Katiba za vyama Tanzania

KadaMpinzani

JF-Expert Member
Jan 31, 2007
3,715
86
Mwaka 1995, CHADEMA iliungana na NCCR-MAGEUZI
Mwaka 2000,CHADEMA iliungana CUF
na mara zote hizi ilikuwa katika chaguzi kuu za taifa !

Kitu kimoja ambacho nina wasiwasi ni kwamba >:
(1)Kama katiba zao ni "TOTALLY DIFFERENT" ilikuwaje waweze kuwa pamoja ?

(2) Je kuna uwezekano kwamba katiba za vyama hivi vitatu zikawa sawa ?

(3) Na kama zipo sawa, kwa nini viwe vyama vitatu tofauti ?

(4)Kama kweli katiba zao zinafanana, should they be pressure to unite na kuokoa fedha za ruzuku na kutumia hizo fedha kwa ajili ya maendeleo mengine ?

<<<<<Maana sasa siasa imekuwa kama mtaji>>>>>

Halafu inakuwaje kuhusu hii back and forth ya Mbowe na CHADEMA mara waungane na wapinzani mara wakatae, yaani hadi kitaanani !

Ilianza 1995,then 2000, na ikaja 2005 na sasa 2010 wamekubali kusimamisha mgombea mmoja ebu soma hapa chini kidogo maana nadhani kila mtu ana akili kutambua chama makini hakiteteleki, na kikitetereka basi moja LAKINI SIO CHADEMA MAANA WAMETETEREKA ZAIDI YA MARA 5 KATIKA ISHU MOJA ! Hawajatulia hata kidogo !

Now Chadema drops single candidate idea

By Guardian Correspondent, IPP Media
Thu, May 19, 2005



CHADEMA is no longer interested in having a united opposition ahead of the October 30 general election, the opposition party's chairman, Freeman Mbowe, said yesterday.

Mbowe told the media in his office in Dar es Salaam that the idea of fielding a single candidate to take on CCM's contestant was no longer viable.

'The opposition is currently badly divided and some parties are embroiled in endless wrangles which make it difficult for us to continue advocating for a united front against CCM in the forthcoming elections, 'he said.

He said, however, that Chadema would pick a candidate who would give CCM's Jakaya Mrisho Kikwete a 'run for his money' in the poll and scoffed at suggestions that Kikwete was acceptable across the political spectrum.


He also said Chadema would not accept "frustrated" CCM stalwarts who were contemplating defecting to the opposition ahead of this year's elections.


"We'll slam the door in their faces because we believe that they are spent forces that cannot bring about positive change," Mbowe said.


Chadema had taken comprehensive measures to strengthen itself and did not need "outside" help in the run-up to the poll, the Chadema boss added.


He said the party was currently establishing itself in rural areas where the vast majority of Tanzanians lived, adding that the results of the drive would be seen during the elections.


Mbowe said earlier this year that the opposition must forge a united front against CCM if it hoped to defeat the ruling party in October.


The call was, however, immediately rejected by Tanzania Labour Party (TLP) Chairman Augustine Mrema who said uniting was not a guarantee for success in the elections.

Not surprisingly, Mbowe last week launched a scathing attack on Mrema, accusing him of undermining the opposition from within, ahead of the poll.


OK, ASANTE MBOWE KWA CHECHE ZILIZOJAA UKWELI KUHUSU WAPINZANI, TUMESIKIA MALALAMIKO ULIYOWAMWAGIA WAPINZANI, LAKINI KWA NINI (WHY) DID YOU DECIDE TO DO THIS ??SOMA CHINI !

ANGALIENI HIYO TAREHE NA MAANDISHI MEKUNDU KWA MAKINI HALAFU SOMA HAPA CHINI !


Wapinzani kuweka mgombea urais mmoja
Basil Msongo
HabariLeo;
Sunday,September 16, 2007


VYAMA vinne vya upinzani vimesema vitasimasisha mgombea mmoja wa urais katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2010. Vyama hivyo pia vimetoa madai mapya yasiyo na uthibitisho kuwa baadhi ya viongozi wakuu wa serikali walishiriki na wanashiriki kwenye vitendo vya rushwa na wizi wa fedha za umma.


