Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 59,801
- 104,746
Sheria inataka kufuta matokeo au kumpeleka mahakamani? Kwahiyo 2020 Lisu angejitangaza kuwa ndio mshindi wa uchaguzi, ungefutwa na kurudiwa?Yah mnafuta ili msije kumtangaza mungine kinyume na alivyojitangaza yeye, afu ikaja kuonekana kuwa kaonewa.