Katika hili, namwamini Shetani


Pale unapojidai mjuaji lakini kumbe no pumbavu na mbumbumbu usiyejua kitu
 

Swali langu

Je, WALIKUFA AU BADO WAPO HAI?HIYO KUFA HAKUMAANISHA ON SPOT ILA ALIMAANISHA KUWA KAMA WASINGEKULA BASI WANGEISHI MILELE
 
Hata kwa hivyo ulivyowaza bado Adam walikufa siku ile ile maana hawakuishi miaka elfu moja na neno la Mungu linasema kwa Mung siku moja ni sawa na miaka elfu moja
 
Ndio ujue kuwa huwa tuna nyeshwa chai
 
Usicheze na Shetani alipambana na Mungu vita kali hadi akafanikiwa kuondoka na Theluthi nzima ya malaika mbinguni. Unaweza kuelewa alikuwa na ushawishi kiasi gani. Shetani ana mguvu sana ni vile tu tumezoea kufundishwa mabaya yake tu siku zote lakini ana mazuri mengi.
 
Hayo umesema wewe lakini kitabu cha mwanzo hakijasema hivyo. Mambo ya kufa kiroho umeyatoa wapi. Unataka kusema sisi hatuelewi kilichoandikwa?

Ahahahah lol


Sent from my iPhone using JamiiForums
 

Ndio maana nawaambiag watu wasim understimate shetani hat kidogo , kwan ana uwezo wa Kiungu na mamlaka ya vitu vyote vilivyopo duniani ... Ndio maana alimpeleka Yesu mpaka milimani na kumuonyesha milki zote za ulimwengu huu na kumuahidi kumpatia Endapo tu atamuabudu .

Kama angekua hana hayo mamlaka Yesu angemwambia , ila alikataa kwa kuwa alijua Shetani anayo hayo mamlaka ya kumpatia utajiri wote uliopo duniani..

Sasa mtu from no where anatokea anajifanya ana nguvu za kupambana na shetani , like seriously? Unapambana na mtu aliyekuumba[emoji16]( tusiulizane maswali hapa).


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Mungu hakumsaliti mwanadamu.Mwanadamu ndie aliye msaliti Mungu.sikiliza usitoe lawama sisizo na msingi.Adamu aliambiwa mapema kuwa kuna mti wa mema na mabaya.hii ndio fumbo mpaka sasa.Sasa sikili unapopewa maagizo tekeleza usipo fanya hivyo wewe ni msaliti.Mti wa mema na mabaya ni nini?neno mti katika biblia ina maana mtu.ukisoma kwenye biblia inasema Yesu anasema mti usio zaa matunda nitauvyekelea mbali.sasa neno mti katika ulimwengu wa roho ni mtu.Sikiliza umeambiwa kuwa ndugu katika bustani hii inayopendeza kwa sana lakini kuna shida moja.ukitaka kufanikiwa usishiriki na kiumbe kiingine usicho pewa hati miliki.Adamu alikuwa bado anataka kujua kuna nini?kama wewe unavyodadidi.ile bustani ilikuwa na mambo mengi sana maana shetani alikuwa tayari yupo duniani hivyo adamu lazima aepukane nayo.Mungu ni mwema sana kwa mwanadamu
 
Nini maana ya mnara wa babel?
Kwa nini nuhu alimlaani kaanani badala ya hamu?
Kwa nini kaini alimuua Abel?
NINI MAANA YA HAKI YA MZALIWA WA KWANZA?tuanzie hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wala Mungu hakudanganya.Lakini ni timing ya kifo na sababu ya kifo.Tunda kama tunda halileti kifo bali kifo huletwa na tabia ya ujuzi wa mema na mabaya。mfano watu wengi wanakufa na ukimwi kwa sababu ya ujuzi wa kujua kuwa nililala na mwanamke nitasikia raha hivi na hivi ,mwizi anakufa kwa kuuawa na watu kwa sababu ya dhambi wizi na kwa sababu mtu anajua nikimpiga hivi atakufa
 
Kama Biblia ni fake news, Quran sijui tuiteje? Maana Quaran ni copy and paste ya Biblia, Kasome vizuri historia ya Uislam sio kuja na propaganda za kijinga za mara Uislam ulikuwepo toka enzi za Adam, na Adam, Yesu(Issa) eti alikuwa Muislam, Wakati Quran inasema Muislam wa kwanza ni Mtume, wa pili Bi Khadija, Na Huyo Muislam wa kwanza kauleta Uislam Karne 6(Miaka 600) Baada ya Kristo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…