fundiaminy
JF-Expert Member
- Jun 4, 2009
- 355
- 51
Jamaa flani alipata demu msafiii.akaamua kumpia saundi.katika hali ya kumwaga mistari ghafla bunduki yake ikasmama..dah.jamaa ilibidi aende chemba na kufungua zipu na kutoa bunduki yake na kuiambia kwa hasira "haya katongoze wewe kwa tamaa zako!!!"