Katika roho hii ya utaifa huu ni wito wangu

Shayu

Platinum Member
May 24, 2011
608
1,653
Maendeleo ya binadamu yamepiga hatua sana pale binadamu walipoamua kuishi pamoja.
Tatizo moja la kimsingi kabisa lililopelekea binadamu kuwa na serikali ni changamoto ambazo binadamu alikuwa anakumbana nazo. Kiu ya binadamu kubadilika na kutawala mazingira yake. Kwa jamii yeyote ile ingekuwa vigumu kupiga hatua ya kimaendeleo bila uongozi.


Kwahiyo binadamu walihitaji kiongozi ambaye angewaongoza kuwaonyesha nini cha kufanya na ni wakati gani. Ambaye angeleta order katika jamii na ku organize watu ili wajiletee maendeleo yao wenyewe.


Fukuto hili ndani ya binadamu la kuleta maendeleo, la kumbadilisha mtu kutoka katika uasili wake alioumbwa nao kuja katika High level of spiritual and intellectual capability. Binadamu tunayemuona sasa sio wa miaka elfu kumi iliyopita. Nguvu yake na uwezo wake umekuwa mkubwa mno. Kwa miaka mingi imekuwa ikiaminiwa kiongozi ndiye mshika ''maono'' ndiye anayejua Taifa lielekee wapi. Siongelei viongozi tulionao. Naongelea viongozi ambao intellectual capacity and moral insights zao ni za juu. Viongozi waleta mabadiliko.


Katika Taifa mabadiliko haya lazima yaanzishwe, this moral courage to transform our country to the better end.


Ni lazima tukumbuke wakati tukikimbizana na kuwa na utajiri wa mali. Tusisahau utajiri wa kiroho na utajiri wa kiakili. Tunahitaji vitu hivi viwili ni muhimu. Hatuwezi kusema sisi ni Taifa lilo endelea bila kuwa na ''morals'' na kuwa na raia wenye uwezo wa ku discern btn wrong and right na kufuata kilicho sahihi kwa nguvu zote.


Tunahitaji kuundwa harmonius society. Watu wetu wakiwa na afya nzuri ya kiakili na kiroho na wenye furaha. Kwahiyo ni lazima tuunde taifa lenye watu wenye furaha na kuridhika. Hii haitofanikiwa bila uongozi wa Haki. Hatutaweza kujenga Taifa hili katika mantiki ya kukandamizana na Taifa hili likaendelea kuwepo.

Uzuri wa Taifa lolote lile hujengwa na watu. Roho ya Taifa hili lazima ijengwe. Kama nilivyosema mahusiano yetu ni muhimu sana katika ujenzi wa Taifa hili. Hii ni kweli hata katika familia. Baba aliyejenga familia yake katika upendo na amani na ushirikiano ataipenda familia yake na kufurahia kuwepo nyumbani kwake na watoto watafurahia nyumba hiyo.


Swali la kujiuliza kwanini watu wana kuto kuridhika na kulalamika? Kutoweka kwa nguvu ya pamoja katika ujenzi wa Taifa hili chanzo chake ni nini? kutoweka kwa uzalendo ni nini chanzo chake? Katika maswali yote haya raia hawawezi kuwa ni Tatizo. Kuvunjika kwa familia huwezi kumlaumu mtoto kwa namna yeyote ile. Kiongozi imara huweka Taifa lake katika umoja. Huingiza msukumo kwa watu wake, Msukumo huu kutoka ndani kabisa ya raia wa Taifa lake kulisongesha Taifa mbele.


Katika tafakuri yangu nimegundua kuna serikali ya kibwanyenye Sio lazima iingie madarakani kwa kupindua hata serikali iliyoingia madarakani kwa kupindua inaweza kuwa bora kuliko ili iliyoingia kwa kuchaguliwa. Inaweza kuingia madarakani kwa ulaghai na uongo lakini ndani ya moyo wao kukawa hakuna nia ya dhati ya kuhudumia wananchi.


Serikali ya namna hii hupenda raha na wala haiwafikirii wananchi hata ikifanya jambo haifanyi kwa dhamira ya dhati ya moyo bali kutaka kuendelea kubaki madarakani, haiguswi na matatizo ya wananchi. Serikali ya namna hii huangalia mali na anasa. Haijengi kitu chochote katika ukamilifu wake kila kitu hujenga juu juu ili waje kuonyesha tumewafanyia hiki na hiki ili wapate kupata kura. Ni serikali ya kikandamizaji. Wananchi hawana uhuru wa dhati kutokana na njaa na magonjwa. majeshi ya ulinzi na yale ya polisi yanakuwa hayako kwaajili ya ku serve wananchi bali kuikundi kidogo cha watu serikalini.


Majeshi ya polisi ambayo yangetakiwa yawe huru kutumikia wananchi na sheria za nchi hutumiwa kukandamiza democrasia kwa maslahi ya serikali. Kwahiyo tutadanganyana kama tukisema tukichagua tu ndio tutakuwa Taifa la kidemocrasia bila ya kuondoa hizi elementi za serikali ya kibwanyenye na kuweka serikali huru inayotumikia raia kwa faida ya wote.


Hatuwezi kuendelea kuwa na viongozi wanaoamua wanavyotaka na wasiotumia maliasili ya nchi hii visivyo. Maliasili ya nchi hii lazima inufaishe watu wote. Na kodi za nchi hii lazima zitumiwe ipasavyo. Ni lazima tuunde Taifa ambalo viongozi wana heshimu mali za umma. Viongozi wanao tambua kwamba cheo ni dhamana.


Kwamba hakuna yeyote ambaye atakaye kuwa juu ya sheria. Bila mambo haya hatutaleta Order na maendeleo katika Taifa hili. Viongozi lazima wajue wao ni watumishi tu wa watu na wasinyanyue pembe zao. Serikali lazima iwe subjected to the people.


Watu lazima wawe na mamlaka dhidi ya serikali yao. Wana haki ya kimsingi ya kuiwajibisha serikali yao. Lazima serikali iheshimu raia, hili ni lazima lijengeke. Ni lazima tutengeneze nchi ambayo viongozi na wananchi ni kitu kimoja. Nchi yetu haiwezi kuendelea kuwa na serikali yenye mfumo wa kibwanyenye, watu wakiitumikia serikali badala ya serikali kuwatumikia wao. Ukandamizaji lazima uishe haraka sana. Wizi lazima uishe. Kuibia wananchi ni dhambi na ni usaliti.


Ni wakati sasa kwa nchi yetu kurudi katika dira. Ni wakati kwa nchi yetu kuona baadae yake. Ni wakati sasa kwa nchi yetu jua la asubuhi kuiimulikia. Ni lazima tujenge Taifa la watu huru na wenye matumaini. Hatuwezi kuendelea na ukandamizaji hili ni Taifa moja na watu wetu ni lazima wawe huru.

Kodi lazima itumike vizuri kwa maendeleo ya nchi na sio kuwa starehesha viongozi. Ni lazima tujenge Taifa hili katika maadili na uzalendo. Kuna watu vijijini wanahitaji msaada wetu, maendeleo hayawezi kuwa ya sehemu moja tu. Hatutaweza kujenga taifa wakati upande mmoja ukiendelea na mwingine ukichechemea. Kama ni matumaini ni lazima yajengwe kwa wote.

Tumekuwa Taifa la watu wabinafsi. Taifa la watu wenye malengo ya kibinafsi. Hatuwezi kuendelea kuishi hivi tuka jiita Taifa. Ni lazima tuwasomeshe watu kwa malengo ya kuleta mabadiliko katika Taifa na si vinginevyo.


Elimu yako lazima itumike kuwaelimisha wengine juu ya utaifa, jinsi ya kuishi na mambo mengine yatakayokuza uelewa wa watu wetu. Hatuwezi kuendesha Taifa hili bila elimu iliyo bora.


Ni lazima tujenge upya fikra za watu wetu. Fikra za watu za sasa hazitaweza kutufikisha mbele. Hii imeonyesha hivyo. Bila maadili hatutaweza kupiga hatua kama Taifa.

Elimu yetu lazima ijengwe katika misingi ya maadili na nidhamu.


Fikra za watu wetu ni kitu ambacho ni lazima tujenge wenyewe. Nchi hii haihitaji starehe. Inahitaji kutumia akili nyingi na juhudi nyingi ili tuondokane na umaskini, ujinga na maradhi. Hatuwezi kujenga Taifa letu katika umarekani. Hatuwezi kujenga wasichana wetu ku behave kama wakina Rihanna NO we are Noble people. Sisi ni Taifa ambalo ni lazima tutie juhudi kukua.


Ni lazima tujenge fikra za watu wetu kutafuta maarifa kuliko kitu chochote kile ulimwenguni hapo ndipo tutafanikiwa. Hatuwezi kuendelea kwa kugeza tabia za kipuuzi za wamarekani na kuacha zile za kimsingi walizo nazo hasa za kulipenda Taifa lao na za kutafuta maarifa. Ni lazima tujitegemee kiutamaduni na mbeleni ki technologia.


