Katibu Mtendaji NACTE adaiwa kugushi vyeti vya shahada ya uzamivu

Gazeti la Dira la jana Jumatatu tarehe 07/03/2016 toleo no.405,limekuja na habari inayomtuhumu Katibu Mtendaji wa NACTE,Dr.Primus Nkwera kugushi vyeti vya shahada ya uzamivu na pia gazeti limedai alisomeshwa "PHD" Afrika Kusini na serikali akafeli.

Hizi tuhuma ni nzito maana kugushi bila shaka ni jinai.Sasa baada ya gazeti kuandika hii habari,wahusika wanachukua hatua gani?

Tunaendelea kuwapima na kesho nitakuja hapa na tuhumu nyingine kuhusu Idara ya Habari-Maelezo kutoa taarifa ambayo sio ya kweli kumetea Sefue ikiwa imeandikwa na gazeti hili pia.

Kilichoandikwa kuhusu Idara hii kama ni kweli,basi itakuwa ni fursa nyingine ya kupima dhamira ya serikali katika kile kinachoitwa "kutumbua majipu".

Nitawajuza kesho jioni baada ya kumaliza mithinani(UE) leo nimebanwa sijui hata kama usingizi utakuja.

NB:

Mjumbe hauwawi.
Ninamfahamu vizuri Ndg. Primus Nkwera kitaaluma ni Civil Engineer. Elimu yake ni Shahada ya Pili (Masters-uzamili) ya uhandisi aliyoipatia nchini Hungary.

Kabla ya kujiunga na NACTE alikuwa ni mwajiriwa wa Taasisi ya Teknolojia Dar es salaam (Dar es salaam Institute of Technology - DIT) kama mwalimu katika Idara ya uhandisi ujenzi (Civil Engineering Department).

Wakati akiwa Mwalimu DIT ndipo alipata fursa ya kwenda kusoma shahada ya uzamivu (PhD) nchini Afrika Kusini kwa ufadhili wa serikali ya JMT na kurejea nchini mwishoni mwa mwaka 2004. Baada ya kurudi akaanza kujiita Dk. Nkwera hadi katikati ya mwaka 2005 ndipo akabainika kuwa amefeli masomo yake ya uzamivu na hivyo hana hadhi ya kuitwa Dk.

Wakati bado yupo kwenye wimbi hilo la kuidanganya jumuiya ya DIT kuwa ni Dk kumbe akawa ameanza mipango ya kuikimbia aibu aliyojitengenezea na kwa kushirikiana/msaada wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Mafunzo hapo DIT akafanikiwa kupata kazi NACTE ambapo ameendelea kuwadanganya watanzania kuwa ana shahada ya uzamivu (PhD) hali iliyopelekea kuteuliwa kuwa Katibu Mtendaji wa NACTE.

Kama aliwasilisha vyeti vya elimu ya uzamivu (PhD) ni wazi kuwa amedanganya au amegushi vyeti hivyo.
 
Better for me an academic dwarf and am content keeping a low profile with manual labour.

JAMAN WABONGO SOMENI MUELIMIKE NA VYETI.

SIYO KUSOMA UPATE VYETI TUUU

nyambaff zetu
 
Gazeti la Dira la jana Jumatatu tarehe 07/03/2016 toleo no.405,limekuja na habari inayomtuhumu Katibu Mtendaji wa NACTE,Dr.Primus Nkwera kugushi vyeti vya shahada ya uzamivu na pia gazeti limedai alisomeshwa "PHD" Afrika Kusini na serikali akafeli.

Hizi tuhuma ni nzito maana kugushi bila shaka ni jinai.Sasa baada ya gazeti kuandika hii habari,wahusika wanachukua hatua gani?

Tunaendelea kuwapima na kesho nitakuja hapa na tuhumu nyingine kuhusu Idara ya Habari-Maelezo kutoa taarifa ambayo sio ya kweli kumetea Sefue ikiwa imeandikwa na gazeti hili pia.

Kilichoandikwa kuhusu Idara hii kama ni kweli,basi itakuwa ni fursa nyingine ya kupima dhamira ya serikali katika kile kinachoitwa "kutumbua majipu".

Nitawajuza kesho jioni baada ya kumaliza mithinani(UE) leo nimebanwa sijui hata kama usingizi utakuja.

NB:

Mjumbe hauwawi.

Huu ni mchezo ulioota mizizi. sasa hivi inaeleweka hata vyuo vikuu vina watu waliokwisha panda hadi kuitwa professors wakati hawakuwahi pata Ph.D zao. hebu gazeti liingie hadi vyuoni. Bahati mbaya sana hata viongozi wa nchi walishaona kujisingizia sifa za kielimu ni mtaji kwao.
 
niko Denmark mkuu. Wewe pande za wapi?
Niliwahi kukuuliza ukawa kimya. Uko Copenhagen? Kama uko Copenhagen basi utakua unapajua Marmo Sweden pale 20 minutes from Copenhagen. Kwa sasa nipo UK Ila natarajia kwenda Marmo tena next week for a week or two. Nashukia Copenhagen hapo hapo
 
Niliwahi kukuuliza ukawa kimya. Uko Copenhagen? Kama uko Copenhagen basi utakua unapajua Marmo Sweden pale 20 minutes from Copenhagen. Kwa sasa nipo UK Ila natarajia kwenda Marmo tena next week for a week or two. Nashukia Copenhagen hapo hapo
ebwana nimeshakukumbuka. Malmo napafaham sana. Karibu mkuu Cph. Utafikia hotelini ama una mwenyej. UK hapo mji gani?
 
ebwana nimeshakukumbuka. Malmo napafaham sana. Karibu mkuu Cph. Utafikia hotelini ama una mwenyej. UK hapo mji gani?
Nashukia Copenhagen airport then naelekea malmo mojakwamoja. Yes kule sifikii hotel nina mwenyeji wangu kule. Hapa UK nipo Southampton
 
Hata urais umegushiwa lkn sasa hiv unafanya kaz vzr, wacha hata huyo katibu aendelee na kaz.......nazan wengi wanao gushi huwa wapo vzr kwenye utendaji zaid ya walio halali
Ndio maana nchi hii wasomi wanaonekana hawana jipya kumbe wengi ni washenzi tu wenye vyeti feki.
 
Wazee wameghush PHD mpaka U professor mambo yanakwenda tu, wako wengi sana hao utaskia vyuo vya ajab ajab ....jamaa alikula SUPP akala kitengo.
 
Back
Top Bottom