Walikuwa wakizungumza kwenye mkutano wa hadhara kwenye uwanja wa Mwembeyanga, Temeke, Dar es Salaam jana. Mwenyekiti wa TLP Augustine Mrema aliwaambia mamia ya wakazi wa jiji kuwa wapo tayari kuvunja vyama hivyo ili kuwa na chama kimoja chenye nguvu lakini sheria inawabana.


Mrema alisema kuwa wamekubaliana kimsingi kuwa na mgombea mmoja katika Uchaguzi Mkuu ujao ili apeperushe bendera ya upinzani kukikishinda Chama cha Mapinduzi (CCM). Vyama hivyo ni TLP, CUF, Chadema na NCCR-Mageuzi. Viongozi hao wamelitaka Bunge kubadili sheria ya usajili wa vyama Oktoba mwaka huu ili vyama viweze kuungana bila kuathiri masuala mengine.

CONCLUSION:
CHADEMA sio chama chenye msimamo hata kidogo, nadhani wanatuchezea watanzania akili zetu !

KATIBA:

NCCR: - http://bit.ly/bP7sdv
CCM: http://bit.ly/958J8T
 
Article ya 2005 inafanya nini hapa 2008? Postings za ki-propaganda hufa kimya kimya.
 
Kwa mara ya kwanza JF, ninaliona sana neno propaganda, ambalo kwa kawaida hatukuwa nalo hapa, nafikiri someone knows something kuhusiana na na hili neno, maana haiwezekani all over sudden tunaanza kurushiwa hili neno kila kona hapa JF, tena na wageni mmmmmmmhhhhhhhhhhh!
 
Propaganda: The systematic propagation of information reflecting the views and interests of those advocating such a doctrine or cause. -Oxford Dic.
 
Kada

......unakumbuka maneno ya FMES kuhusu Mbowe wakti ule wa uchaguzi??.......unajua toka siku ile najaribu saaana kuunganisha dots....kuna wakati zinakubali na kuna wakti mmmhhh
 
tatizo sio kuwa post ya mwaka 2005, bali ni decision iliyofanywa mwaka 2005 na CHADEMA under MBOWE ! THATS WHAT MATTERS ! Na kama ningekuwa na access ya kupata article ya mwaka 1995 ambapo waliungana na CCR-MAGEUZI pia ningeiweka !

It matters a lot, switching sides, opinions and minds since 1995 ? that shows a lot kwamba CHADEMA HASNT YET MADE UP ITS MIND, AU HAWAJIAMINI, AU HAWAJUI WANACHOFANYA !

You cant tell me since 1995, they are still stuck up on one issue, halafu useme hii ni propaganda ! Propaganda ya nani na kwa nani ? I am a concerned Tanzanian citizen na ndio maana nataka kujua hali halisi na ukweli na mambo ndio maana nimetundika hizi article hapa tudiscuss different views za watu, lakini nashangaa wengine waliosikwa mikia na kuwa wafuasi wa CHADEMA wakilalama na kusema hii propaganda ! Propaganda katika kutafuta ukweli ? come on man, you know you are wrong !

CHADEMA sio chama makini, hadi leo kinajifunga kamba kwa kutojua kisimamishe mgombea au la, na last agreement waliyosema ni kwamba watasimamisha mgombea mmoja toka upinzani, now lets wait and see !

VYAMA MAKINI HAVIWI HIVI HATA SIKU MOJA, WAKIWA WANASWITCH SIDES KUANZIA KWENYE VYAMA, ITAKUWAJE WAKIINGIA SERIKALINI >>??<<

Na mnaposema suala hili ni la 1995 kwamba halina nafasi hapa mnakuwa hampo fair, post ngapi hapa ni za zamani ?? masuala ya epa ni ya mwaka gani ? acheni zenu bana, kama hamtaki kuchangia msije lakini hili suala linaongeleka kama kawaida ! ENDELEENI KUOGOPA VIVULI VYENU !

now let me dig in deep kufind out kama hivi vyama katiba zao zinafanana, if so BONGE LA PETITION mwanangu linakuja !
 
tatizo sio kuwa post ya mwaka 2005, bali ni decision iliyofanywa mwaka 2005 na CHADEMA under MBOWE ! THATS WHAT MATTERS ! Na kama ningekuwa na access ya kupata article ya mwaka 1995 ambapo waliungana na CCR-MAGEUZI pia ningeiweka !

