Katiba mpya: Wakati muafaka wapinzani kuungana!

Ina maana hata kama wakifanya hayo mabadiliko bado ni lazima tu waungane?

Pili,nimekupata hapo pa kiogozi huyo kijana wa CCM aliyetaka kujiunga na CDM na kutaka kuwa mwenyekiti, however hilo peke yake lingeweza vipi kuondoa hayo matatizo ya ukanda na ufamilia?

Ama is there something else i am missing?

Ok Mwenyekiti Mbowe, Katibu Slaa, na Zitto naibu, mbona sioni ufamilia hapo?

Ama ni yale ya wabunge wa viti maalumu?

Ok,on the other hand,nia chombo gani chenye maamuzi ya juu kabisa cha CDM?
Na je ni nani member wa chombo hicho?

Kama una majina weka hapa,then we can go from there...

- According to huyu Kiongozi kijana wa CCM aliyeombwa (na let me make it very clear kwamba sio Mh. Nape) ni kwamba kwa mtizamo wake Ukaskazini ndio unaiumiza Chadema, kwa sababu katika siasa kuna kampeni za aina nyingi sana na mbaya kuliko zote ni ila ya Mlango to Mlango which CCM are very good at it na ndiyo iliyommaliza Gore, kwa kuwa na runningmate M-Jewish wananchi waliambiwa Gore akishinda Israel itaamuua kusudi runningmate wake awe Rais.

- Sio kazi yangu kuingilia mambo ya ndani ya Chadema, I am here to say kwamba kama Chadema hawaungani na Wapinzani wengine tutaumia sana hili taifa kwenye Katiba mpya na once it is done, we are dooomed hili taifa! na ni maoni yangu tu reading mchakato wa Katiba unavyokwenda sasa na hasa talking all the times na wahusika!


William @..NYC,USA: Le Baharia!
 
Bado nimeshindwa kuilewa leadership structure ya CDM.

Hivi ni nani mwenye maamuzi ya mwisho ama ni kikao gani chenye maamuzi ya juu kabisa?

Kamati kuu, halamshauri kuu, sekretariet?

Kwa bahati mbaya, informations kama hizo hazipatikani kiurahisi.

Nimeshindwa kuelewa,sijui ni vyombo gani wao wanavyo,(mpangilio wa kiutawala) lakini ili kuondoa ile dhana ya ukaskazini nk, tuwekeeni hiyo listi hapa ili tujuwe kama kuna ukweli ama ni propaganda tu...

Ukitaka kujuwa kama madai haya ni ya kweli ama la, fuatilia ni chombo gani kwenye chama chenye maamuzi ya mwisho na members wake ni kina nani, mimi nasubiri hayo kabla sija conclude.
 
Come on..

John Malecela tu ndio anaweza kusubiri hata kama amesulubiwa (kimakosa au kiukweli)

Sidhani kama hiyo tabia ina hold kwa kila mwana ccm..

Muda utakuwa ndio determinant nzuri..

- hA! HA! HA! HA! JF classic song I love it, karibu sana mkuu! ha! ha!

William @ ..NYC,USA: Le Mutuz!

 
Bado nimeshindwa kuilewa leadership structure ya CDM.

Hivi ni nani mwenye maamuzi ya mwisho ama ni kikao gani chenye maamuzi ya juu kabisa?

Kamati kuu, halamshauri kuu, sekretariet?

Kwa bahati mbaya, informations kama hizo hazipatikani kiurahisi.

Nimeshindwa kuelewa,sijui ni vyombo gani wao wanavyo,(mpangilio wa kiutawala) lakini ili kuondoa ile dhana ya ukaskazi nk, tuwekeeni hiyo listi hapa ili tujuwe kama kuna ukweli ama ni propaganda tu...

Ukitaka kujuwa kama madai haya ni ya kweli ama la, fuatalia ni chombo gani chenye maamuzi ya mwisho na members wake ni kina nani, mimi nasubiri hayo kabla sija conclude.

- Well, Mushi according to the word on the street, ni kwamba 80% ya maamuzi ya CDM hufanywa na Mtei, now I am not sure how true this is, lakini mara nyingi the clout ya Ufamilia na Ukaskazini, unakatisha sana tamaa Viongozi wengi wa CCM waliochoshwa na upuuzi kuingia huko upande wa pili!

William @..NYC,USA: Le Baharia!

 

- Well, Mushi according to the word on the street, ni kwamba 80% ya maamuzi ya CDM hufanywa na Mtei, now I am not sure how true this is, lakini mara nyingi the clout ya Ufamilia na Ukaskazini, unakatisha sana tamaa Viongozi wengi wa CCM waliochoshwa na upuuzi kuingia huko upande wa pili!

William @..NYC,USA: Le Baharia!

Mtei yeye as a person ama kama chairman/member wa kamati yenye maamuzi ya mwisho?

Mtei yeye yuko kwenye kamati gani?

Pia nasikia kuna "kamati ya wazee" je hiyo ndo yenye maamuzi ya mwisho? Na zaidi ya Mtei, who else is in?

Ndiyo maana nikasema ni vyema tukapata mfumo wa kiutawala uko vipi, maybe hayo yako ndani ya katiba, nimefuatlia linki kwenye website yao nimeshindwa kuipata katiba, kwasababu hata kama 80% ya maamuzi lazima aya approve yeye, still kuna chombo chenye kuyapigia kura maamuzi hayo,na ndiyo nataka majina yao.

