Katika hili Tanzania amka! tumsupport Jakaya Kikwete!

kweleakwelea

JF-Expert Member
Nov 29, 2010
3,066
1,535
ndugu wana jf.....

nawasalimia tena kwa hishma na taadhima kuu...

si kwa sababu mna sura nzuri, bali kwa uchungu uzalendo na uwezo wenu ulio na mchango mkubwa katika ujenzi wa taifa letu na demokrasia yake changa.....

mchango wenu huu ambao unamfanya hata mheshimiwa raisi na wasaidizi wake pia wabunge wengi kulog in na kuweza kufanya maamuzi.....

ninachoamini ni kuwa katika maslahi ya taifa hakuna rafiki wa kudumu, wala adui wa kudumu......

ndio maana katika hili la katiba mpya....umma umejikusanya, majadiliano yamefanyika, asasi zimejikusanya, jf imeanzisha jukwaa la katiba, vyama vimesigana...lakini baadae WENYE AKILI wameweka tools chini, wakatanguliza maslahi ya taifa mbele..

ni kweli katiba imewakutanisha hata DR SLAA NA RAISI KIKWETE KWA MARA YA KWANZA........

leo hii eti kuna fununu kuwa kuna RAIA FLANI TULIOWACHAGUA KUINGIA BUNGENI wanataka kuturudisha tulikotoka....

wanabeza na kutaka kukwamisha juhudi za wazi za JK na watu wenye mapenzi mema na nchi hii kutetea katiba bora....

nadhani ni wakati wa kuweka mkakati mzito....wa nchi nzima.....kumsupport JK katika hili...

narudia tena, katika national interest there is no pernmanent enemy au permanent friend....hapa ni hoja tu....

kuna maeneo huwa sikubaliani sana na Jk lakini sio hili la katiba.....

tusimame, wote kabisa kwa nafasi zetu tuonyeshe kumuunga mkono JK katika kipindi hiki kigumu....

tuweke itikadi zetu pembeni, na personalities.....na ya nyuma yawe ya nyuma,,,,

iwe AZISE, taasisi za dini.....jf kila pahala......

tusimame na jk katika hili......

tuwaelimishe hata hao wabunge wa CCM KUWA NJIA PEKEE YA KUWARESCUE WAO NA CHAMA CHAO KAMA INAVYOONEKANA SASA NI KUWA POSITIVE KAMA KINA KINGWANGALA NA KINA NDUGULILE........

wasiposikia basi na ifike pahala kama ni bunge na livunjwe.....

Tubebe gharama ya demokrasia........

tuijenge Tanzania mpya!!!!!!

Kama nlivyoanza, kwa hishma na taadhima kuu

naomba kuwakilisha!!
 
Upo sahihi mkuu ona thread yangu,hebu tumuunge mkono lakini na yeye achukue hatua.
 
JK ni ndumilakuwili, hata baada ya mikutano hiyo siwezi kumuamini kwa hiyo simuungi mkono.

Ni Rais Rahisi, hana msimamo. Na kwa bahati mbaya haelewi anachotaka kuwafanyia watanzania.

Hakuna anayeweza kunishawishi kuwa JK safari hii hatafanya usanii. Sitaki watanzania wamuamini hadi tunayotaka yatekelezwe. JK ni rais mwoga, hafai kuaminiwa.
 
JK ni ndumilakuwili, hata baada ya mikutano hiyo siwezi kumuamini kwa hiyo simuungi mkono.

Ni Rais Rahisi, hana msimamo. Na kwa bahati mbaya haelewi anachotaka kuwafanyia watanzania.

Hakuna anayeweza kunishawishi kuwa JK safari hii hatafanya usanii. Sitaki watanzania wamuamini hadi tunayotaka yatekelezwe. JK ni rais mwoga, hafai kuaminiwa.

Tumuunge mkono kweli kwa kuwa kwa hili,tumeanza kuona nani ni nani juu ya hatima yetu kama Taifa,na hakika hata fanya usanii na akifanya usanii CDM wapo kwa kuwa wao kwa sasa wanamilki kihalali slogan ya Peoples Power,nao CDM wakileta za kuleta umma unaingia mtaani wenyewe kama Misri.
 
I support your idea sir..nadhani mkakati madhubuti unapaswa kuandaliwa kuanzia vyombo vya habari mpaka kwenye uchochoro, kwenye simu (sms) mpaka internet (e-mails)..Kwa haraka zaidi kuanzia bungeni mpaka kwenye kitongoji, CHADEMA,AZAKI etc zijiandae kutoa elimu ya emergency kuanzia sasa ili kuamsha fikra za wananchi juu ya ubakaji wa katiba unaolengwa kufanywa na wabunge wa CCM. Mwisho kabisa..baada ya Kukwamisha marekebisho hayo (kama itakuwa hivyo<Mungu epushilia mbali>)..basi CHADEMA,AZAKI etc zianzishe kampeni nzito za kuashitaki wabnge hawa huko huko majimboni kwao. Nawasilisha
 
Na pia JK ajitokeze hadharani aseme kuwa hayo marekebisho ni ya msingi kwa manufaa ya taifakisha awaambie wanaccm wenzake kupitisha au kutopitisha ni juu yao na hata wakitaka wampigie kura ya kutokuwa na imani naye..yeye anawe mikono. Huo ndio ushauri wangu kwa mh. Raisi. Mungu ampe hekima kuu majira haya.
 