It matters a lot, switching sides, opinions and minds since 1995 ? that shows a lot kwamba CHADEMA HASNT YET MADE UP ITS MIND, AU HAWAJIAMINI, AU HAWAJUI WANACHOFANYA !

You cant tell me since 1995, they are still stuck up on one issue, halafu useme hii ni propaganda ! Propaganda ya nani na kwa nani ? I am a concerned Tanzanian citizen na ndio maana nataka kujua hali halisi na ukweli na mambo ndio maana nimetundika hizi article hapa tudiscuss different views za watu, lakini nashangaa wengine waliosikwa mikia na kuwa wafuasi wa CHADEMA wakilalama na kusema hii propaganda ! Propaganda katika kutafuta ukweli ? come on man, you know you are wrong !

CHADEMA sio chama makini, hadi leo kinajifunga kamba kwa kutojua kisimamishe mgombea au la, na last agreement waliyosema ni kwamba watasimamisha mgombea mmoja toka upinzani, now lets wait and see !

VYAMA MAKINI HAVIWI HIVI HATA SIKU MOJA, WAKIWA WANASWITCH SIDES KUANZIA KWENYE VYAMA, ITAKUWAJE WAKIINGIA SERIKALINI >>??<<

Na mnaposema suala hili ni la 1995 kwamba halina nafasi hapa mnakuwa hampo fair, post ngapi hapa ni za zamani ?? masuala ya epa ni ya mwaka gani ? acheni zenu bana, kama hamtaki kuchangia msije lakini hili suala linaongeleka kama kawaida ! ENDELEENI KUOGOPA VIVULI VYENU !

now let me dig in deep kufind out kama hivi vyama katiba zao zinafanana, if so BONGE LA PETITION mwanangu linakuja !

Propaganda: The systematic propagation of information reflecting the views and interests of those advocating such a doctrine or cause. --Oxford Dic.
 
Kada

......unakumbuka maneno ya FMES kuhusu Mbowe wakti ule wa uchaguzi??.......unajua toka siku ile najaribu saaana kuunganisha dots....kuna wakati zinakubali na kuna wakti mmmhhh

hapana mzee, sikumbuki vizuri si unajua tena mambo mengi. tukumbushane !
 
tatizo sio kuwa post ya mwaka 2005, bali ni decision iliyofanywa mwaka 2005 na CHADEMA under MBOWE ! THATS WHAT MATTERS ! Na kama ningekuwa na access ya kupata article ya mwaka 1995 ambapo waliungana na CCR-MAGEUZI pia ningeiweka !

It matters a lot, switching sides, opinions and minds since 1995 ? that shows a lot kwamba CHADEMA HASNT YET MADE UP ITS MIND, AU HAWAJIAMINI, AU HAWAJUI WANACHOFANYA !

You cant tell me since 1995, they are still stuck up on one issue, halafu useme hii ni propaganda ! Propaganda ya nani na kwa nani ? I am a concerned Tanzanian citizen na ndio maana nataka kujua hali halisi na ukweli na mambo ndio maana nimetundika hizi article hapa tudiscuss different views za watu, lakini nashangaa wengine waliosikwa mikia na kuwa wafuasi wa CHADEMA wakilalama na kusema hii propaganda ! Propaganda katika kutafuta ukweli ? come on man, you know you are wrong !

CHADEMA sio chama makini, hadi leo kinajifunga kamba kwa kutojua kisimamishe mgombea au la, na last agreement waliyosema ni kwamba watasimamisha mgombea mmoja toka upinzani, now lets wait and see !

