Katibu mkuu CHADEMA (Dr. Slaa) atoa tamko

Katibu mkuu CHADEMA (Dr. Slaa) atoa tamko

dr tusikubali kuingizwa mkenge na magamba, wao wanajua bajeti hii ni bomu na pingamizi kubwa litatoka CDM, ziara za mikoani mojawapo ya ajenda kuu ilikuwa ni kuipinga bajeti hii kama itaonesha dalili za kumwelemea mwananchi wa chini sasa tusipoingia bungeni na bajeti ikapitishwa na magamba & co kama ilivyo mtakuwa mmewasaidia nini wananchi.

KWA MARA YA KWANZA NAPINGANA VIKALI NA KAULI YA DR
kama wameamua kupitisha kwanguvu mbona itapita tu bila ubishi hata wakiwepo? wanaacha kuingia ili kujua hatma ya kiongozi wao
 
Jijini Mwanza hali si shwari. Wana Mwanza wanataka CDM isihujumiwe
 
sisi mbunge wetu hata kama asingepitia chadema tungemchagua, na kule bungeni hawakilishi chama bali anawakilisha wananchi kwahiyo sisi wananchi tuliomchagua ndio tunaweza kumwambia mbunge wetu aende au asiende bungeni na siyo Slaa. Huyu mzee vipi.

Nadhani bado hujauelewa mfumo wa nchi yako. Mbunge wa Tanzania siyo mbunge binafsi. Ni mbunge anayewakilisha chama, alienda kwa wananchi kunadi sera za chama chake, wale waliokubali sera za chama chake ndiyo waliomchagua. Hivyo hitaji lake la kwanza ni kufuata sera na maamuzi ya chama chake na matakwa ya pili ni wananchi anaowawakilisha. Ndiyo maana chama chake kikimfukuza si mbunge tena. Mbunge wa Tanzania ili aendelee kuwa mbunge ni sharti atimize matakwa ya chama chake.
 
Tunawasihi wabunge wetu muingie bungeni, msivyo fanya hivyo bunge litakosa wasimamizi maana wabunge wa magamba watayavaa bila kuogopa. Ni hakika wabunge wa ukweli ni nyie hata wanamagamba wenyewe wanawafagilia na wanapenda kusikiliza hoja zenu. Wengi wao huwa wanahudhuria ili wapate uhondo wa hoja zenu, ni bora bunge lisiwepo kabisa kuliko kuwaachia/kuwasikiliza magamba.

Waende bungeni wasiende bado bajeti itapita tu sababu percent yao bado ndogo, na kina Mrema ndio kwanza hawajielewi elewi.
 
dr tusikubali kuingizwa mkenge na magamba, wao wanajua bajeti hii ni bomu na pingamizi kubwa litatoka CDM, ziara za mikoani mojawapo ya ajenda kuu ilikuwa ni kuipinga bajeti hii kama itaonesha dalili za kumwelemea mwananchi wa chini sasa tusipoingia bungeni na bajeti ikapitishwa na magamba & co kama ilivyo mtakuwa mmewasaidia nini wananchi.

KWA MARA YA KWANZA NAPINGANA VIKALI NA KAULI YA DR
Mkuu shirikisha brain kwanza...sasa wakiingia bungeni na ccm wakitaka bajeti ipite ndo haitapita?
 
Dr Slaa naona umefupisha maneno na maana yake. Alichokisema Dr Slaa ni hivi Hakutakuwa na bunge Dodoma wala Amani Tanzania kama wanasiasa wa upinzani wanashikiliwa na vitisho vya kikwete. Sisi wananchi tutahakikisha hakuna amani Dodoma kwa ccm wala kikwete na tunawasii vyombo vya habari duniani mfike Tanzania kuanzia usiku huu.

Tanzania inapitia dark season na kikwete. Tukumbuke kwamba vyanzo vya yote haya ni wizi wa kikwete kwenye uchaguzi na wizi wa kikwete na ccm kwenye mali za Taifa...
 
Tatizo la CCM ni kufilisika kisiasa, kukosa mbinu mbadala za kuwaletaea wananchi maendeleo. Chama chochote kilichopoteza mvuto kwa wananachi hung'ang'ania madarakani kwa kutumia nguvu za dola. HISTORIA IMEJAA MIFANO LUKUKI. Swala si Bajeti.

