Katibu mkuu Wizara ya Afya aitwa Ikulu

Wanaogopa kufungiwa na Waziri mhusika has special orders kuwafungia! Kidumu chama cha Mapinduzi
 
Nilikuwa napita tu kuelekea Uhamiaji kuchukua Passport yangu na Wanafamilia wangu.Ninahamia KIGALI RWANDA nitarejea baada ya hawa Majuha wanaosukuma (sio kuongoza) nji hii kuondoka.Mapambano yangu ni kutokea nje ili wasije kuni-Mwakyembe.Lakini kabla sijachukua Passport zangu nimeona ni vyema nikasema kuhusu huu Mgomo wa hawa wanataaluma ya Udatkari.Kwa kweli kama kuna nchi inadharau taaluma hii hapa duniani basi Tanzania ni ya kwanza.Katika hali ya kawaida nisingetaraji Waziri mwenye dhamana na anayeitwa Dr kitaaluma anaweza kuthubutu kusema eti Doctors wamevunja mkataba, kisa kudai haki yao ya msingi ambayo ni malipo halali kwa kazi halali walizokwisha fanya za kuwahudumia wagonjwa.Kuna washenzi tu ambao thamani yao hapa Duniani (not only Tz) ni sawa na kapu la kinyesi cha mgonjwa wa Kipindupindu, lakini wanalipwa mara 10 zaidi ya mshahara wa Dr. aliyesota Darasani miaka 6 hadi 7.Ukiuliza kwanini iwe hivyo unaambiwa eti huyo ni Mwanasiasa Mh.Mbunge (Mganga wa Kienyeji) SHAME !!!!! Hivi huu ujinga kama usipovaliwa njuga kwa mtindo huu wa Kugoma, naapa kwa jina la yule aliyeniumba kwamba itakuwa ngumu hawa wapuuzi kuheshimu Taaluma hii ya Udaktari.
 
Serikali inafanya mchezo na afya za watu kwakweli. mi mwenyewe nimevishangaa vyombo habari kama ITV jana wanatuwekea mahojianoo feki na mgonjwa wa MNH kuwa eti hakuna mgomo na huduma inatolewa kama kawaida, wakati ukweli ni kwamba madaktari wamegoma.
Mficha maradhi, kifo kita muumbua!
 
Nilikuwa napita tu kuelekea Uhamiaji kuchukua Passport yangu na Wanafamilia wangu.Ninahamia KIGALI RWANDA nitarejea baada ya hawa Majuha wanaosukuma (sio kuongoza) nji hii kuondoka.Mapambano yangu ni kutokea nje ili wasije kuni-Mwakyembe.Lakini kabla sijachukua Passport zangu nimeona ni vyema nikasema kuhusu huu Mgomo wa hawa wanataaluma ya Udatkari.Kwa kweli kama kuna nchi inadharau taaluma hii hapa duniani basi Tanzania ni ya kwanza.Katika hali ya kawaida nisingetaraji Waziri mwenye dhamana na anayeitwa Dr kitaaluma anaweza kuthubutu kusema eti Doctors wamevunja mkataba, kisa kudai haki yao ya msingi ambayo ni malipo halali kwa kazi halali walizokwisha fanya za kuwahudumia wagonjwa.Kuna washenzi tu ambao thamani yao hapa Duniani (not only Tz) ni sawa na kapu la kinyesi cha mgonjwa wa Kipindupindu, lakini wanalipwa mara 10 zaidi ya mshahara wa Dr. aliyesota Darasani miaka 6 hadi 7.Ukiuliza kwanini iwe hivyo unaambiwa eti huyo ni Mwanasiasa Mh.Mbunge (Mganga wa Kienyeji) SHAME !!!!! Hivi huu ujinga kama usipovaliwa njuga kwa mtindo huu wa Kugoma, naapa kwa jina la yule aliyeniumba kwamba itakuwa ngumu hawa wapuuzi kuheshimu Taaluma hii ya Udaktari.


Dr wangu pole sanaaa...kweli Dr unauchungu kwa kweli uko sawa kabisa .....lakini Dr wangu ninyi hamna umoja kabisa mbona wenzenu wapo job wanapiga mzigo? Ninyi bwana mnatania tuuuuu ..... You don`t mean it.....you are not serious!!!
 