VYAMA MAKINI HAVIWI HIVI HATA SIKU MOJA, WAKIWA WANASWITCH SIDES KUANZIA KWENYE VYAMA, ITAKUWAJE WAKIINGIA SERIKALINI >>??<<

Na mnaposema suala hili ni la 1995 kwamba halina nafasi hapa mnakuwa hampo fair, post ngapi hapa ni za zamani ?? masuala ya epa ni ya mwaka gani ? acheni zenu bana, kama hamtaki kuchangia msije lakini hili suala linaongeleka kama kawaida ! ENDELEENI KUOGOPA VIVULI VYENU !

now let me dig in deep kufind out kama hivi vyama katiba zao zinafanana, if so BONGE LA PETITION mwanangu linakuja !


Kada:

We mwanaume au mwanamke

Acha UWONGO. Hakuna Vyama ambavyo vimeungana, kilichotokea ni kushirikiana na katika uchaguzi 1995 na 2000. Hata kama ingekuwa kuungana katika za vyama zinaruhusu Muungano au walau mseto.

2005 CHADEMA iliamua kusimama yenyewe baada ya kuunga wengine wakati uliopita. Sasa jiulize, je hawakufanya uamuzi sahihi?

Sasa upinzani umeanza ushirikiano rasmi kwa mkataba, na 2010 pengine watakuwa na mgombea mmoja kama walivyoahidi.

Hebu tuseme ukweli jamani, haya yote unayaleta sasa kwa kuwa mafisadi wanatapatapa?

Mnadhani kwa kuichafua CHADEMA mtaiepuka hukumu?

Mnajidanganya, umma unawasubiri kuwahukumu mafisadi kama mafisadi

Nicheke mie Asha
 
Kada:

We mwanaume au mwanamke

Acha UWONGO. Hakuna Vyama ambavyo vimeungana, kilichotokea ni kushirikiana na katika uchaguzi 1995 na 2000. Hata kama ingekuwa kuungana katika za vyama zinaruhusu Muungano au walau mseto.

2005 CHADEMA iliamua kusimama yenyewe baada ya kuunga wengine wakati uliopita. Sasa jiulize, je hawakufanya uamuzi sahihi?

Sasa upinzani umeanza ushirikiano rasmi kwa mkataba, na 2010 pengine watakuwa na mgombea mmoja kama walivyoahidi.

Hebu tuseme ukweli jamani, haya yote unayaleta sasa kwa kuwa mafisadi wanatapatapa?

Mnadhani kwa kuichafua CHADEMA mtaiepuka hukumu?

Mnajidanganya, umma unawasubiri kuwahukumu mafisadi kama mafisadi

Nicheke mie Asha

get it now ?????
(Mimi Mwanamme)- najua na wewe ni mwanamme vile vile kwa hiyo jina lako halinisumbui !
 
Kada:

We mwanaume au mwanamke

Acha UWONGO. Hakuna Vyama ambavyo vimeungana, kilichotokea ni kushirikiana na katika uchaguzi 1995 na 2000. Hata kama ingekuwa kuungana katika za vyama zinaruhusu Muungano au walau mseto.

2005 CHADEMA iliamua kusimama yenyewe baada ya kuunga wengine wakati uliopita. Sasa jiulize, je hawakufanya uamuzi sahihi?

Sasa upinzani umeanza ushirikiano rasmi kwa mkataba, na 2010 pengine watakuwa na mgombea mmoja kama walivyoahidi.

Hebu tuseme ukweli jamani, haya yote unayaleta sasa kwa kuwa mafisadi wanatapatapa?

Mnadhani kwa kuichafua CHADEMA mtaiepuka hukumu?

Mnajidanganya, umma unawasubiri kuwahukumu mafisadi kama mafisadi

Nicheke mie Asha

akina nani hao ?? kwani kuquestion kuhusu CHADEMA imekuwa kosa ?? you are just warming me up you know ! the more you say, the more i get hungry in diggin out about CHADEMA na thank god unanipa huo moyo ! so either ignore it while it hurts, or open your arms and fingers and write something you dont fully understand while that keeps me motivated and use that against you ! SO YOU DECIDE !

