Radio one wanasema hakuna mgomo dar wala huko bunda, Musoma!star T.V wamereport fairly.
wakuu kuna tetesi kuwa katibu mkuu wizara ya afya ameitwa ikulu.ingawa vyombo vingi vya habari vimesusia kutoa habari za mgomo wa madaktari lakini inaelekea hali inaendelea kuwa mbaya.
Radio one wanasema hakuna mgomo dar wala huko bunda, Musoma!
kunywa juice.Kaitwa kufanya nini? Kupandishwa cheo?
Wao waitane ikulu,wapige story wanazojua jambo la msingi ni kutoa majibu sahihi!!Wenye kiu ya haki tunazitafuta haki zetu wenyewe na wagonjwa tunaowahudumia.Inshallah tutafanikiwa.
kunywa juice.