Kwa nini tushindwe kama tutaamua na kama tutakuwa wamoja na kuweka fikra zetu katika ujenzi wa Taifa hili?


Watu wetu ni lazima wawe wazalendo. Ni lazima tulilete Taifa pamoja. Ni lazima tuwe kama jeshi lililojikusanya kuvamia. Hii nguvu iko mikononi mwetu. Nguvu dhidi ya umaskini, maradhi na ujinga iko mikononi mwetu. Ni lazima tujipange kuishambulia kwa akili na jash .


Hii inahitaji utashi wa kisiasa tu na utayari wa kuchukua majukumu.

Juu ya yote pamoja na umaskini wote wa Afrika na watanzania. Waafrika tumekuwa watu wenye ku relax zaidi kuliko wamarekani na watu wa ulaya. Tusitegemee maendeleo yataletwa pasipo kufanya kazi. Ni lazima tufanye kazi na ni lazima tuwe na program makini ya maendeleo letu bila kazi maendeleo hakuna. Bila kutumia uwezo wetu wa kiakili maendeleo hakuna. Taifa hili tutalijenga sisi. Ubora na uzuri wa Taifa hili ni jukumu letu.


Naona kabisa Taifa hili lina uwezo wa kuendelea na kuwa kubwa Taitizo ni uongozi.Kama tuta plan Elimu yetu vizuri itakayomfanya mwanafunzi kuwa mwenye kufikiri, mwenye nidhamu na uzalendo tutapiga hatua fulani.


Lakini kiini cha matatizo yetu ni uongozi. Kiongozi ni lazima awe na maono. Ni lazima awe na skills za uongozi. Kuwaleta watu pamoja katika malengo mamoja na ku mantain Order. Hatutaweza kuendelea na nchi hii na viongozi wanaofanya ufisadi na kuiacha nchi peke yake.


Ni lazima tutambue tunapoelimisha watu wetu sio kusudi wapate mkate tu wa kula, wana majukumu kwa Taifa hili. Kuendelea kuwepo kwa Taifa hili kutawategemea wao. Kulilinda na kuliendeleza Taifa hili kutategemea sana akili za watu wetu. Busara na maarifa ya watu wetu ndiyo itakayopelekea kuendelea kuwepo kwa Taifa hili au kupotea.


Tuwakabidhi watoto wetu Taifa hili kama yai na tuwaambie walilinde kwa maarifa yote. Serikali ni lazima watambue ni lazima wajenge elimu iliyobora ili baadae ya Taifa hili iwe na nuru sio kufanya tu ili kutimiza ilani. Tutakosa watu wa kujenga Taifa hili au tutatengeneza matabaka ya wale waliosoma Nje ya nchi na wale wa ndani. Watawala na watawaliwa na matokeo yake itakuwa ni mapinduzi. Ili Tujenge Taifa la ki democrasia ni lazima kila mtu ajihusishe katika ujenzi wa Taifa lake na kila mtu awe huru chini ya sheria. Tusiendelee kujenga taifa la watu wanaokandamizana au wanaoingia kwenye uongozi kwa maslahi binafsi.


Lakini pia ubora wa Taifa letu utategemea pia ubora wa vyama vyetu vya siasa na watu wanaoviunda. Mawazo yao na itikadi zao.


Juu ya yote ni lazima tuwe na itikadi ya Taifa ambayo itakuwa dira kwa vyama vyote. Hili ni jambo la muhimu kwa Taifa. Umoja wa Taifa letu ni jambo ambalo ni la kimsingi. Ni lazima tuunde Taifa la watu ambao wanajaliana. Kama unaenda jeshini unaenda kwasababu unapenda kutoka nafsini kulinda raia na unafanya hivyo kwa mapenzi na sio kwa mshahara au kwasababu umekosa kazi. Kila kazi katika Taifa hili ni lazima iwe ni kazi yenye thamani ili mradi iwe halali kwasababu ni yenye kusaidia wengine. Hii ni mantiki ya mgawanyo wa kazi hatuwezi kuwa wote madaktari, manesi nk. Tunatumikia Taifa moja.


Taifa hili lazima liwe katika mwelekeo mmoja na tumaini moja. Ni lazima tuamini tunauwezo wa kujenga Taifa nzuri mbalo roho zetu zitaiishi na watu wa makabila yote na dini zote watarifurahia na kushangilia utaifa wao. Taifa ambalo wanamichezo wataenda kulipigania sio sababu ya hela bali sababu ya uzalendo wao. Taifa ambalo watu watafurahia kulitumikia na watu wake bora watapewa nishani na kuheshimiwa na vizazi vyote.


Taifa ambalo thamani ya mtu ni utumishi wake uliotukuka kwa Taifa na kwa watu. Katika matumaini haya ninatembea, ninaishi na ninaota. Ya kwamba siku moja tumaini litafufuka kama mmea uchupuavyo kutoka ardhini na watu wa Taifa hili watatambua, ya kwamba; Taifa hili linauwezo wa kukua na kuwa kubwa na kama Taifa lolote lingine lililowahi kuwepo duniani kama tukiwa wamoja, kama tukitia juhudi na kama tukitumia muda wetu kutafuta maarifa na hekima. Katika tumaini hili ni lazima tuishi, ni lazima tuote ni lazima tulifanyie kazi.

Kaka na dada, baba na mama. wajomba na mashangazi kama tutakuwa wamoja hakuna kitakacho tushinda. Ndani yetu kuna roho ikiamua na ikadhamiria kutoka katika hakuna tutakuwa nacho. Kutoka katika dharau tutaheshimiwa. Ni lazima tutambue tunachohitaji kama Taifa. Hii ni ndoto na ni lazima imee kwa kila mtanzania, Kutoka mtaani mpaka chuoni. Watu wetu bora wa Taifa hili lazima tujiunge pamoja. Katika Roho hii ya utaifa huu ni wito wangu.
 
Maendeleo ya binadamu yamepiga hatua sana pale binadamu walipoamua kuishi pamoja.
Tatizo moja la kimsingi kabisa lililopelekea binadamu kuwa na serikali ni changamoto ambazo binadamu alikuwa anakumbana nazo. Kiu ya binadamu kubadilika na kutawala mazingira yake. Kwa jamii yeyote ile ingekuwa vigumu kupiga hatua ya kimaendeleo bila uongozi.
Hakika na changamoto hizo ndio zilizopelekea kuwa na chombo kinaitwa serikali kinachoratibu mwenendo wa shughuri za jamii katika kujiletea maendeleo kwa njia za haki na salama pasipo dhuruma, matumizi ya mabavu, wizi n.k.

Kwahiyo binadamu walihitaji kiongozi ambaye angewaongoza kuwaonyesha nini cha kufanya na ni wakati gani. Ambaye angeleta order katika jamii na ku organize watu ili wajiletee maendeleo yao wenyewe.
Hapa ndipo zikapatikana famila za kifalme, chief, majemadali n.k na kwa karne hizi za sasa ni watwala tuliona nao kwa njia za demokrasia kama Rais , wabunge n.k[/QUOTE]

Fukuto hili ndani ya binadamu la kuleta maendeleo, la kumbadilisha mtu kutoka katika uasili wake alioumbwa nao kuja katika High level of spiritual and intellectual capability. Binadamu tunayemuona sasa sio wa miaka elfu kumi iliyopita. Nguvu yake na uwezo wake umekuwa mkubwa mno. Kwa miaka mingi imekuwa ikiaminiwa kiongozi ndiye mshika ''maono'' ndiye anayejua Taifa lielekee wapi. Siongelei viongozi tulionao. Naongelea viongozi ambao intellectual capacity and moral insights zao ni za juu. Viongozi waleta mabadiliko.
Hawa viongozi shayu waleta mabadiliko kwa sasa, Tanzania kama Taifa wametupwa kwa kuwa kiongozi mwenye kuishi kwa kuona vision au intuition ya kuitoa jamii yetu toka eneo moja la maendeleo kwenda jingine imekuwa ni adimu, wao kujitokeza kwa kuwa mfumo wa jamii unaotumika kwa sasa kuwapa fursa wao haufanani na wao kuwapa mazingira ya kuitumika jamii.

Kwanini imekuwa adimu kwao, kwa kuwa viongozi wanaounda Serikali waliopatikana kwa njia ya uchaguzi, wamegeuka kuwa ni maadui wa aina ya viongozi ambao wana baraka/talent ya kuweza kuleta maendeleo na hivyo kuwafungia milango ya kuwapa fulsa ya kutumika kwenye jamii kuonyesha na kufungua milango yao ya ufahamu ya kulitoa Taifa toka eneo moja la mafanikio na nyakati kwenda eneo jingine la maendeleo.Kama binadamu pungufu walivyo kuwa na greed, tamaa, vijicho na mengineyo mengi yenye sura za kujitizama binafsi na si kujitizama katika picha ya kukubali kuwa popote duniani kuna binadamu fulani Mungu kamuumba kutenda mambo fulani unique kwenye jamii na kuwa wanastahiki nafsi ya kutenda hayo ili jamii ifurahie zawadi hiyo ya Muumba kwa binadamu mwingine.Uchoyo huo wa baadhi wa watendaji na viongozi wa Serikali yetu na baadhi ya Serikali za kiaafrika umefunga na kutisha kada ya viongozi waleta mabadiliko na kuwafanya waoga wa kujitokeza na hivyo kubaki wakisublia Mungu alete mmujiza kwa namna ambayo wao wanaamini.Na watu wa ina hiyo asilimia kubwa ni watu wa imani.


