Chakorii
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 18,785
- 51,527
Yani nimemaanisha huku kwetu sitimbi wapo.si umeniambia nitafute wazee wenye 90 katika mtaa wangu…ehee wapoUnamaanisha mazingira magumu ndio yanawafanya waishi miaka mingi?
Yani nimemaanisha huku kwetu sitimbi wapo.si umeniambia nitafute wazee wenye 90 katika mtaa wangu…ehee wapoUnamaanisha mazingira magumu ndio yanawafanya waishi miaka mingi?
Inabidi na wewe ukae huko huko ili ufikishe hiyo miakaYani nimemaanisha huku kwetu sitimbi wapo.si umeniambia nitafute wazee wenye 90 katika mtaa wangu…ehee wapo
Kikubwa uhaiInabidi na wewe ukae huko huko ili ufikishe hiyo miaka
Jua la jioni.Kwamba tayar umeshakula sukari ya kutosha sio
Yaani 30+ unajiita jua la jioni😩😩na sisi wenye 70+ tukae kundi gani mwana wa MunguJua la jioni.
Kijiji ninachoishi nimetengeneza mageti zaidi ya 200,pia nitaacha watoto zaidi ya 8 kwa weke zangu wawili😂😂😂😂😂😂Watu watauliza ulikuja duniani kufanya nini?
Miaka 70+ macho yasingekuwa na nguvu ya kuona jfYaani 30+ unajiita jua la jioni😩😩na sisi wenye 70+ tukae kundi gani mwana wa Mungu
Inabidi ufanye kazi kizalendo zaidi, ili wakukumbuke kwa wema wakoKijiji ninachoishi nimetengeneza mageti zaidi ya 200,pia nitaacha watoto zaidi ya 8 kwa weke zangu wawili😂😂😂😂😂😂
Bila kusahau madirisha ya aluminium niliyotengeza ni zaidi ya 2000.watanikumbuka tuu😂😂😂😂
Kunawatu Mungu kawajaalia,Kuna mzee msikitini kwetu Ana 75 anasoma Qur'an bila miwani.Miaka 70+ macho yasingekuwa na nguvu ya kuona jf
Ndio nawabalancia Bei ni nafuu.Inabidi ufanye kazi kizalendo zaidi, ili wakukumbuke kwa wema wako
Wapo wachache wana bahati ya miili yao kuwa imaraKunawatu Mungu kawajaalia,Kuna mzee msikitini kwetu Ana 75 anasoma Qur'an bila miwani.
Wakati mwingine unatakiwa uwatengenezee bureNdio nawabalancia Bei ni nafuu.
Kama tunavyowasoma binadamu wa kale kwenye historiaHiyo alama itakusaidia nini?
Dharau zitakukosti🤣🤣🤣Miaka 70+ macho yasingekuwa na nguvu ya kuona jf
Ndio kama chakorii sasa.Wapo wachache wana bahati ya miili yao kuwa imara
😀😀😀 sabini sio 7+0Ndio kama chakorii sasa.
Kijana nakuomba usishupaze shingo yako ngumu😂
Wanachangia Material,umeme na chakula Cha fundi basi.Wakati mwingine unatakiwa uwatengenezee bure
Mim ntaacha alama ya ka babe girl kangu.Maisha ya mwanadamu ni mafupi sana, na ni bahati sana kufikisha miaka 80 na kuendelea.
Lakini ni vizuri pia kuacha kumbukumbu (alama) kwa wanaobaki; ili kutambua mchango wako katika jamii husika.
Ingawa aimaanishi kuacha alama au kutokuacha alama, kutarejesha uhai wako tena, bali ni kuweka ile hali ya jamii kutambua mchango wako.
Mi alama nitakayoiacha ni hizi nyuzi zangu; je wewe utaacha alama gani?
Nb: Ukitaka watu wote waishe duniani, wazuie watu wasizae kabisa kuanzia sasa; baada ya miaka 50 kutakuwa na watu wa kuhesabika