Aisee Leo ndo umewaumbua hasa hawa mambumbumbu wa CCM, yaani sh 7,000 per day na siyo per hour, ndo iliwafanya hawa mazezeta kutetea kila uchafu wa serikali na CCM, ndo maana baadhi yao wametoweka hatuwaoni humu Kama YEHODAYA, Lizaboni, Barbarosa na wengineo kumbe kisa ni Buku 7 imekata.
Ama kweli CCM ni kiwanda cha mataahira, it's better someone lacks money or lives without money than having no wits!
Sent using
Jamii Forums mobile app