Katika Taifa mabadiliko haya lazima yaanzishwe, this moral courage to transform our country to the better end.
Hapa ndipo penye utata!!!Nani atakuwa wa kwanza kuanzisha aina hii ya mageuzi!!!!Kwa kuwa tumeona baadhi ya kada zipojaribu kutaka kubadilisha na kuleta mageuzi yaliyowasibu kwa sasa imekuwa historia.Binafsi ni muumini wakuwa kila jambo lina nyakati zake na hivyo,hata haya yanayojili Tanzania yatapata majibu, na majibu yanaanza hatua kwa hatua aiwezi kuwa ni jibu la siku moja.Ingawa tendo la mageuzi haitachukua muda wa mwezi, duniani yote pale kundi kubwa la watu lilipoona kundi dogo la watu linadhurumu haki yao, basi mageuzi yalitokea na matokeo yake jamii uingia kwenye mtafaruku ambao uzaa aina mpya ya mfumo wa maisha na kipindi hicho jamii uingia kwenye kipindi cha mpito mfano ni Misri, Libya na Tunisia.Binafsi si muumini wa aina ya mageuzi ya Nchi za kiarabu,ni mfusai wa mageuzi ya akili yya mtanzania mmoja mmoja mpaka pale kila mmoja kwa ujumla wetu tunapojitambua kuwa huyu anaetukandamiza na kutugharimu maisha yetu ni huyu.Nani awe kiongozi wetu kwenye moral courage wakati wanatutawala hawataki hicho kitu kifanyike?

Ni lazima tukumbuke wakati tukikimbizana na kuwa na utajiri wa mali. Tusisahau utajiri wa kiroho na utajiri wa kiakili. Tunahitaji vitu hivi viwili ni muhimu. Hatuwezi kusema sisi ni Taifa lilo endelea bila kuwa na ''morals'' na kuwa na raia wenye uwezo wa ku discern btn wrong and right na kufuata kilicho sahihi kwa nguvu zote.
Hapa ndipo tatizo kubwa kwa sasa,kuwa jamii inajitizama katika sura ya utajiri kama mafanikio!!Mfumo umejengwa na kuwa mwenye utajiri ndiye mwenye haki.Leo hii viongozi wa dini, wazee wa jadi hawana nafasi ya kusikilizwa na mawazo yao kufanyiwa kazi.Siku za sasa kiongozi wa dini na jadi hana nafasi ya kushauri jamii na ushauri wake ukasikilizwa.Mfumo umeruhus mamtendo ya baadhi ya vyombo vya dini kugeuka kuwa vyombo vya biashara na hivyoo kuondoa morals na wazee wa jadi kufungiwa mashirikisho ya kutambulika nao kama ni kiungo kati ya jamii na Seriakli za makundi husika.Kwa ujumla jamii imepoteza utajiri wa kiroho kwa kutenda mambo ya kikatili ambayo mfumo umeshindwa kuyazuia.

Leo hii Mtanzania anapata ajali ya gari, watanzania wenzie wanajitokeza kwenda kumuibia kila alichino nacho mpaka chupi huku wakimuacha akikata roho bila msaada wowote ule.

Kuna binti mmoja alipata kupata ajari maeneo ya Tanga, kati ya mabinti nane waliokuwa ndani ya Ice ile kama wanafunzi ni yeye pekee aliyepona.Ananiambia ilibidi akae kimya baada ya kumuona mwenzie anaekata roho akiomba msaada huku wale waliokuja kutoa msaada wakilazimisha kumnyanganya simu aliyokuwa nayo mkononi.Anasema kwa woga ule wa kuona marehemu anaibiwa mbele ya macho yake,ilibidi atoe ushirikiano kwa maana ya kukaa kimya na kuwaacha wakiwapekua marehemu wengine.Kitendo cha yeye kusema lolote kwenda kinyume na anayoyashuhudia mbele ya macho yake uenda leo asingekuwa hai kutoa ushuhuda huo.Hapo ndipo tulipofika watanzania.Nani wa kututoa huko, sio kuwa hawapo, wapo lakini, ulimwengu ambao wanaotawala uenda hawaishi nafsi moja na aina ya watu wa kuleta mabadiliko.Na hii aitokei hivi hivi utokea kwa sababu!!! Na si vyema kuwaangalia viongozi wao tu pia ,tuitizame jamii pia kama ya hawa wanaomwibia marehemu, tazama ajari ya sharo millionea.

Tunahitaji kuundwa harmonius society. Watu wetu wakiwa na afya nzuri ya kiakili na kiroho na wenye furaha. Kwahiyo ni lazima tuunde taifa lenye watu wenye furaha na kuridhika. Hii haitofanikiwa bila uongozi wa Haki. Hatutaweza kujenga Taifa hili katika mantiki ya kukandamizana na Taifa hili likaendelea kuwepo.
Kwa jinsi Taifa lilivyo asisiwi kitu ambacho naamini hatuwezi kwenda kinyume nacho pia, ni kile kwamba mageuzi makubwa pia yanategemea Mtu, na si jamii!!!.Kwa kweli hapa ndipo uwa naumia kichwa.Kuna pointi niliyosema hapo juu kuwa jamii yaaitaji ufahamu wa mtu mmoja mmoja na hatimae kwa ujumla tunapata ufahamu wa jambo moja kwa ujumla wetu.Lakini ufahamu huo hauwezi kututoa hapo.

Mfano huo ni Mwalimu na Uhuru wa Tanganyika, Mwalimu alijifananisha na mtu aliye mbele ya mlango mkubwa akiangaika kuusukuma ufunguke, yeye binafsi kaona mlango huo,lakini kwa uwezo wake yeye kama yeye awezi kuufungua anaitaji watanzania wengine kuufungua hivyo makelele yake yataitaji bidii za watanzania by then watanganyika kujikusanya na kufungua mlango huo.

Kwa sura hiyo mfumo wetu watanzania nao tumerithi aina hiyo ya sura,yani kama jadi kuwa ili jambo fulani liweze kutoka hatua moja kwenda nyingine linaitaji kiongozi mwenye nguvu ya kuuambia umma kuwa hili linafanyika hivi.Na kwa sura hiyo hata hapa tulipofika akitokea kiongozi akasema IMETOSHA [ENOUGH IS ENOUGH] na hakika yale yote tunayoyaona leo baada ya miaka miwili yatakuwa ni hadithi na simulizi.Nacho amini kiongozi wa sura hiyo ya IMETOSHA anapaswa kuwa na HOFU ya MUNGU.Maamuzi yake yatakuwa na maumivu kwa wachavhe lakini faida kwa wengi na vizazi vijavyo.


Uzuri wa Taifa lolote lile hujengwa na watu. Roho ya Taifa hili lazima ijengwe. Kama nilivyosema mahusiano yetu ni muhimu sana katika ujenzi wa Taifa hili. Hii ni kweli hata katika familia. Baba aliyejenga familia yake katika upendo na amani na ushirikiano ataipenda familia yake na kufurahia kuwepo nyumbani kwake na watoto watafurahia nyumba hiyo.
Tumepoteza Maadili ya TAIFA kwa kuwa hatuna vyombo vinavyosimamia maadili.Maadil kwa TAIFA ni jamboo ambalo vinapaswa kuwa si swala la familia au ukoo.Maadilii yanapawa kuwa ni swala TAIFA.Yani watoto toka ngazi ya chekechea, shule ya msingi na sekondari na ngazi ya chuo vyuo vikuu wanapaswa kujua jambo A mpaka Z ni Maadili ya TAIFA,sio uamuzi wake bali na uamuzi kwa msalai ya TAIFA.Roho hiyo ya uzuri wa TAIFA unajengwa auji hivi hivi!!!!1

Swali la kujiuliza kwanini watu wana kuto kuridhika na kulalamika? Kutoweka kwa nguvu ya pamoja katika ujenzi wa Taifa hili chanzo chake ni nini? kutoweka kwa uzalendo ni nini chanzo chake? Katika maswali yote haya raia hawawezi kuwa ni Tatizo. Kuvunjika kwa familia huwezi kumlaumu mtoto kwa namna yeyote ile. Kiongozi imara huweka Taifa lake katika umoja. Huingiza msukumo kwa watu wake, Msukumo huu kutoka ndani kabisa ya raia wa Taifa lake kulisongesha Taifa mbele.
Haya yote yanamajibu, wakati mwingine tunasema vitu vingine vinatokea kwa sababu!!Mtoto aliyelala na njaa awezi kufanya upuuzi pale atakapo pewa kipande cha chai na mkate usio na siagi kwake itakuwa ni sherehe, atashukuru kwa mlo huo wa aina yake.Lakini mtoto aliyezoea kunywa chai na mkate wa siagi siku akipewa chai na mkate usio na siagi yeye ataona dunia kwake imeisha.Tumefika hapa baada ya baada ya wachache kunadilisha vilivyo undwa ama paswa kuundwa kwa faida ya umma vimegeuka kuwa vya watu binafsi.Hivyo ubinafsi, uchoyo, wivu, tamaa vimezaa kutokuridhika na kulalamika.Kilichopaswa kuwa cha wote kimekuwa cha mtu mmoja basi hapo ndio kelele za lawama zinapoamka!!!


