JamiiTalks
JF Advocacy Team
- Aug 7, 2018
- 626
- 938
Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977
Inaitaka Serikali kuwajibika kwa watu wake katika maswala yote yanahusu maslahi ya watu hao.
Aidha Katiba hiyo pia inaweka ukomo kwa Mahakama katika kusikiliza shauri lolote litakaloletwa mbele yake dhidi ya Serikali kwa kushindwa kutekeleza jukumu la Kuwajibika kwa watu wake.