Kimey
JF-Expert Member
- Mar 25, 2009
- 4,117
- 831
Watoto wanabaki na nani ukienda kazini?Kibweka wewe kama hausband wangu ungenipa nini?
Tuzo ya ushujaa ndani ya nyumba..faida za kparty ya ukweli sio zile za kufoji
Watoto wanabaki na nani ukienda kazini?Kibweka wewe kama hausband wangu ungenipa nini?
Tuzo ya ushujaa ndani ya nyumba..faida za kparty ya ukweli sio zile za kufoji
Unakwenda kijijini unakuta familia masikini sana, hawana hata uwezo wa kupata mlo mmoja kutwa, kuwaonea huruma unachukua binti yao hadi kwako mjini akufanyie kazi za ndani, apate pesa awasaidie wazazi wake
Binti akiwa kwako anapata ujauzito, bila kujali ameupata wapi, wewe unamludisha kwao,
-Je! huu ni uungwana?
-Hauoni kuwa unaiongezea familia umasikini na mzigo wa kulea mimba na hatimaye mjukuu?
-hakuna njia nyingine ya kumsaidia huyu binti zaidi ya kumrudisha kwao?
-Je ukikuta mimba hiyo ni ya mwanao wa kiume? na wakati huo umeisha mrudisha kwao!
Ongera mwanangu umenena, wengine mbona wanashindwa kuongea kama wewe? hata hivyo humu kuna waalibifu wengi na hao ndio ninapambana nao kuwaelimisha,Kumrudisha kwao ni kosa kubwa sana! Wazazi walimkabidhisha kwa mtu mzima mwenye akili timamu kwakujua atalelewa na kutunzwa asiharibikiwe na vishawishi vya mjini... Iweje atimuliwe na mzigo huo?
Akirudishwa kwao, wakulaumiwa ni wote, mama mwenye nyumba na Mumewe kwa kushindwa kufanya maamuzi ya busara.