William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
- Well, ni miaka takribani 20 sasa toka Tanzania tuingie siasa za vyama vingi na sio siri kwamba matokeo bado hayaridhishi kulinganisha na nchi zingine ambazo tuliingia nazo hii system kwa wakati mmoja, nchi kama Zambia, Kenya, na Malawi. Umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu I mean tumejaza utitiri wa vyama vingi vya Upinzani ambavyo ni waste of our kodi, yaani vyama vya kusubiri Ruzuku na kuchumia tumbo.
- Sasa wakati umefika wa kurekebisha Katiba, ukweli unaanza kujitokeza kwamba chama Tawala kitakuwa na final say of how to do it kwa sababu Upinzani ni hafifu sana infact ni like almost haupo, that is sad indeed kwa taifa la wananchi Millioni 50, ninasema huu ni wakati muafaka wa Chadema kuongoza the pack na kuchora chini mstari wa kuungana na Wapinzani wote nchini mlinusuru hili taifa.
- Ninasema Chadema waongoze the pack kwa sababu wao angalau kidogo wameonyesha kuwa na Viongozi wachache ambao ni Sober, na wanaojali Taifa ambao wakipewa nafasi ya kuuweka pamoja Upinzani wa Taifa, wanaweza kutusaidia sana lakini sio wakiwa Chadema tu, it has not worked, it doesnt work, and it wont work soon. Hili taifa tufike mahali tuwe na vyama vitatu tu, viwili vikuu na Independent Party, ama sivyo tutaendelea kurudi kinyume nyume tu as if tumelogwa, huku tumejaza ma-PhDs kila sekta ya taifa!
UMOJA NI NGUVU NA UTENGANO NI UDHAIFU: MUNGU AIBARIKI TANZANIA NA HASA WATU WAKE!
William @..NYC,USA: Mutuz Le Baharia.
- Sasa wakati umefika wa kurekebisha Katiba, ukweli unaanza kujitokeza kwamba chama Tawala kitakuwa na final say of how to do it kwa sababu Upinzani ni hafifu sana infact ni like almost haupo, that is sad indeed kwa taifa la wananchi Millioni 50, ninasema huu ni wakati muafaka wa Chadema kuongoza the pack na kuchora chini mstari wa kuungana na Wapinzani wote nchini mlinusuru hili taifa.
- Ninasema Chadema waongoze the pack kwa sababu wao angalau kidogo wameonyesha kuwa na Viongozi wachache ambao ni Sober, na wanaojali Taifa ambao wakipewa nafasi ya kuuweka pamoja Upinzani wa Taifa, wanaweza kutusaidia sana lakini sio wakiwa Chadema tu, it has not worked, it doesnt work, and it wont work soon. Hili taifa tufike mahali tuwe na vyama vitatu tu, viwili vikuu na Independent Party, ama sivyo tutaendelea kurudi kinyume nyume tu as if tumelogwa, huku tumejaza ma-PhDs kila sekta ya taifa!
UMOJA NI NGUVU NA UTENGANO NI UDHAIFU: MUNGU AIBARIKI TANZANIA NA HASA WATU WAKE!
William @..NYC,USA: Mutuz Le Baharia.