Hapa CCM wanajaribu kudhoofisha CHADEMA kwa kuwaandama viongozi wake. Nawambia CCM hata wafanyaje CHADEMA si Mbowe wala Slaa. CHADEMA ni ideology mbadala. Wako wakina Mbowe / Slaa wengi ndani ya CHADEMA. Tena mshukuru kuwa hao wanapoza joto. Subiri kizazi kipya cha uongozi wa CHADEMA kinakuja.

Kamwe nchi hii haitaendelea kuwa chaka la mafisadi, wala rushwa, wakwepa kodi, viongozi uchwara, wafanya mzaha katika mambo mazito ya taifa hili, na kadhalika. HUU NI UJUMBE KWA CCM.

CCM walianza kwa kuimba wimbo wa udini, ujimbo, eti ndio sera za CHADEMA; WAKASHINDWA. Magamba yamewashinda sasa wanatumia mbinu za udikteta za kukamata viongozi wa upinzani. Mbinu hizo haziwafikishi popote bali ni silaha katika arsenal ya CHADEMA. Wananchi watatoa sympathy votes. Hawa washauri wa siasa wa CCM kweli hawana kitu....

KUKAMATA VIONGOZI WA CHADEMA hakuleti maendeleo kwa wananchi wala kuwaondolea kero zao za kukosa umeme, maji, shule, tatizo la rushwa iliyokithiri, ajira, etc. Tanzania ya leo sio ya wajinga. NDUGU ZANGU, SIKIO LA KUFA HALISIKII DAWA. Si siri naipenda CHADEMA.
 
Katibu wa chama cha Demokrasia Chaema bwana Willbrodi Slaa amesema wabunge wa Chadema hawataingia ktk vikao vya Bunge Kama Serikali haitomwachia mwenyekiti wa Chadema bwana Freeman Aikaeli Mbowe bila masharti yeyote magumu

Sourse ITV habari 8:00pm

Nimeipenda hii yakutaka masharti yawe magumu! Kwanini ? Kutokana na impression iliyokuwa ikionyeshwa ni kuwa ameonewa sasa masharti ya nini? Hii tuchukulie kuwa Katibu anakubali kuwa kakosa? Basi awambie wafuasi wake wanaokwenda kizani.
 
Dr Slaa naona umefupisha maneno na maana yake. Alichokisema Dr Slaa ni hivi Hakutakuwa na bunge Dodoma wala Amani Tanzania kama wanasiasa wa upinzani wanashikiliwa na vitisho vya kikwete. Sisi wananchi tutahakikisha hakuna amani Dodoma kwa ccm wala kikwete na tunawasii vyombo vya habari duniani mfike Tanzania kuanzia usiku huu.

Tanzania inapitia dark season na kikwete. Tukumbuke kwamba vyanzo vya yote haya ni wizi wa kikwete kwenye uchaguzi na wizi wa kikwete na ccm kwenye mali za Taifa...

Msipofanya hivyo mnavyojilabu basi msituletee tena upuuzi. Tunahitaji kuona vitendo ingawa nahisi kuwa mnajuwa hakika kuwa Mbowe ataiomba radhi mahakama na kuachiwa.
 
Tatizo la CCM ni kufilisika kisiasa, kukosa mbinu mbadala za kuwaletaea wananchi maendeleo. Chama chochote kilichopoteza mvuto kwa wananachi hung'ang'ania madarakani kwa kutumia nguvu za dola. HISTORIA IMEJAA MIFANO LUKUKI. Swala si Bajeti.

Hapa CCM wanajaribu kudhoofisha CDM kwa kuwaandama viongozi wake. Nawambia CCM hata wafanyaje CDM si Mbowe wala SLAA. CDM ni ideology mbadala. Wako wakina Mbowe / Slaa wengi ndani ya CDM. Tena mshukuru kuwa hao wanapoza joto. Subiri kizazi kipya cha uongozi wa CDM kinakuja.

Kamwe nchi hii haitaendelea kuwa chaka la mafisadi, wala rushwa, wakwepa kodi, viongozi uchwara, wafanya mzaha katika mambo mazito ya taifa hili, na kadhalika. HUU NI UJUMBE KWA CCM.

