Kuna moja hiyo yaitwa "kanyaga wese" ni mahsusi wakati wa baridi kali hakuna zile " to and fro"
Halafu kuna hii ya kidhungu inaitwa "simple pendulum", ni maalum kwa walei walio Tilalila
St. Paka Mweusi why buy a cow while you can get free milk bana?? Chukua hatua fasta.....
Hivi ngarenaro siku hizi kunaitwa amsterdam? Aisee!
Leo ni siku ya ukimwi ujue!
Akuuu we St. Paka Mweusi sing'ang'aniagi wazee kama Filipo lol... Akinifia je?Na bora asisiskie kabisa,yuko wapi kwanza au bado kashikiliwa na sweetlady,mwambie akicheza tu mtakatifu anamendeamendea hapa hahahhahah