Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,845
- 2,667
wakuu kuna tetesi kuwa katibu mkuu wizara ya afya ameitwa ikulu.ingawa vyombo vingi vya habari vimesusia kutoa habari za mgomo wa madaktari lakini inaelekea hali inaendelea kuwa mbaya.
keshamaliza fungate ya mwanae