Katika tafakuri yangu nimegundua kuna serikali ya kibwanyenye Sio lazima iingie madarakani kwa kupindua hata serikali iliyoingia madarakani kwa kupindua inaweza kuwa bora kuliko ili iliyoingia kwa kuchaguliwa. Inaweza kuingia madarakani kwa ulaghai na uongo lakini ndani ya moyo wao kukawa hakuna nia ya dhati ya kuhudumia wananchi.
Serikali kama Serikali yaweza kuwa sio tatizo bali watu waliopewa dhamana ya Serikali ndio wanaowekeza ubwanyenye huo.

Serikali ya namna hii hupenda raha na wala haiwafikirii wananchi hata ikifanya jambo haifanyi kwa dhamira ya dhati ya moyo bali kutaka kuendelea kubaki madarakani, haiguswi na matatizo ya wananchi. Serikali ya namna hii huangalia mali na anasa. Haijengi kitu chochote katika ukamilifu wake kila kitu hujenga juu juu ili waje kuonyesha tumewafanyia hiki na hiki ili wapate kupata kura. Ni serikali ya kikandamizaji. Wananchi hawana uhuru wa dhati kutokana na njaa na magonjwa. majeshi ya ulinzi na yale ya polisi yanakuwa hayako kwaajili ya ku serve wananchi bali kuikundi kidogo cha watu serikalini.
Wale wote wenye aina moja ya mtizamo wakikutana na kujikuta wana interest moja na aina yao hiyo ya interest ikatawala uzaa hicho unachokiona.Wakikutana watu wenye hofu ya Mungu wakaongozwa na mtu mwenye hofu hiyo utafuta watu wa kufanya nao kazi akiongozwa na imani ya kimungu kutambua na kujua nani amsaidie wapi katika kuonyesha njia kwa jamii.

Majeshi ya polisi ambayo yangetakiwa yawe huru kutumikia wananchi na sheria za nchi hutumiwa kukandamiza democrasia kwa maslahi ya serikali. Kwahiyo tutadanganyana kama tukisema tukichagua tu ndio tutakuwa Taifa la kidemocrasia bila ya kuondoa hizi elementi za serikali ya kibwanyenye na kuweka serikali huru inayotumikia raia kwa faida ya wote.
Mfumo ndio tiba ya matatizo yote, na kila zama zinavitabu vyake,na ufahamu uja kwa jamii katika namna ambayo wakati mwingine kwa kundi lika fulani uwa ni ngumu kuelewa inakujaje!!!Napenda kutumia msemo wa Mzee mwinyi kila zama na vitabu vyake hapo napo pana vitabu vya zama!!!!.

Hatuwezi kuendelea kuwa na viongozi wanaoamua wanavyotaka na wasiotumia maliasili ya nchi hii visivyo. Maliasili ya nchi hii lazima inufaishe watu wote. Na kodi za nchi hii lazima zitumiwe ipasavyo. Ni lazima tuunde Taifa ambalo viongozi wana heshimu mali za umma. Viongozi wanao tambua kwamba cheo ni dhamana.
Kwa hili sio viongozi tu ,hata sie wananchi tumekuwa wezi katika Taifa kwa njia ile ile ya viongozi,sema keki ya viongozi ni kubwa.Heshima hiyo hiyo ndiyo heshima ya umma,siku hizi mali ya umma aina heshima,kuna wakurugenzi wamegeuza mali ya umma kuwa yao binafsi tumemsikia kilio cha magufuri juu ya magari ya umma.

Kwamba hakuna yeyote ambaye atakaye kuwa juu ya sheria. Bila mambo haya hatutaleta Order na maendeleo katika Taifa hili. Viongozi lazima wajue wao ni watumishi tu wa watu na wasinyanyue pembe zao. Serikali lazima iwe subjected to the people.
Lushwa kwa Ujumla wake ndio iliyoofanya baadhi ya watu wakawa juu ya sheria,kuna baadhi ya matajiri wako juu ya sheria kuliko hata hao viongozi,kwa kuwa kila mmoja anabei yake katika kusaidia jambo fulani la tajiri liende kama anavyotka yeye.Watanzania nao kwa ujumla wamekuwa na utamaduni mbaya mbaya wa kutaka kila kitu wapewe fedha, au malipo ya aina fulani,tumeiga viongozi kiasi kuwa ni mwendo wa sukari, kilo, shati, kanga nk.

Watu lazima wawe na mamlaka dhidi ya serikali yao. Wana haki ya kimsingi ya kuiwajibisha serikali yao. Lazima serikali iheshimu raia, hili ni lazima lijengeke. Ni lazima tutengeneze nchi ambayo viongozi na wananchi ni kitu kimoja. Nchi yetu haiwezi kuendelea kuwa na serikali yenye mfumo wa kibwanyenye, watu wakiitumikia serikali badala ya serikali kuwatumikia wao. Ukandamizaji lazima uishe haraka sana. Wizi lazima uishe. Kuibia wananchi ni dhambi na ni usaliti.
Ujio wa katiba hapa utaleta majibu ambayo watanzania wengi wanakiu nalo la katiba swala la mamlaka kuwa invested watu!!.

Ni wakati sasa kwa nchi yetu kurudi katika dira. Ni wakati kwa nchi yetu kuona baadae yake. Ni wakati sasa kwa nchi yetu jua la asubuhi kuiimulikia. Ni lazima tujenge Taifa la watu huru na wenye matumaini. Hatuwezi kuendelea na ukandamizaji hili ni Taifa moja na watu wetu ni lazima wawe huru.
Hapa pana mtihani, japo kwa watu wenye dira [visioni] na maono [intuition] ili sio tatizo, bali je viongozi wako tayari kuruhusu watu wa aina hiyo watumike ili kuinasua nchi.Hakika hawako tayari bali ni kawaida kwa baadhi ya viumbe kuishi kwa mashindano na hivyo yatakiwa busara kupata kiongozi mwenye ufahamu wa kujua tulipofika twaitaji watu wenye maono na dira kuelekeza wapi pa kupita.

Kodi lazima itumike vizuri kwa maendeleo ya nchi na sio kuwa starehesha viongozi. Ni lazima tujenge Taifa hili katika maadili na uzalendo. Kuna watu vijijini wanahitaji msaada wetu, maendeleo hayawezi kuwa ya sehemu moja tu. Hatutaweza kujenga taifa wakati upande mmoja ukiendelea na mwingine ukichechemea. Kama ni matumaini ni lazima yajengwe kwa wote.
Hapa ni tatizo letu sote mpaka jamii,siku hizi jamii inashabikia mwizi wa halmashauri kuwa ni mjanja ajatoka kapa pale alipopewa madaraka. Kodi ya maendeleo imechukuliwa kwenye Halmashauri hsuika lakini umma unawita mwizi mjanja nani amvishe paka kengere ni kiongozi!!!

Tumekuwa Taifa la watu wabinafsi. Taifa la watu wenye malengo ya kibinafsi. Hatuwezi kuendelea kuishi hivi tuka jiita Taifa. Ni lazima tuwasomeshe watu kwa malengo ya kuleta mabadiliko katika Taifa na si vinginevyo.
Hapa tumejenga baada ya viongozi kukosa maadili ya kuendeshea serikali na umma.Hakuna maadili ya Umma na maadili ya Serikali.Kufutwa kwa azimio la Arusha ilikuwa ni pasport ya kuingiza kila ambalo leo limeshamili.Mimi binafsi naamini katika ushrika wa kuishi kijamii katika Ushrika wa Kiafrika, lakini naamini katika kutafuta kiuchumi kwa juhudi binafsi.Hivyo sio kuwa Azimio la Arusha lilikuwa toshelezi kwa nyakati,naamini pia lilitaji mabadiliko kidogo kukidhi nyakati na zama husika.lakini lenyewe kama lenyewe lilitosha kuwa dila kwa watendaji wa Serikali na hata umma.

Elimu yako lazima itumike kuwaelimisha wengine juu ya utaifa, jinsi ya kuishi na mambo mengine yatakayokuza uelewa wa watu wetu. Hatuwezi kuendesha Taifa hili bila elimu iliyo bora.
Hatuna vyombo vinavyo ratibu maadili ya umma na serikali katika kila siku ya maisha ya Mtanzania.Havipo!!!!Vilivyopo vinasimamia sera na sio vinahakiki ubora na ubaya wa sera tekelezi.

