africa Town ya Ukweli...pesa aina zote Duniani ZINATUMIKA ...jirani mutu moya Moize KatumbiNi sehemu? Wapi huko?