Na pia JK ajitokeze hadharani aseme kuwa hayo marekebisho ni ya msingi kwa manufaa ya taifakisha awaambie wanaccm wenzake kupitisha au kutopitisha ni juu yao na hata wakitaka wampigie kura ya kutokuwa na imani naye..yeye anawe mikono. Huo ndio ushauri wangu kwa mh. Raisi. Mungu ampe hekima kuu majira haya.

NA mimi naunga mkono MIA kwa MIA.
Hapa haya magamba yatatuchezea sana tusipokuwa makini. Ni ma hayawani tu ndio yanayoweza kubeza maana na dhana ya maslahi ya taifa.
Kwa hili, Long live JK, Long live Tanzania.
 
JK ni ndumilakuwili, hata baada ya mikutano hiyo siwezi kumuamini kwa hiyo simuungi mkono.

Ni Rais Rahisi, hana msimamo. Na kwa bahati mbaya haelewi anachotaka kuwafanyia watanzania.


Hakuna anayeweza kunishawishi kuwa JK safari hii hatafanya usanii. Sitaki watanzania wamuamini hadi tunayotaka yatekelezwe. JK ni rais mwoga, hafai kuaminiwa.

Nakubaliana na wewe kabisa,

Nadhani tuwaunge mkono wabunge wa CCM wamwondoe JK ili tuanze upya...

Kama Shy-Rose alivyombia Makamba live bila kutafuna maneno, kwamba; "Makamba, you are the problem for CCM...the problem for CCM is Makamba", hata JK naye anahitaji kupewa ukweli huo...Baada ya hapo awaachie wengine waendelee na kazi ngumu ya kurekebisha madudu aliyokwishayafanya!!

Jitihada zozote za kumwokoa JK ni hatari zaidi ya Tsunami!!

DC
 
ndugu wana jf.....

nawasalimia tena kwa hishma na taadhima kuu...

si kwa sababu mna sura nzuri, bali kwa uchungu uzalendo na uwezo wenu ulio na mchango mkubwa katika ujenzi wa taifa letu na demokrasia yake changa.....

mchango wenu huu ambao unamfanya hata mheshimiwa raisi na wasaidizi wake pia wabunge wengi kulog in na kuweza kufanya maamuzi.....

ninachoamini ni kuwa katika maslahi ya taifa hakuna rafiki wa kudumu, wala adui wa kudumu......

ndio maana katika hili la katiba mpya....umma umejikusanya, majadiliano yamefanyika, asasi zimejikusanya, jf imeanzisha jukwaa la katiba, vyama vimesigana...lakini baadae WENYE AKILI wameweka tools chini, wakatanguliza maslahi ya taifa mbele..

ni kweli katiba imewakutanisha hata DR SLAA NA RAISI KIKWETE KWA MARA YA KWANZA........

leo hii eti kuna fununu kuwa kuna RAIA FLANI TULIOWACHAGUA KUINGIA BUNGENI wanataka kuturudisha tulikotoka....

wanabeza na kutaka kukwamisha juhudi za wazi za JK na watu wenye mapenzi mema na nchi hii kutetea katiba bora....

nadhani ni wakati wa kuweka mkakati mzito....wa nchi nzima.....kumsupport JK katika hili...

narudia tena, katika national interest there is no pernmanent enemy au permanent friend....hapa ni hoja tu....

kuna maeneo huwa sikubaliani sana na Jk lakini sio hili la katiba.....

tusimame, wote kabisa kwa nafasi zetu tuonyeshe kumuunga mkono JK katika kipindi hiki kigumu....

tuweke itikadi zetu pembeni, na personalities.....na ya nyuma yawe ya nyuma,,,,

iwe AZISE, taasisi za dini.....jf kila pahala......

tusimame na jk katika hili......

tuwaelimishe hata hao wabunge wa CCM KUWA NJIA PEKEE YA KUWARESCUE WAO NA CHAMA CHAO KAMA INAVYOONEKANA SASA NI KUWA POSITIVE KAMA KINA KINGWANGALA NA KINA NDUGULILE........

wasiposikia basi na ifike pahala kama ni bunge na livunjwe.....

Tubebe gharama ya demokrasia........

tuijenge Tanzania mpya!!!!!!

Kama nlivyoanza, kwa hishma na taadhima kuu

naomba kuwakilisha!!

Wewe na JK wako ni wanafiki, siwaungi mkono.
 
Back
Top Bottom