Ni lazima tujenge upya fikra za watu wetu. Fikra za watu za sasa hazitaweza kutufikisha mbele. Hii imeonyesha hivyo. Bila maadili hatutaweza kupiga hatua kama Taifa.
Hatuna models wanao incode fikra za UTAIFA, bali tuna watu wanaojenga itikadi za chuki za kisiasa na tena uvuka mipaka mpaka kuingiza dini!!!Hakika naona nyakati hizi ni muhimu kwa watu ambao hawana ITIKADI ZA KICHAMA kuanza kupata nafasi ya kuamsha umma kujua TAIFA kwanza siasa baade.

Elimu yetu lazima ijengwe katika misingi ya maadili na nidhamu.
Uwepo wa vyombo vya kuratibu na kusimamia utekelezaji na usimamzi wa maadili ya umma na serikali basi tayari ni jibu la kuhakiksha kuwa jamii inapata elimu jamii,kuanzia ngazi za chekechea, mashule, na vyuo na atimae kama Taifa.Ukosefu wake mazao yake ndiyo haya tunayona hakuna regulators.


za watu wetu ni kitu ambacho ni lazima tujenge wenyewe. Nchi hii haihitaji starehe. Inahitaji kutumia akili nyingi na juhudi nyingi ili tuondokane na umaskini, ujinga na maradhi. Hatuwezi kujenga Taifa letu katika umarekani. Hatuwezi kujenga wasichana wetu ku behave kama wakina Rihanna NO we are Noble people. Sisi ni Taifa ambalo ni lazima tutie juhudi kukua.
Kumbuka tunaitaji Duniani nyingine kujipima sie sio kisiwa na duniani kuwa kijiji,maana yake ni kujifunza na kukubali kuyatumia mazuri kwa faida ya TAIFA.Haya yakina Rihanna hizo ni Fad zisikutishe walikuwepo wakina Tupac Taifa halikuyumba ila tujifunze kuchukua mazuri.

Ni lazima tujenge fikra za watu wetu kutafuta maarifa kuliko kitu chochote kile ulimwenguni hapo ndipo tutafanikiwa. Hatuwezi kuendelea kwa kugeza tabia za kipuuzi za wamarekani na kuacha zile za kimsingi walizo nazo hasa za kulipenda Taifa lao na za kutafuta maarifa. Ni lazima tujitegemee kiutamaduni na mbeleni ki technologia.
Hapa napo ni Tatizo ,mfumo umeingia kivuli, sekta ya elimu inaitaji mabadiliko na watu wale wa maono na dira wanaitajika eneo hili kufumua mfumo wa elimu na kuweka ktu kipya kwa faida ya kiazazi cha sasa,kutoka kwenye mfumo wa Serikali kama mwajili mkuu mpaka Sekta binafsi kama mwajili mkuu.Ila binafsi naona una hasira na wamarekani as if wamarekani ndio tatizo la Taifa letu.Hakika tukiwa na mentality hiyo tutapiga maktaimu mkuu.Tuache fikara za chuki ebu chukulia makosa ya haya tuliyonayo tumesababisha wenyewe na jibu tunalo wenyewe.


nini tushindwe kama tutaamua na kama tutakuwa wamoja na kuweka fikra zetu katika ujenzi wa Taifa hili?
Inaanza na wewe kisha wengine wanafuata !!!!


wetu ni lazima wawe wazalendo. Ni lazima tulilete Taifa pamoja. Ni lazima tuwe kama jeshi lililojikusanya kuvamia. Hii nguvu iko mikononi mwetu. Nguvu dhidi ya umaskini, maradhi na ujinga iko mikononi mwetu. Ni lazima tujipange kuishambulia kwa akili na jash .
Uzalendo unajengwa.ila hapa lawama zangu ni kwa Serikali, uzalendo ahaujengwi na mtu mmoja au kikundi unajengwa na Serkali kwenda kwa watu wake.


inahitaji utashi wa kisiasa tu na utayari wa kuchukua majukumu.
Yap kwa kuwa mfumo huo ndio tuliolithi toka kwa Baba wa Taifa basi hata kama walioko madarakani wataupinga laikini ni hakika kuwa watkuwa wanapingana na agano la Baba yao.Hii ni sawa na baba aliye acha wosia kwa familai na baadhi ya wana familia wakaenda ndivyo sivyo

ya yote pamoja na umaskini wote wa Afrika na watanzania. Waafrika tumekuwa watu wenye ku relax zaidi kuliko wamarekani na watu wa ulaya. Tusitegemee maendeleo yataletwa pasipo kufanya kazi. Ni lazima tufanye kazi na ni lazima tuwe na program makini ya maendeleo letu bila kazi maendeleo hakuna. Bila kutumia uwezo wetu wa kiakili maendeleo hakuna. Taifa hili tutalijenga sisi. Ubora na uzuri wa Taifa hili ni jukumu letu.
Hili ni jukumu la Seriakli kupitia mbinu za Serikali kuamsha akili za watu wake kwa kuwa na Program maalum zinazoratibiwa na Serikali kwa mikakati maalumu lengo likiwa ni kuwaamsha raia wake kuwa na ufahamu katika jambo ambalo wao wanaona lina maslahi ya TAIFA kiuchumi.Yaweza kuwa ni vipindi vya Televisoni ama Radio vyenye kuvutia kusilizwa na wasikilizaji huku vikitoa elimu kwa usahihi wa kujenga na kuleta mwamko wa jambo husika.

kabisa Taifa hili lina uwezo wa kuendelea na kuwa kubwa Taitizo ni uongozi.Kama tuta plan Elimu yetu vizuri itakayomfanya mwanafunzi kuwa mwenye kufikiri, mwenye nidhamu na uzalendo tutapiga hatua fulani.
Naam hili ni tatizo kwa kuwa Mwalimu aliasisi hicho hivyo ni jukumu la kiongozi mwenye maono na dira kuweka taasisi zenye kuzalisha maono na dira kwa Taifa.Hatuna Think Tank institutions, tunaziitaji ili tuwezke kupata maendeleo kulingana na ukubwa na speed ya maendeleo yetu kama Taifa.


kiini cha matatizo yetu ni uongozi. Kiongozi ni lazima awe na maono. Ni lazima awe na skills za uongozi. Kuwaleta watu pamoja katika malengo mamoja na ku mantain Order. Hatutaweza kuendelea na nchi hii na viongozi wanaofanya ufisadi na kuiacha nchi peke yake.
Hatuna Taasisi zenye kujua kiongozi huyu ana maano bali tuna vyama vya kisiasa vyenye watuu wenye nia ya kupta madaraka na sifa za kuishi maisha ya kiungozi wakati, vichwani mwao wanaitaji kuonyweshwa njia.Sio kila kiongozi lazima awe na maono au dira,lakini ni kuwa na uwezo wa kuongoza kuonyesha wapi panapatikana waonyesha njia.


Ni lazima tutambue tunapoelimisha watu wetu sio kusudi wapate mkate tu wa kula, wana majukumu kwa Taifa hili. Kuendelea kuwepo kwa Taifa hili kutawategemea wao. Kulilinda na kuliendeleza Taifa hili kutategemea sana akili za watu wetu. Busara na maarifa ya watu wetu ndiyo itakayopelekea kuendelea kuwepo kwa Taifa hili au kupotea.
Bado ni pale pale pa vyombo muhimu kujenga ufahamu,taasisi zenye kila sifa ya kuzalisha watu wenye kwenda kuzalisha mambo muhimu yenye faida na wako tayari kuzlaisha na kuratibu mambo waliyozalishwa kwenye jamii,Watu wenye Uzalendo wa hali ya juu,wenye ndoto za kuona maisha kama jambo jema na zuri kwa watu wote na si ubinafsi.


watoto wetu Taifa hili kama yai na tuwaambie walilinde kwa maarifa yote. Serikali ni lazima watambue ni lazima wajenge elimu iliyobora ili baadae ya Taifa hili iwe na nuru sio kufanya tu ili kutimiza ilani. Tutakosa watu wa kujenga Taifa hili au tutatengeneza matabaka ya wale waliosoma Nje ya nchi na wale wa ndani. Watawala na watawaliwa na matokeo yake itakuwa ni mapinduzi. Ili Tujenge Taifa la ki democrasia ni lazima kila mtu ajihusishe katika ujenzi wa Taifa lake na kila mtu awe huru chini ya sheria. Tusiendelee kujenga taifa la watu wanaokandamizana au wanaoingia kwenye uongozi kwa maslahi binafsi.
Mfumo wa elimu lazima ubadilike na uzalendo uanjengwa toka utoto!!!Hakuna vyombo vya ujenzi huo wala wasimamizi na waratibu kama taasisi.


Lakini pia ubora wa Taifa letu utategemea pia ubora wa vyama vyetu vya siasa na watu wanaoviunda. Mawazo yao na itikadi zao.
Tena ili ndio gonjwa baya baya kuliko yote hapa ndiko fungu la kukosa lilipo lala!!!Hapa ndiko kwenye matokeo yote jamii inayoyashuhudia.Waliopo madarakani jamii inaona hawafai, waliok nje jamii haiwaamini!!! Tuj=ko kwenye ukingo.

