Katika neno Credit (Cr) inaleta mantiki, sasa herufi "r" inatokea wapi katika neno Debit (Dr)? Wataalam wa Accountancy levels zote tunaomba ufafanuzi

Historia ya uhasibu inaonyesha kwamba Dr na Cr zilikuwa zilitumia na wafanyabiashara katika kutunza mahesabu yao. Debits zilikuwa kwa ajili ya kurekodi debtors(wadai). Debts were debtors and abreviated as Dr. kwa hiyo Dr oringinally ni Debtors. Ni hivyo pia kwa Cr sio kwamba r inawakilisha r ya Credit,Big No. It is abbrevated from Creditor-Cr. Hayo ni mambo ya karne ya 18 huko
Debtors ni wadaiwa na co wadai mkuu.
 
  • Thanks
Reactions: o_2
Habari za wakati huu kaka na dada zangu wote wa humu jamiiforums.

Ndugu zangu watanzania eti;

Katika neno Credit (Cr) inaleta mantiki, sasa herufi "r" inatokea wapi katika neno Debit (Dr)?

Wataalam wa Accountancy Levels zote tunaomba ufafanuzi tafadhali kwa maana tumechoka kukaririshwa sasa tunatafuta "logics".

View attachment 1626955

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Mkuu inayotumika ni hapo ni noun yaani Creditors na Debtors. Sio Debt na Credit.
 
The terms debit (DR) and credit (CR) have Latin roots: debit comes from the word debitum, meaning "what is due," and credit comes from creditum, meaning "something entrusted to another or a loan."

When it comes to the DR and CR abbreviations for debit and credit, a few theories exist. One theory asserts that the DR and CR come from the Latin past participles of debitum and creditum, which are debere and credere, respectively.

Another theory is that DR stands for "debit record" and CR stands for "credit record."

Finally, some believe the DR notation is short for "debtor" and CR is short for "creditor"

Hopefully this will answer your question!
Umeulizwa kwa kiswahili wewe umeenda ku google huko na kuleta kiingereza, 😁😁 be proud of your mind and language
 
Debtor limetokana na neno la kilarin debere liko maanisha kudaiwa ie to owe.
Na creditor limetokana na kilatini pia credere likimaanisha kuamin...to believe
 
Umeulizwa kwa kiswahili wewe umeenda ku google huko na kuleta kiingereza, be proud of your mind and language
Hayo maneno aliyouliza ni ya lugha ya kiswahili?
Kwa nini wewe basi usinge google ukamletea maana yake kwa kiswahili!?
Halafu angalia hitimisho lako, ungekuwa unajivunia lugha yako ungehitimisha hivyo!?
Kama unakithamini na kujivunia kiswahili ungeandika kiswahili peke yake!
 
When it comes to the DR and CR abbreviations for debit and credit, a few theories exist. One theory asserts that the DR and CR come from the Latin past participles of debitum and creditum, which are debere and credere, respectively
 
When it comes to the DR and CR abbreviations for debit and credit, a few theories exist. One theory asserts that the DR and CR come from the Latin past participles of debitum and creditum, which are debere and credere, respectively
Kila mmoja anasema jibu lake
 
Hayo maneno aliyouliza ni ya lugha ya kiswahili?
Kwa nini wewe basi usinge google ukamletea maana yake kwa kiswahili!?
Halafu angalia hitimisho lako, ungekuwa unajivunia lugha yako ungehitimisha hivyo!?
mhhh...
 
Back
Top Bottom