dady ni huyu mkweo,mwezi huu ni
wa pili sijamtia machoni,naskia anapita pita
tu mtaani,sa sijui ameoa mke mwingine mi sijui!!
siamini bado ... imefikia hatua gani hiyo tongozo?
Lady doctor kulikoni wewe na Chimbuvu? Kuna usalama au nimwite Madame B awawekeeni ulinzi shirikishi?
heheee!!hv wewe c ndio
king mswati au nakufananisha?!!
Chimbuvu ni mgonjwa wangu na mimi ni daktari wake madame B kanikabidhi nimtibu
Masikini ladyfurahia!
naomba usinizoee kiasi hicho jua nakuheshimu sana usitake nilete majanga hapa watu wanaongea wenyewe wewe unasalandia mie inanihuuuu! mtu yuko na lady mwingine wwewe umekomalia ladyfurahia unanitaka nini mtoto wa watu mie nitake radhi sasa hivi la sivyo nitapeleka hoja hii katika rasimu mpya!
Najua ulikula kiapo kabla hujapewa badge ya u-doctor kuwa hutobagua wagonjwa. Nami naumwa sana, nahitaji huduma yako. DO THE NEEDFUL.
Hakuna kitu kama hicho.
Chimbuvu ni mgonjwa wangu na mimi ni daktari wake madame B kanikabidhi nimtibu
naomba usinizoee kiasi hicho jua nakuheshimu sana usitake nilete majanga hapa watu wanaongea wenyewe wewe unasalandia mie inanihuuuu! mtu yuko na lady mwingine wwewe umekomalia ladyfurahia unanitaka nini mtoto wa watu mie nitake radhi sasa hivi la sivyo nitapeleka hoja hii katika rasimu mpya!
Lady doctor kulikoni wewe na Chimbuvu? Kuna usalama au nimwite Madame B awawekeeni ulinzi shirikishi?