Juu ya yote ni lazima tuwe na itikadi ya Taifa ambayo itakuwa dira kwa vyama vyote. Hili ni jambo la muhimu kwa Taifa. Umoja wa Taifa letu ni jambo ambalo ni la kimsingi. Ni lazima tuunde Taifa la watu ambao wanajaliana. Kama unaenda jeshini unaenda kwasababu unapenda kutoka nafsini kulinda raia na unafanya hivyo kwa mapenzi na sio kwa mshahara au kwasababu umekosa kazi. Kila kazi katika Taifa hili ni lazima iwe ni kazi yenye thamani ili mradi iwe halali kwasababu ni yenye kusaidia wengine. Hii ni mantiki ya mgawanyo wa kazi hatuwezi kuwa wote madaktari, manesi nk. Tunatumikia Taifa moja.
.Uwepo wa Taasisi za kusimamia UTAIFA.Pata picha kuna Taasisi inaitwa TAASISI YA MASLAI YA TAIFA [NATIONAL INTEREST INSTITUTION] au NII.yani linapokuja swala la kusimamia maslahi ya Taifa na kuhakiki mwenendo sahihi wa mambo yote yenye matamanio ya Taifa kama maliyaasili, elimu, afya, huduma za jamii, fedha , uchumi nk.Kazi ya Taasisi hii ni kupima ubora wa taasisi za serikali na vya umma public juu ya jamii vinaendana.Hawa sio TISS kwani wote tunajua kazi ya TISS ni ULINZI, kazi ya NII ni kuregulate, kuahakiki, kupokea malalamiko jamii juu ya taasisi za umma, binafsi na zingiezo na kuzipitia kisha kuwakabili na kutka marekebisho ya haraka sekta husika kwa mujibu wa taarifa husika.

Hapa napo ni mzigo kwa vizazi, kwa kuwa ukiwauliza watanzania ITIKADI YA TAIFA ni nini? hakika hatuna!!!Tunaitaji wenye maono na dira kuonyesha pia kuwa pamoja na mfumo wa vyama vingi lakini ITIKADI YA TAIFA NDANI YA MFUMO WA TAIFA HILI NI HIZI.Na kwa picha hiyo kila mwananchi atatembea ndani ya ITIKADI HIZO bila kupingana kwa umoja wetu ukizingatia tofauti zetu za vyama.

Taifa hili lazima liwe katika mwelekeo mmoja na tumaini moja. Ni lazima tuamini tunauwezo wa kujenga Taifa nzuri mbalo roho zetu zitaiishi na watu wa makabila yote na dini zote watarifurahia na kushangilia utaifa wao. Taifa ambalo wanamichezo wataenda kulipigania sio sababu ya hela bali sababu ya uzalendo wao. Taifa ambalo watu watafurahia kulitumikia na watu wake bora watapewa nishani na kuheshimiwa na vizazi vyote.
Matumaini huwa ni moja ya sifa ya viongozi na uongozi wao,kama kiongozi hana matumaini wananchi watayatoa wapi?Hapa na Serikali kuwa na taasisi zenye nguvu ya kujenga na kuunda talent za watoto na vijana watakao kuwa viongozi sio tu wa kisiasa sekta za uchumi, siasa, utamaduni na kwingineko

Taifa ambalo thamani ya mtu ni utumishi wake uliotukuka kwa Taifa na kwa watu. Katika matumaini haya ninatembea, ninaishi na ninaota. Ya kwamba siku moja tumaini litafufuka kama mmea uchupuavyo kutoka ardhini na watu wa Taifa hili watatambua, ya kwamba; Taifa hili linauwezo wa kukua na kuwa kubwa na kama Taifa lolote lingine lililowahi kuwepo duniani kama tukiwa wamoja, kama tukitia juhudi na kama tukitumia muda wetu kutafuta maarifa na hekima. Katika tumaini hili ni lazima tuishi, ni lazima tuote ni lazima tulifanyie kazi.
.
Kama una imani hiyo basi amini itakuwa hivyo!!!!Nyakati zitakapofika hakuna hatae zuia ujio wa kiongozi wa kuonyesha njia.simuliz zinasema Jakaya Mrisho Kikwete alipitia tanuru la kukumbana na zengwee 1995 kuna mzee toka Zanzibar akamwambia usiwe na hofu siku ikifika hakuna atakae zuia na kweli ilifofika atakekuja HAKUNA WA KUZUIA.Wananchiwa wamejua mbivu na chungu wanatamani sana kumuona wa kutuonyesha njia.


Kaka na dada, baba na mama. wajomba na mashangazi kama tutakuwa wamoja hakuna kitakacho tushinda. Ndani yetu kuna roho ikiamua na ikadhamiria kutoka katika hakuna tutakuwa nacho. Kutoka katika dharau tutaheshimiwa. Ni lazima tutambue tunachohitaji kama Taifa. Hii ni ndoto na ni lazima imee kwa kila mtanzania, Kutoka mtaani mpaka chuoni. Watu wetu bora wa Taifa hili lazima tujiunge pamoja. Katika Roho hii ya utaifa huu ni wito wangu.
Omba na kuna mamilioni ya Watanzania bila kuchagua dini wanaomba kuwa sasa Mungu awaptaie Kiongozi mwenye hofu ya MUNGU atakaejua kuwa kuna mamilioni ya Watanzania kwa bahati ya maliasili waliyonayo wao pia wanaweza kumbe kusihi kama wako ULAYA.Nimezaliwa Tanzania lakini naamini kuwa tukipata timu ya Watanzania kumi na mbil [12] wenye moyo wa kujitoa kuongoza baada ya miaka Kumi yao wao kuwa madarakani basi watakuwa wametupa Taifa lenye hadhi sawa na ULAYA.INAWEZEKANA.Tatizo tutawapateje?
 
Hakika na changamoto hizo ndio zilizopelekea kuwa na chombo kinaitwa serikali kinachoratibu mwenendo wa shughuri za jamii katika kujiletea maendeleo kwa njia za haki na salama pasipo dhuruma, matumizi ya mabavu, wizi n.k.


Hapa ndipo zikapatikana famila za kifalme, chief, majemadali n.k na kwa karne hizi za sasa ni watwala tuliona nao kwa njia za demokrasia kama Rais , wabunge n.k


Hawa viongozi shayu waleta mabadiliko kwa sasa, Tanzania kama Taifa wametupwa kwa kuwa kiongozi mwenye kuishi kwa kuona vision au intuition ya kuitoa jamii yetu toka eneo moja la maendeleo kwenda jingine imekuwa ni adimu, wao kujitokeza kwa kuwa mfumo wa jamii unaotumika kwa sasa kuwapa fursa wao haufanani na wao kuwapa mazingira ya kuitumika jamii.

Kwanini imekuwa adimu kwao, kwa kuwa viongozi wanaounda Serikali waliopatikana kwa njia ya uchaguzi, wamegeuka kuwa ni maadui wa aina ya viongozi ambao wana baraka/talent ya kuweza kuleta maendeleo na hivyo kuwafungia milango ya kuwapa fulsa ya kutumika kwenye jamii kuonyesha na kufungua milango yao ya ufahamu ya kulitoa Taifa toka eneo moja la mafanikio na nyakati kwenda eneo jingine la maendeleo.Kama binadamu pungufu walivyo kuwa na greed, tamaa, vijicho na mengineyo mengi yenye sura za kujitizama binafsi na si kujitizama katika picha ya kukubali kuwa popote duniani kuna binadamu fulani Mungu kamuumba kutenda mambo fulani unique kwenye jamii na kuwa wanastahiki nafsi ya kutenda hayo ili jamii ifurahie zawadi hiyo ya Muumba kwa binadamu mwingine.Uchoyo huo wa baadhi wa watendaji na viongozi wa Serikali yetu na baadhi ya Serikali za kiaafrika umefunga na kutisha kada ya viongozi waleta mabadiliko na kuwafanya waoga wa kujitokeza na hivyo kubaki wakisublia Mungu alete mmujiza kwa namna ambayo wao wanaamini.Na watu wa ina hiyo asilimia kubwa ni watu wa imani.



Hapa ndipo penye utata!!!Nani atakuwa wa kwanza kuanzisha aina hii ya mageuzi!!!!Kwa kuwa tumeona baadhi ya kada zipojaribu kutaka kubadilisha na kuleta mageuzi yaliyowasibu kwa sasa imekuwa historia.Binafsi ni muumini wakuwa kila jambo lina nyakati zake na hivyo,hata haya yanayojili Tanzania yatapata majibu, na majibu yanaanza hatua kwa hatua aiwezi kuwa ni jibu la siku moja.Ingawa tendo la mageuzi haitachukua muda wa mwezi, duniani yote pale kundi kubwa la watu lilipoona kundi dogo la watu linadhurumu haki yao, basi mageuzi yalitokea na matokeo yake jamii uingia kwenye mtafaruku ambao uzaa aina mpya ya mfumo wa maisha na kipindi hicho jamii uingia kwenye kipindi cha mpito mfano ni Misri, Libya na Tunisia.Binafsi si muumini wa aina ya mageuzi ya Nchi za kiarabu,ni mfusai wa mageuzi ya akili yya mtanzania mmoja mmoja mpaka pale kila mmoja kwa ujumla wetu tunapojitambua kuwa huyu anaetukandamiza na kutugharimu maisha yetu ni huyu.Nani awe kiongozi wetu kwenye moral courage wakati wanatutawala hawataki hicho kitu kifanyike?


