Katika hii dunia utaacha alama gani?

Katika hii dunia utaacha alama gani?

Mie ntaacha alama ya unyayo wa miguu juu ya jiwe kubwa Kama alivyofanya Mwanamalundi wa Kanda ya ziwa
 
Maisha ya mwanadamu ni mafupi sana, na ni bahati sana kufikisha miaka 80 na kuendelea.

Lakini ni vizuri pia kuacha kumbukumbu (alama) kwa wanaobaki; ili kutambua mchango wako katika jamii husika.

Ingawa aimaanishi kuacha alama au kutokuacha alama, kutarejesha uhai wako tena, bali ni kuweka ile hali ya jamii kutambua mchango wako.

Mi alama nitakayoiacha ni hizi nyuzi zangu; je wewe utaacha alama gani?

Nb: Ukitaka watu wote waishe duniani, wazuie watu wasizae kabisa kuanzia sasa; baada ya miaka 50 kutakuwa na watu wa kuhesabika
Baada ya miaka 1000 ijayo alama za civilization hii iliyopo duniani hazitakiwepo hata moja
 
Watoto sio alama lol

Wote tutasahaulika, ndio maana hata kina Nyerere wanawekewa siku special za kuwakumbuka... on a daily basis who cares?
 
Ana maanisha kumbukumbu,yaani watu watakukumbuka kwa kipi hata baada ya wewe kutoweka Duniani?

Ndio nilivyomuelewa mleta mada.
Ni vizuri.
Walau ukizaliwa tu tayari umeweka alama kwenye familia hata ukiishi sekunde 1, itakukumbuka hata kwa sauti uliyotoa punde tu baada ya kuzaliwa.

Kidunia, dunia ina watu zaidi ya 7.8 b, sio rahisi kukumbukwa labda uwe fisadi.
 
Back
Top Bottom