Wao waitane ikulu,wapige story wanazojua jambo la msingi ni kutoa majibu sahihi!!Wenye kiu ya haki tunazitafuta haki zetu wenyewe na wagonjwa tunaowahudumia.Inshallah tutafanikiwa.

ikulu ni mahala patakatifu but nowdays ikulu ni mahali patakabifu
 
Dk mponda ambaye ni waziri husika na wizara ya afya mbayo madaktari wamegoma yupo jimboni kwake huku mambo yameharibika je hii ni sawa?
 
Nchi ya kihuni hii...... eti ukidai chako umevunja mkataba ....... mibunge imejiongezea posho mbona serikali haisemi wamevunja mkataba??? shenzi kweli CCM
 
Vyombo vya habari vinapotosha umma wa Watanzania kwa malengo wanayoyajua wao
-Muhimbili leo Madaktari waligoma na hao waliosema shuhgli zinaendelea, ni wanafunzi waliokuwa wakionekana(kwa mwananchi wa kawaida yoyote aliyevaa koti hospitalini ni Dr0
-MOI leo ilifungwa kabisa, hakuna mgonjwa aliyeonwa (huyu Bonge wa clouds aliona wanafunzi wa IMTU wakielekea huko)
-Ocean Road ndio kama mlivyosikia TBC1-specialist wachache ndo walibaki kuona wagonjwa wa ndani
-Bugando wameanza vikao endelevu leo na shughuli zilisuasua leo, kuanzia kesho-HAKUNA KAZI
-Mbeya REFFERALwameanza vikao leo-KUANZIA KESHO, TOOLS DOWN (Yule aliyehojiwa Mbeya ni mganga mkuu wa hospitali ya Mkoa-SIO RUFAA ambayo ni ndogo sana na inaona wagonjwa wengi wa nje tu
-DODOMA regional Hospital, wamekaa vikao leo, TOOLS DOWN KESHO

Enyi waandishi wa habari hizi si ndio habari za uchunguzi mnazotakiwa mzifuatilie na kuhoji wahusika (madaktari katika sehemu husika) ili mziandike?? MNAENDEKEZA NJAA TATIZO LENU NA HAMKO PROFFESSIONAL!!
Nendeni kwenye hizi sehemu kesho muone!


My Dr waandishi wa habari wamenunuliwa na magamba hao.....wasiwaunge mkono.ili jamiii iwapuuze na ionekane kuwa madai yenu sio ya msingi.....lakini ninyi intellectual ndio haswa mnatakiwa kuonyesha njia.....
 
Kasema leo BBC hana taarifa anasikiliza kwenye radio kama. Mama mwisho wa uwongo wagonjwa tunaumia
 
...........umesahau na katikati ya mgomo MzeeMwinyi akaenda kucheza ISAMBE la KANDA BONGOMAN pale shamba la bibi

Kanda-Bongo-Man-Le-Rendez-Vous-De-499602.jpg

Nakumbuka sana alienda pia uwanja wa Taifa kufungua Mpira vyote vikamtokea puani haswa pale Hospitali za Mwanayamala,Temeke,Ilala walivyounga mkono Dar es Salaamu ikazima,Paul Rupia akiwa Katibu Mkuu pale Ikulu alisema angewafukuza wote akala maneno yake ,Mwinyi jumapili moja alfajiri ya saa moja akaibukia central pathology kuwabembeleza wafanyakazi warudi Kazini
Wakigoma madaktari automatically hakuna kazi wauguzi japo wanajua dawa hawawezi kuprescribe wala phamarcist hawezi kudispence,wala labaratory hawawezi kuinvestigate,wala Thetre nurse au anathetist hawewezi kumlaza mgonjwa na kumpsaua ngoma inogile serikali iendelee kucheza na maisha ya watu wataona mwisho wake
 
Hapa naamini mfumo haupo vizuri endapo tungekuwa na mfumo mzuri ungekuta matatizo yanatatuliwa na mambo yanakwenda matokeo yake hakuna kinachoendelea ila matokeo yake migomo imeanza
 
Back
Top Bottom