Mimi nimeuliza kama mimi, na ndio anachofanya kila member hapa ! Hivi watu wanapotoa threads kuhusu Richmond, CCM unawaambiaga hivyo hivyo au hii inaapply kwa watu wanaohoji kuhusu CHADEMA tu ?? am really kyuriasi.

And dont get me confused with anyone you think you might know, cuz you simply dont ! Angalia hoja, kama inamake sense kwako jibu, if not achana nayo ! Lakini sio kukaa hapa na kuanza kumshutumu kila mtu anayehoji CHADEMA kwamba ni mwanaccm, JE WANACHAMA WA CHADEMA HAWAWEZI KUQUESTION CHAMA CHAO ? UNAJUAJE KAMA MIMI NI CHADEMA AU SIO ? AU MNATAMBUANA WENYEWE KWENYE FAMILIA ZENU NA VIKAO VYENU VYA SIRI KWAMBA HUYU CHADEMA NA HUYU SIO ??
 
get it now ?????
(Mimi Mwanamme)- najua na wewe ni mwanamme vile vile kwa hiyo jina lako halinisumbui !

Hongera kwa kucheza na maneno mwanaume weye

muungano wa kikatiba ulioulizia huitwa UNION kwa kimombo. Nimesema haukuwepo. Kama wewe wasema upo basi u muongo.

Kuunga mkono nilipokusema ni SUPPORT. Sasa kama wewe wasema hakupo kalagabaho.

Sasa waanza kuniita jike dume. Upo DSM hivi sasa? Tuonane jamani uthibitishe.

Kama huwezi kuonana nami wajificha kwa ukada, acha kunitweza. Hutoniweza.

Asha
 
Hongera kwa kucheza na maneno mwanaume weye

muungano wa kikatiba ulioulizia huitwa UNION kwa kimombo. Nimesema haukuwepo. Kama wewe wasema upo basi u muongo.

Kuunga mkono nilipokusema ni SUPPORT. Sasa kama wewe wasema hakupo kalagabaho.


Sasa waanza kuniita jike dume. Upo DSM hivi sasa? Tuonane jamani uthibitishe.

Kama huwezi kuonana nami wajificha kwa ukada, acha kunitweza. Hutoniweza.


Asha

maneno mekundu- unajua decision aliyofanya mbowe au unafikiri unadhani unajua ?? read careful and respond !

sasa kuungana huko na vyama vingine ndipo kunanifanya niulize maswali maana CHADEMA haikufanya hivyo mara 1, si mara 2, si mara 3 bali inataka tena kufanya hivyo 2010 ! are you kidding me Asha ? no way.

Kama utakuwa mfuatiliaji, utakumbuka maneno ya mbowe aliyosema kwamba vyama vya upinzani ni kwa ajili ya matumbo yao na vimepachikizwa na ccm, sasa huoni kama kuna kitu cha kujiuliza hapo ? ilikuwaje akaungana nao ? Mkataba eeh ?? siasa za mikataba naona sasa ishakuwa kama biashara. Yaani CHADEMA imefikia hatua ya kusaini mikataba kuendesha chama ?(Itafika wakati watasaini mikataba kuendesha serikali, WAOGOPWE HAWA!!) My god, somebody anipige nyundo !
 
Hapa JF ukikosoa CHADEMA na Mbowe!una ambiwa wewe mgeni umetumwa na CCM!Unalipwa!Ila ukikosoa CCM na serikali wewe mzalendo!kazi ipo!!!
 
Katiba ya CHADEMA hii hapa: [media]www.chadema.net/nyaraka/katiba_2006.pdf[/media]

Inaruhusu kabisa CHADEMA kushirikiana na vyama vingine na hata kuungana

Asha
 
Katiba ya CHADEMA hii hapa: [media]www.chadema.net/nyaraka/katiba_2006.pdf[/media]

Inaruhusu kabisa CHADEMA kushirikiana na vyama vingine na hata kuungana

Asha

teh teh teh, sasa unakumbuka what you previously said kuhusu ?? na katiba yenu imekataa kufunguka, unavailable !
 
Back
Top Bottom