Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,508
- 13,976
Heshima kwenu wakuu,
Kuna ndugu yangu ana shule ya msingi ikiwa bado mpya kabisa,hivyo ameambiwa awe na katiba ya shule kama moja ya vigezo ili aweze kupata usajili.
Naomba kujua/kupata sample ya hiyo Katiba ya shule,nimejaribu kuangalia kwenye "Gugo" lakini sijapata msaada.
Posho kama asante italowewa kwa mwenye kusaidia.
Mchana mwema.
Kuna ndugu yangu ana shule ya msingi ikiwa bado mpya kabisa,hivyo ameambiwa awe na katiba ya shule kama moja ya vigezo ili aweze kupata usajili.
Naomba kujua/kupata sample ya hiyo Katiba ya shule,nimejaribu kuangalia kwenye "Gugo" lakini sijapata msaada.
Posho kama asante italowewa kwa mwenye kusaidia.
Mchana mwema.