CCM walianza kwa kuimba wimbo wa udini, ujimbo, eti ndio sera za CDM; WAKASHINDWA. Magamba yamewashinda sasa wanatumia mbinu za udikteta za kukamata viongozi wa upinzani. Mbinu hizo haziwafikishi popote bali ni silaha katika arsenal ya CDM. Wananchi watatoa sympathy votes. Hawa washauri wa siasa wa CCM kweli hawana kitu....

KUKAMATA VIONGOZI WA CDM hakuleti maendeleo kwa wananchi wala kuwaondolea kero zao za kukosa umeme, maji, shule, tatizo la rushwa iliyokithiri, ajira, etc. Tanzania ya leo sio ya wajinga. NDUGU ZANGU, SIKIO LA KUFA HALISIKII DAWA. Si siri naipenda CDM.

Nakubaliana nawe kwa mengi uliyoyasema lakini hili la kuvunja sheria nafikiri halitaki mjadala. Jee hapo atakapoingia Ikulu Mbowe atavunja mahakama ili kila mtu awe na uhuru wa kufanya anavyotaka?
 
Mvunje sheria ya mahakama, halafu mumuingize Kikwete? inahusu nini?

Mimi ninachojua kwa umbumbu wangu ni kuwa serikali imevunja sheria vilevile. Mbunge pamoja na kwamba hayuko juu ya sheria, analindwa kukamatwa bila kibali cha Spika wa bunge kupitia kwa katibu wa bunge. Ingekuwa vyema Spika Makinda naye angetamka hadharani kama ameidhinisha hicho kibali cha mbunge yeyote wa Chadema au CUF kukamatwa.
NANAHISI HARUFU YA UHURU.
 
Dr Slaa naona umefupisha maneno na maana yake. Alichokisema Dr Slaa ni hivi Hakutakuwa na bunge Dodoma wala Amani Tanzania kama wanasiasa wa upinzani wanashikiliwa na vitisho vya kikwete. Sisi wananchi tutahakikisha hakuna amani Dodoma kwa ccm wala kikwete na tunawasii vyombo vya habari duniani mfike Tanzania kuanzia usiku huu.

Tanzania inapitia dark season na kikwete. Tukumbuke kwamba vyanzo vya yote haya ni wizi wa kikwete kwenye uchaguzi na wizi wa kikwete na ccm kwenye mali za Taifa...

- Duh!

Willi NYC, USA.e @
 
@niweze,hembu tetea hoja yako.yani chanzo cha mbowe kudharau mahakama ni wizi wa jk?YOU MUST JOKING.
 
Mimi ninachojua kwa umbumbu wangu ni kuwa serikali imevunja sheria vilevile. Mbunge pamoja na kwamba hayuko juu ya sheria, analindwa kukamatwa bila kibali cha Spika wa bunge kupitia kwa katibu wa bunge. Ingekuwa vyema Spika Makinda naye angetamka hadharani kama ameidhinisha hicho kibali cha mbunge yeyote wa Chadema au CUF kukamatwa.
NANAHISI HARUFU YA UHURU.

We umesoma barua ya Lissu basi unaiona ndio kama alivyoiandika? isome vizuri, kuna seheme na wakati wa kulindwa na sheria za ubunge sio kila wakati na kila pahala. Lissu mwenyewe alishafikishwa polisi akiwa Dodoma bunge lililopita. Kivuli cha ubunge kisiwafanye kina Mbowe kukaidi sheria za mahakama, hawako juu ya sheria. Na hao waliomshika wanazijuwa sheria vile vile.
 
Kususa siyo Stratergy Kabisa!. Nadhani mlishaona mlivyosusa Hotuba ya raisi na kujikanyagakanyaga kulikofuata baada ya hapo!.
Wabunge wa Chadema hawakutumwa bungeni ili kusimamia maslahi ya Mbowe!. wametumwa Bungeni kuwakilisha wananchi, wakiwemo waliowapigia kura na wale ambao hawakuwapigia kura!.

Ni matumaini yangu nidhamu ya kibunge itafuatwa iwapo Wabunge kwa makusudi kabisa wanaacha kufanya kazi waliyotumwa na Wananchi.
Wasituletee "Uvyama" katika mambo muhimu na ya masilahi kwa Taifa.

Sheria ni lazima itekelezwe hata kama Raia wote wa Tanzania wanataka Mbowe aachiwe, maana sheria haijali Maandamano ati
 
Mbowe ni Mandela wa Tanzania atabaniwa, atakamatwa, atanyanyasika lakini Nchi ataikomboa kuitoa mikononi mwa Wana-Magamba.
 
