Ngoniboysinai
JF-Expert Member
- Aug 6, 2013
- 577
- 460
Mshahara wa Lowassa
- Akiwa AICC TShs. 362,500 (~$2,500)
- Akiwa Waziri Wa Ardhi TShs. 1,881,600
- Hapa ndio akajenga lile jumba la ubalozi wa SA, lenye thamani ya ~TShs. 300,000,000 (1994)
Hebu atupe kwa kuanzia maelezo ya jinsi alivyojenga hilo hekalu na jinsi alivyopata kiwanja kule Masaki.
Kupata kiwanja masaki wewe unaona dili sana eee mbona kawaida tu.