Katoliki ni zaidi ya uijuavyo!

Katoliki ni zaidi ya uijuavyo!

Kwani wewe unapohubiri Yesu si Mungu unaona raha eeh? Muhubiri isa wako uone kama kuna Mkristo atajali, lakini unapo Mtaja Yesu ndipo utajua Ukristo una wenyewe na Injili Inachoma
Ngoma droo. Wewe hubiri imani yako acha kutukana dini za wenzio. Mbuzi wewe! Nitakufuata usiku nikufanyie kitu kibaya bure. Shenzy!
 
Ngoma droo. Wewe hubiri imani yako acha kutukana dini za wenzio. Mbuzi wewe! Nitakufuata usiku nikufanyie kitu kibaya bure. Shenzy!
Umebakia unatukana unatukana weka tusi moja nililo tukana ili watu wapime...tatizo lako wewe ni muislamu sio muumini nakushangaa sana unapoitambulisha ilimu islamu kwamba ni matusi
 
Acha ujinga wewe!
Umebakia unatukana unatukana weka tusi moja nililo tukana ili watu wapime...tatizo lako wewe ni muislamu sio muumini nakushangaa sana unapoitambulisha ilimu islamu kwamba ni matusi
 
Ujinga wako unajulikana.
wewe umekamilika? Kila aitwaye Mwanadamu anayo mazuri yake na mabaya hajakamilika! Unapo ninyooshea kidole kimoja Mimi ni mjinga vitatu vina-kupoint wewe kwamba ni mjinga zaidi Yangu na kidole kimoja gumba kinachoelekea juu kinamaanisha Mungu anashuhudia badilika bro...
 
wewe umekamilika? Kila aitwaye Mwanadamu anayo mazuri yake na mabaya hajakamilika! Unapo ninyooshea kidole kimoja Mimi ni mjinga vitatu vina-kupoint wewe kwamba ni mjinga zaidi Yangu na kidole kimoja gumba kinachoelekea juu kinamaanisha Mungu anashuhudia badilika bro...
Basi kama unaamini si mkamilifu acha kutupia picha za kukashfu uislamu na picha zq nyamafu na nyama ya Nguruwe humu. Tutakwenda sawa.
 
Dini ni taasisi tu jamani Mungu wetu ni mmoja sote mwenye Upendo & kweli , haya ni matabaka tuliyojiwekea sie hapa duniani.
 
Basi kama unaamini si mkamilifu acha kutupia picha za kukashfu uislamu na picha zq nyamafu na nyama ya Nguruwe humu. Tutakwenda sawa.
wewe unapo itakidi Yesu si Mungu unakashifu Mimi nasema hujakashifu wala kutukana,hiyo ni kwa mujibu wa deen yako na Mimi ninapo sema muhammad sio Mtume na allah sio Mungu sijakashfu wala kutukana ila ni kwa mujibu wa Imani yangu kinacho takiwa ni uvumilivu wa deen/Imani ambao nyinyi ndugu zetu ktk Adam hamna.. Ref;
2d2a7f753fd96dd2189577ad123696b2.jpg
hadi hata baniani amewashinda...kwake baniani ng'ombe ni kitakatifu lakini lakini kwetu sisi ni mboga, na Hana ghazab unapo mchinja ng'ombe akiamini hicho ukifanyacho iko siku utalipia uovu wako sio kama wewe umefikia kumuita mtu anae kupinga kumuita, shoga, unanafirwa, ku...maye mtu unaye mtukana ataona deen yako ni ya matusi na hawezi kukufuata sababu ya wewe hoja haijibiwi kwa matusi ilaha hoja elimishi...endelea kunilingania deen yako kwa Njia ya matusi
 
Basi kama unaamini si mkamilifu acha kutupia picha za kukashfu uislamu na picha zq nyamafu na nyama ya Nguruwe humu. Tutakwenda sawa.
We we ndio umeyataka kuanza kusema Yesu so Mungu Mara utatu mtakatifu ni uongo! Ata sisi wakristu tukiamua kuchafua hali ya hewa tunaweza, umepewa vyako unaghafilika oh kashfa! We kusema utatu mtakatifu ni uongo kwako unaona siyo kashfa? Ukijaribu kutusema tu! Skuizi hakuna kuogopana tunaamsha dude, cha msingi ujue tu, huna haki na huruhusiwi kuurekebisha ukristo. Kama unaamini cha kwako ni sahihi baki nacho, sisi hatuutaki uislamu , kwanza dini gani haijiamini waumini wanajiridhisha kwa kukashifu ukristo.
 
Hakuna dhehebu ninalolikubali kama R.C.

Kuna mada nitaiweka Jamii Intelligence kulihusu.
 
Back
Top Bottom