Hangaika na chama chako!! Pilipili usiyoila ya kuwashia nini???Sijui kama awamu hii wataweza kumuahirishia tena.. Maana alitaka kupumzika kitambo.
Ishu ni je, ni nani wa kumrithi.. Makongoro Nyerere au Mizengo Pinda.?
Pamoja na uwezo wa kifalsafa wa Mako ila kushiriki awamu hii kunaweza kuishia kumharibia na kumchafua. Maana ni lazima afuate amri ambazo nyingi ni mbovu. Mako ingia ujichafue Mzee. Ni akheri Mzee Kinana aliyekaa kimya namuona ana busara sana ukiacha madhaifu yake mengine.. Amedhihirisha uTanzania Mzee Kinana.