Hapa ndipo tatizo kubwa kwa sasa,kuwa jamii inajitizama katika sura ya utajiri kama mafanikio!!Mfumo umejengwa na kuwa mwenye utajiri ndiye mwenye haki.Leo hii viongozi wa dini, wazee wa jadi hawana nafasi ya kusikilizwa na mawazo yao kufanyiwa kazi.Siku za sasa kiongozi wa dini na jadi hana nafasi ya kushauri jamii na ushauri wake ukasikilizwa.Mfumo umeruhus mamtendo ya baadhi ya vyombo vya dini kugeuka kuwa vyombo vya biashara na hivyoo kuondoa morals na wazee wa jadi kufungiwa mashirikisho ya kutambulika nao kama ni kiungo kati ya jamii na Seriakli za makundi husika.Kwa ujumla jamii imepoteza utajiri wa kiroho kwa kutenda mambo ya kikatili ambayo mfumo umeshindwa kuyazuia.

Leo hii Mtanzania anapata ajali ya gari, watanzania wenzie wanajitokeza kwenda kumuibia kila alichino nacho mpaka chupi huku wakimuacha akikata roho bila msaada wowote ule.

Kuna binti mmoja alipata kupata ajari maeneo ya Tanga, kati ya mabinti nane waliokuwa ndani ya Ice ile kama wanafunzi ni yeye pekee aliyepona.Ananiambia ilibidi akae kimya baada ya kumuona mwenzie anaekata roho akiomba msaada huku wale waliokuja kutoa msaada wakilazimisha kumnyanganya simu aliyokuwa nayo mkononi.Anasema kwa woga ule wa kuona marehemu anaibiwa mbele ya macho yake,ilibidi atoe ushirikiano kwa maana ya kukaa kimya na kuwaacha wakiwapekua marehemu wengine.Kitendo cha yeye kusema lolote kwenda kinyume na anayoyashuhudia mbele ya macho yake uenda leo asingekuwa hai kutoa ushuhuda huo.Hapo ndipo tulipofika watanzania.Nani wa kututoa huko, sio kuwa hawapo, wapo lakini, ulimwengu ambao wanaotawala uenda hawaishi nafsi moja na aina ya watu wa kuleta mabadiliko.Na hii aitokei hivi hivi utokea kwa sababu!!! Na si vyema kuwaangalia viongozi wao tu pia ,tuitizame jamii pia kama ya hawa wanaomwibia marehemu, tazama ajari ya sharo millionea.


Kwa jinsi Taifa lilivyo asisiwi kitu ambacho naamini hatuwezi kwenda kinyume nacho pia, ni kile kwamba mageuzi makubwa pia yanategemea Mtu, na si jamii!!!.Kwa kweli hapa ndipo uwa naumia kichwa.Kuna pointi niliyosema hapo juu kuwa jamii yaaitaji ufahamu wa mtu mmoja mmoja na hatimae kwa ujumla tunapata ufahamu wa jambo moja kwa ujumla wetu.Lakini ufahamu huo hauwezi kututoa hapo.

Mfano huo ni Mwalimu na Uhuru wa Tanganyika, Mwalimu alijifananisha na mtu aliye mbele ya mlango mkubwa akiangaika kuusukuma ufunguke, yeye binafsi kaona mlango huo,lakini kwa uwezo wake yeye kama yeye awezi kuufungua anaitaji watanzania wengine kuufungua hivyo makelele yake yataitaji bidii za watanzania by then watanganyika kujikusanya na kufungua mlango huo.

Kwa sura hiyo mfumo wetu watanzania nao tumerithi aina hiyo ya sura,yani kama jadi kuwa ili jambo fulani liweze kutoka hatua moja kwenda nyingine linaitaji kiongozi mwenye nguvu ya kuuambia umma kuwa hili linafanyika hivi.Na kwa sura hiyo hata hapa tulipofika akitokea kiongozi akasema IMETOSHA [ENOUGH IS ENOUGH] na hakika yale yote tunayoyaona leo baada ya miaka miwili yatakuwa ni hadithi na simulizi.Nacho amini kiongozi wa sura hiyo ya IMETOSHA anapaswa kuwa na HOFU ya MUNGU.Maamuzi yake yatakuwa na maumivu kwa wachavhe lakini faida kwa wengi na vizazi vijavyo.



Tumepoteza Maadili ya TAIFA kwa kuwa hatuna vyombo vinavyosimamia maadili.Maadil kwa TAIFA ni jamboo ambalo vinapaswa kuwa si swala la familia au ukoo.Maadilii yanapawa kuwa ni swala TAIFA.Yani watoto toka ngazi ya chekechea, shule ya msingi na sekondari na ngazi ya chuo vyuo vikuu wanapaswa kujua jambo A mpaka Z ni Maadili ya TAIFA,sio uamuzi wake bali na uamuzi kwa msalai ya TAIFA.Roho hiyo ya uzuri wa TAIFA unajengwa auji hivi hivi!!!!1


Haya yote yanamajibu, wakati mwingine tunasema vitu vingine vinatokea kwa sababu!!Mtoto aliyelala na njaa awezi kufanya upuuzi pale atakapo pewa kipande cha chai na mkate usio na siagi kwake itakuwa ni sherehe, atashukuru kwa mlo huo wa aina yake.Lakini mtoto aliyezoea kunywa chai na mkate wa siagi siku akipewa chai na mkate usio na siagi yeye ataona dunia kwake imeisha.Tumefika hapa baada ya baada ya wachache kunadilisha vilivyo undwa ama paswa kuundwa kwa faida ya umma vimegeuka kuwa vya watu binafsi.Hivyo ubinafsi, uchoyo, wivu, tamaa vimezaa kutokuridhika na kulalamika.Kilichopaswa kuwa cha wote kimekuwa cha mtu mmoja basi hapo ndio kelele za lawama zinapoamka!!!



Serikali kama Serikali yaweza kuwa sio tatizo bali watu waliopewa dhamana ya Serikali ndio wanaowekeza ubwanyenye huo.


Wale wote wenye aina moja ya mtizamo wakikutana na kujikuta wana interest moja na aina yao hiyo ya interest ikatawala uzaa hicho unachokiona.Wakikutana watu wenye hofu ya Mungu wakaongozwa na mtu mwenye hofu hiyo utafuta watu wa kufanya nao kazi akiongozwa na imani ya kimungu kutambua na kujua nani amsaidie wapi katika kuonyesha njia kwa jamii.


Mfumo ndio tiba ya matatizo yote, na kila zama zinavitabu vyake,na ufahamu uja kwa jamii katika namna ambayo wakati mwingine kwa kundi lika fulani uwa ni ngumu kuelewa inakujaje!!!Napenda kutumia msemo wa Mzee mwinyi kila zama na vitabu vyake hapo napo pana vitabu vya zama!!!!.


Kwa hili sio viongozi tu ,hata sie wananchi tumekuwa wezi katika Taifa kwa njia ile ile ya viongozi,sema keki ya viongozi ni kubwa.Heshima hiyo hiyo ndiyo heshima ya umma,siku hizi mali ya umma aina heshima,kuna wakurugenzi wamegeuza mali ya umma kuwa yao binafsi tumemsikia kilio cha magufuri juu ya magari ya umma.


Lushwa kwa Ujumla wake ndio iliyoofanya baadhi ya watu wakawa juu ya sheria,kuna baadhi ya matajiri wako juu ya sheria kuliko hata hao viongozi,kwa kuwa kila mmoja anabei yake katika kusaidia jambo fulani la tajiri liende kama anavyotka yeye.Watanzania nao kwa ujumla wamekuwa na utamaduni mbaya mbaya wa kutaka kila kitu wapewe fedha, au malipo ya aina fulani,tumeiga viongozi kiasi kuwa ni mwendo wa sukari, kilo, shati, kanga nk.


Ujio wa katiba hapa utaleta majibu ambayo watanzania wengi wanakiu nalo la katiba swala la mamlaka kuwa invested watu!!.


Hapa pana mtihani, japo kwa watu wenye dira [visioni] na maono [intuition] ili sio tatizo, bali je viongozi wako tayari kuruhusu watu wa aina hiyo watumike ili kuinasua nchi.Hakika hawako tayari bali ni kawaida kwa baadhi ya viumbe kuishi kwa mashindano na hivyo yatakiwa busara kupata kiongozi mwenye ufahamu wa kujua tulipofika twaitaji watu wenye maono na dira kuelekeza wapi pa kupita.


Hapa ni tatizo letu sote mpaka jamii,siku hizi jamii inashabikia mwizi wa halmashauri kuwa ni mjanja ajatoka kapa pale alipopewa madaraka. Kodi ya maendeleo imechukuliwa kwenye Halmashauri hsuika lakini umma unawita mwizi mjanja nani amvishe paka kengere ni kiongozi!!!