Let us look at the whole thing: Mbowe stands accused, in the eyes of CCM zealots, of leading a demonstration in Arusha. That was not a crime. He is, ab initia, falsely accused.

Mbowe is head of the alternate government. Magistrates are surely not free to order the arrest of the leader of government business, or of the leader of the alternate government, without involving the leadership of parliament!

Was it lawful for a magistrate in Arusha to order the arrest of members of parliament at this time? No, absolutely not. The relevant sections of our law that prohibit that were pointed out by Lissu. The Police are required to only obey lawful orders. The order to arrest Mbowe was unlawful and should not have been obeyed.


That is the academic argument. The situation on the ground is that the people have had it with the sleazy, corrupt, inept and illegal CCM government. It is illegal because it came into power by stealing votes.

Tanzanians are tired of being continuously and mercilessly exploited by the same group of people for fifty years. They want a change, and they are tired of waiting for it. They thirst for change and no amount of spinning by CCM agents here will quench that thirst.

The time is opportune now for CDM to call on the international community to stand with us. We want freedom from CCM. We would like the international community to put pressure on CCM leaders so that they stop harassing our true leaders.
 
Mbowe ni Mandela wa Tanzania atabaniwa, atakamatwa, atanyanyasika lakini Nchi ataikomboa kuitoa mikononi mwa Wana-Magamba.

Epuka maneno hayo, huwezi kumweka Mandela fungu moja na Mbowe. Mbowe hatumii busara, iweje Ndesamburio aende Mahakamani, yeye ashindwe akiegemea ushauri wa kisheria wa Lissu.
CDM msiwatumie vibaya wabunge wenu, wao ni wawakilsihi wa wananchi siyo CDM, msipotia timu bungeni, mtazidi kuonyesha uhalisia wenu kuwa MPO KWA MASLAHI YA CHAMA ZAIDI Kuliko WAPIGA KURA WENU.
 
Swala la kweli si Mbowe kukataa kwenda mahakamani. Mbona Zitto hakukataa kwenda mahakamani na bado akakamatwa?

Swala la msingi lingekuwa Mbowe kufika mahakamani ili kiwe nini? Waliofika mahakamini kumekuwa na nini cha maana zaidi ya kuahirisha kesi?

Kama swala lingekuwa Mbowe kufika mahakamani ingebidi hadi itumike ndege ya jeshi kumfikisha huko? Na nani kawapa Polisi ndege ya Jeshi? Amiri Jeshi Mkuu?

Ni wazi CCM wameishiwa nguvu ya hoja na sasa wameamua kutawala kwa nguvu ya Mwema
 
Katibu wa chama cha Demokrasia Chaema bwana Willbrodi Slaa amesema wabunge wa Chadema hawataingia ktk vikao vya Bunge Kama Serikali haitomwachia mwenyekiti wa Chadema bwana Freeman Aikaeli Mbowe bila masharti yeyote magumu

Sourse ITV habari 8:00pm

DR SLAA AWE AMESEMA AU HAKUSEMA KUWA WABUNGE WA CHADEMA WASUSIE VIKAO VYA BUNGE, SIO BUSRA HATA KIDOGO KWA WABUNGE WA CHADEMA KUSUSIA VIKAO VYA BUNGE LA BAJETI BECAUSE OF SUCH LAME EXCUSES. mHE MBOWE ALIFAHAMU FIKA MADAHARA YA KUTOFIKA MAHAKAMANI. HIVYO WANANCHI WALIOWACHAGUA WABUNGE WA CHADEMA HAWATAWEZA KUWAELEWA WABUNGE WALIOWAPIGIA KURA KWA KUSUSIA VIKAO VYA BUNGE LA BAJETI ETI KWA SABABU TU, MTU FULANI HAKUFIKA MAHAKAMANI.

NI VIZURI KUTETEA HAKI ZA WABUNGE MBELE YA VYOMBO VYA DOLA, LAKII HILO LISFANYIKE KWA KUHUJUMU NAFASI NA UAMUNIFU WABUNGE WA VYAMA VYA UPINZANI WALIVYOPEWA NA WATANZANI AMBAO KWA MARA YA KWANZA WALIJITOA KUWAJARIBU WABUNGE WA VYAMA VYA UPINZANI
 
Back
Top Bottom