Katika watu wanaojuta ni Arfi Said

Katika watu wanaojuta ni Arfi Said

Arfi akauze mgahawa mape kwake mpanda, nyumba iko barabarani ni pazuri kwa biashara..asingemuweza kapufi..
 
anapambana na kabour mjini, sijui ukawa watamsimamisha nani. lowasa aende eneo hilo ahamasishe vya kutosha ili kabour na zzk wote waangukie pua
nilishaandika humu kwamba Zitto kabwe hawezi kuwa mbunge tena nchi hii hata akienda kugombea kondoa .
 
Na bado tunazidi kuimarisha Chama na UKAWa kwa ujumla wake
 
Umenena vema. Alilikoroga mwenyewe BMK,atajuta kuijua CHADEMA. Unafiki,ujinga na uchumia tumbo ndio umemfikisha hapo. Akafie mbele huko.
Tusemeje sasa mkuu,
Wanakera sana watu wanapenda kuishi kwa kupewa pewa tu, sasa atajua mbivu na mbichi,
 
Arfi said alikuwa mbunge wa mpanda mjini kwa tiketi ya CHADEMA. Pia aliwahi kuwa makamu mwenyekiti bara. Huyu mh alionesha kiburi chake ktk BMK eti katumwa na wanampanda kutetea maoni yao.

Kwa sasa anajuta,ameondoka CHADEMA, akajiunga na CCM na alichukua fomu ya Ubunge kupitia CCM,matokeo yake kapigwa chini kura za maoni. Sasa hivi anahaha hajui cha kufanya,anazomewa kila mahali. Haya ndio matokeo ya usaliti.

Mtu mwingine anayejuta kujiona much know ndani ya CHADEMA ni ZZK,hasikiki tena na hana jipya. Wale wabunge 50 aliowasema sijui wamepotelea wapi au ndio ule uongo,uhuni na uzushi wake wa mabilioni ya uswisi?

Sisi tuko UKAWA,ndio habari ya mjini.

Sawa nawale wabunge 178na wenyeviti 27wamikoa ccm kwenda upawa sijui wapo wapi
 
Hii nchi ina mambo!tunatoa mafisadi tunaweka mafisadi,halafu walalahoi wanashabikia utafikiri mazuzu
 
UKAWA itakutesa sana mwaka huu.
Maumivu yakizidi muone daktari.

Huo ugonjwa wenu wa vyama sio wote wanaumwa,nyie mnafikiri watanzania wote ni wa kudanganywadanganywa na hawa walafi,walio madarakani tokea enzi za Nyerere,halafu leo wanawadanganyeni watawaletea neema.Fanya kazi kwa bidii ujiletee maendeleo yako binafsi,ukiwategemea wanasiasa wakuletee maendeleo utasubiri sana
 
huyo arfi ni darasa la saba. tumechoka kupeleka watu wenye uelewa mdogo bungeni. boda kodi yangu imlipe mtu ambaye ataitolea jasho. kuhusu Zitto umechemka. Zitto is there to stay, hata kama hupendi na hao nyumbu wenzako.

Arfi said alikuwa mbunge wa mpanda mjini kwa tiketi ya CHADEMA. Pia aliwahi kuwa makamu mwenyekiti bara. Huyu mh alionesha kiburi chake ktk BMK eti katumwa na wanampanda kutetea maoni yao.

Kwa sasa anajuta,ameondoka CHADEMA, akajiunga na CCM na alichukua fomu ya Ubunge kupitia CCM,matokeo yake kapigwa chini kura za maoni. Sasa hivi anahaha hajui cha kufanya,anazomewa kila mahali. Haya ndio matokeo ya usaliti.

Mtu mwingine anayejuta kujiona much know ndani ya CHADEMA ni ZZK,hasikiki tena na hana jipya. Wale wabunge 50 aliowasema sijui wamepotelea wapi au ndio ule uongo,uhuni na uzushi wake wa mabilioni ya uswisi?

Sisi tuko UKAWA,ndio habari ya mjini.
 
Back
Top Bottom