Hapa tumejenga baada ya viongozi kukosa maadili ya kuendeshea serikali na umma.Hakuna maadili ya Umma na maadili ya Serikali.Kufutwa kwa azimio la Arusha ilikuwa ni pasport ya kuingiza kila ambalo leo limeshamili.Mimi binafsi naamini katika ushrika wa kuishi kijamii katika Ushrika wa Kiafrika, lakini naamini katika kutafuta kiuchumi kwa juhudi binafsi.Hivyo sio kuwa Azimio la Arusha lilikuwa toshelezi kwa nyakati,naamini pia lilitaji mabadiliko kidogo kukidhi nyakati na zama husika.lakini lenyewe kama lenyewe lilitosha kuwa dila kwa watendaji wa Serikali na hata umma.


Hatuna vyombo vinavyo ratibu maadili ya umma na serikali katika kila siku ya maisha ya Mtanzania.Havipo!!!!Vilivyopo vinasimamia sera na sio vinahakiki ubora na ubaya wa sera tekelezi.


Hatuna models wanao incode fikra za UTAIFA, bali tuna watu wanaojenga itikadi za chuki za kisiasa na tena uvuka mipaka mpaka kuingiza dini!!!Hakika naona nyakati hizi ni muhimu kwa watu ambao hawana ITIKADI ZA KICHAMA kuanza kupata nafasi ya kuamsha umma kujua TAIFA kwanza siasa baade.


Uwepo wa vyombo vya kuratibu na kusimamia utekelezaji na usimamzi wa maadili ya umma na serikali basi tayari ni jibu la kuhakiksha kuwa jamii inapata elimu jamii,kuanzia ngazi za chekechea, mashule, na vyuo na atimae kama Taifa.Ukosefu wake mazao yake ndiyo haya tunayona hakuna regulators.



Kumbuka tunaitaji Duniani nyingine kujipima sie sio kisiwa na duniani kuwa kijiji,maana yake ni kujifunza na kukubali kuyatumia mazuri kwa faida ya TAIFA.Haya yakina Rihanna hizo ni Fad zisikutishe walikuwepo wakina Tupac Taifa halikuyumba ila tujifunze kuchukua mazuri.


Hapa napo ni Tatizo ,mfumo umeingia kivuli, sekta ya elimu inaitaji mabadiliko na watu wale wa maono na dira wanaitajika eneo hili kufumua mfumo wa elimu na kuweka ktu kipya kwa faida ya kiazazi cha sasa,kutoka kwenye mfumo wa Serikali kama mwajili mkuu mpaka Sekta binafsi kama mwajili mkuu.Ila binafsi naona una hasira na wamarekani as if wamarekani ndio tatizo la Taifa letu.Hakika tukiwa na mentality hiyo tutapiga maktaimu mkuu.Tuache fikara za chuki ebu chukulia makosa ya haya tuliyonayo tumesababisha wenyewe na jibu tunalo wenyewe.



Inaanza na wewe kisha wengine wanafuata !!!!



Uzalendo unajengwa.ila hapa lawama zangu ni kwa Serikali, uzalendo ahaujengwi na mtu mmoja au kikundi unajengwa na Serkali kwenda kwa watu wake.



Yap kwa kuwa mfumo huo ndio tuliolithi toka kwa Baba wa Taifa basi hata kama walioko madarakani wataupinga laikini ni hakika kuwa watkuwa wanapingana na agano la Baba yao.Hii ni sawa na baba aliye acha wosia kwa familai na baadhi ya wana familia wakaenda ndivyo sivyo


Hili ni jukumu la Seriakli kupitia mbinu za Serikali kuamsha akili za watu wake kwa kuwa na Program maalum zinazoratibiwa na Serikali kwa mikakati maalumu lengo likiwa ni kuwaamsha raia wake kuwa na ufahamu katika jambo ambalo wao wanaona lina maslahi ya TAIFA kiuchumi.Yaweza kuwa ni vipindi vya Televisoni ama Radio vyenye kuvutia kusilizwa na wasikilizaji huku vikitoa elimu kwa usahihi wa kujenga na kuleta mwamko wa jambo husika.

Naam hili ni tatizo kwa kuwa Mwalimu aliasisi hicho hivyo ni jukumu la kiongozi mwenye maono na dira kuweka taasisi zenye kuzalisha maono na dira kwa Taifa.Hatuna Think Tank institutions, tunaziitaji ili tuwezke kupata maendeleo kulingana na ukubwa na speed ya maendeleo yetu kama Taifa.



Hatuna Taasisi zenye kujua kiongozi huyu ana maano bali tuna vyama vya kisiasa vyenye watuu wenye nia ya kupta madaraka na sifa za kuishi maisha ya kiungozi wakati, vichwani mwao wanaitaji kuonyweshwa njia.Sio kila kiongozi lazima awe na maono au dira,lakini ni kuwa na uwezo wa kuongoza kuonyesha wapi panapatikana waonyesha njia.



Bado ni pale pale pa vyombo muhimu kujenga ufahamu,taasisi zenye kila sifa ya kuzalisha watu wenye kwenda kuzalisha mambo muhimu yenye faida na wako tayari kuzlaisha na kuratibu mambo waliyozalishwa kwenye jamii,Watu wenye Uzalendo wa hali ya juu,wenye ndoto za kuona maisha kama jambo jema na zuri kwa watu wote na si ubinafsi.



Mfumo wa elimu lazima ubadilike na uzalendo uanjengwa toka utoto!!!Hakuna vyombo vya ujenzi huo wala wasimamizi na waratibu kama taasisi.



Tena ili ndio gonjwa baya baya kuliko yote hapa ndiko fungu la kukosa lilipo lala!!!Hapa ndiko kwenye matokeo yote jamii inayoyashuhudia.Waliopo madarakani jamii inaona hawafai, waliok nje jamii haiwaamini!!! Tuj=ko kwenye ukingo.


.Uwepo wa Taasisi za kusimamia UTAIFA.Pata picha kuna Taasisi inaitwa TAASISI YA MASLAI YA TAIFA [NATIONAL INTEREST INSTITUTION] au NII.yani linapokuja swala la kusimamia maslahi ya Taifa na kuhakiki mwenendo sahihi wa mambo yote yenye matamanio ya Taifa kama maliyaasili, elimu, afya, huduma za jamii, fedha , uchumi nk.Kazi ya Taasisi hii ni kupima ubora wa taasisi za serikali na vya umma public juu ya jamii vinaendana.Hawa sio TISS kwani wote tunajua kazi ya TISS ni ULINZI, kazi ya NII ni kuregulate, kuahakiki, kupokea malalamiko jamii juu ya taasisi za umma, binafsi na zingiezo na kuzipitia kisha kuwakabili na kutka marekebisho ya haraka sekta husika kwa mujibu wa taarifa husika.

Hapa napo ni mzigo kwa vizazi, kwa kuwa ukiwauliza watanzania ITIKADI YA TAIFA ni nini? hakika hatuna!!!Tunaitaji wenye maono na dira kuonyesha pia kuwa pamoja na mfumo wa vyama vingi lakini ITIKADI YA TAIFA NDANI YA MFUMO WA TAIFA HILI NI HIZI.Na kwa picha hiyo kila mwananchi atatembea ndani ya ITIKADI HIZO bila kupingana kwa umoja wetu ukizingatia tofauti zetu za vyama.


Matumaini huwa ni moja ya sifa ya viongozi na uongozi wao,kama kiongozi hana matumaini wananchi watayatoa wapi?Hapa na Serikali kuwa na taasisi zenye nguvu ya kujenga na kuunda talent za watoto na vijana watakao kuwa viongozi sio tu wa kisiasa sekta za uchumi, siasa, utamaduni na kwingineko

.
Kama una imani hiyo basi amini itakuwa hivyo!!!!Nyakati zitakapofika hakuna hatae zuia ujio wa kiongozi wa kuonyesha njia.simuliz zinasema Jakaya Mrisho Kikwete alipitia tanuru la kukumbana na zengwee 1995 kuna mzee toka Zanzibar akamwambia usiwe na hofu siku ikifika hakuna atakae zuia na kweli ilifofika atakekuja HAKUNA WA KUZUIA.Wananchiwa wamejua mbivu na chungu wanatamani sana kumuona wa kutuonyesha njia.



Omba na kuna mamilioni ya Watanzania bila kuchagua dini wanaomba kuwa sasa Mungu awaptaie Kiongozi mwenye hofu ya MUNGU atakaejua kuwa kuna mamilioni ya Watanzania kwa bahati ya maliasili waliyonayo wao pia wanaweza kumbe kusihi kama wako ULAYA.Nimezaliwa Tanzania lakini naamini kuwa tukipata timu ya Watanzania kumi na mbil [12] wenye moyo wa kujitoa kuongoza baada ya miaka Kumi yao wao kuwa madarakani basi watakuwa wametupa Taifa lenye hadhi sawa na ULAYA.INAWEZEKANA.Tatizo tutawapateje?[/QUOTE]


Nimekusoma mwanzo hadi mwisho. Nashukuru kwa maoni yako na kwa kuchukua muda wako kunijibu.
 
Back
Top Bottom