Ama am i wrong?

Ina maana Mtei ana nguvu ya kikatiba yenye kutoa uamuzi wa mwisho bila ya kikao chochote cha chama?
 
Mkuu, hapo kwenye namba yenye rangi inabidi ubadilishe.

Niliposoma hii ya William kwamba sasa ni takriban miaka 50 tukiwa katika mfumo wa vyama vingi, nilidhani kapekua vilivyo historia. Ni kweli kwamba ni takriban hiyo miaka. Ukiachilia mbali huu mrejeo wa vyama vingi wa mwaka 1992, miaka ya 60 (hata baada ya uhuru) tulikuwa na vyama vingi pia. Vilikuwepo kwa mfano; Tanzania People's Party, African National Congress, Zanzibar and Pemba People's Party na vingine, kabla ya Mwalimu kuvipiga stop.


Chapter ya historia ambayo nashauri William aisome pia, ni majaribio ya vyama kuungana yaliyoshindikana na yalishindikana kwa sababu zipi. Apekue aone kitu kilichoitwa UDETA kilifia wapi, jaribio la vyama vinne (CHADEMA, CUF, NCCR, TLP) la mwaka 2007 lilikufaje. Asome pia mifano ya miungano iliyofanikiwa ilifanikiwaje, kwa mfano kuungana ka ASP na TANU, au CCW na KAMAHURU. Kwa kuelewa haya ataweza kupendekeza vizuri muungano mwingine.
 
William,

CCM ni chama cha kisiasa na chenye changamoto zake ambazo zinahitaji watu we akili timamu kuzikabili. Ni majuzi tu mwanachama wake mmoja aliyekulia ktk hicho Chama amekiri option ya kutumia bunduki ikiwa mambo anayoyataka hayatafanyiwa kazi na Chama chake! Hiyo ni ishara kuwa hanguko la CCM si swala la kufikirika bali ni swala la MUDA.

Japokuwa umejaribu kuonyesha CCM haiwezi kugawanyika lakini napenda kukujulisha kuwa CCM kwa sasa kinaonekana kwa wanachama wake kama Chama BORA kwasababu ya nguvu ya DOLA nyuma yake! Siku DOLA na chama vitakapo tengana, CCM itabaki ktk vitabu vya historia
 
William,

CCM ni chama cha kisiasa na chenye changamoto zake ambazo zinahitaji watu we akili timamu kuzikabili. Ni majuzi tu mwanachama wake mmoja aliyekulia ktk hicho Chama amekiri option ya kutumia bunduki ikiwa mambo anayoyataka hayatafanyiwa kazi na Chama chake! Hiyo ni ishara kuwa hanguko la CCM si swala la kufikirika bali ni swala la MUDA.

Japokuwa umejaribu kuonyesha CCM haiwezi kugawanyika lakini napenda kukujulisha kuwa CCM kwa sasa kinaonekana kwa wanachama wake kama Chama BORA kwasababu ya nguvu ya DOLA nyuma yake! Siku DOLA na chama vitakapo tengana, CCM itabaki ktk vitabu vya historia!
 
- Well, ni miaka takribani 20 sasa toka Tanzania tuingie siasa za vyama vingi na sio siri kwamba matokeo bado hayaridhishi kulinganisha na nchi zingine ambazo tuliingia nazo hii system kwa wakati mmoja, nchi kama Zambia, Kenya, na Malawi. Umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu I mean tumejaza utitiri wa vyama vingi vya Upinzani ambavyo ni waste of our kodi, yaani vyama vya kusubiri Ruzuku na kuchumia tumbo.

- Sasa wakati umefika wa kurekebisha Katiba, ukweli unaanza kujitokeza kwamba chama Tawala kitakuwa na final say of how to do it kwa sababu Upinzani ni hafifu sana infact ni like almost haupo, that is sad indeed kwa taifa la wananchi Millioni 50, ninasema huu ni wakati muafaka wa Chadema kuongoza the pack na kuchora chini mstari wa kuungana na Wapinzani wote nchini mlinusuru hili taifa.

- Ninasema Chadema waongoze the pack kwa sababu wao angalau kidogo wameonyesha kuwa na Viongozi wachache ambao ni Sober, na wanaojali Taifa ambao wakipewa nafasi ya kuuweka pamoja Upinzani wa Taifa, wanaweza kutusaidia sana lakini sio wakiwa Chadema tu, it has not worked, it doesnt work, and it wont work soon. Hili taifa tufike mahali tuwe na vyama vitatu tu, viwili vikuu na Independent Party, ama sivyo tutaendelea kurudi kinyume nyume tu as if tumelogwa, huku tumejaza ma-PhDs kila sekta ya taifa!


UMOJA NI NGUVU NA UTENGANO NI UDHAIFU: MUNGU AIBARIKI TANZANIA NA HASA WATU WAKE!



William @..NYC,USA: Mutuz Le Baharia.

Well said @ NYC

Tatizo si kuwa na utitiri wa vyama tatizo ni kuwa na corrupt system. Ukiangalia vyama vingi vya siasa ni subsidiaries wa CCM kwa kuwa vingi ya vyama hivi vimeanzishwa na System kwa malengo maalum, nayo ni kudanganya ulimwengu kuwa Tanzania tuna multipartism. Vyama vingi vina mkono wa TISS, vyama vingi vipo kimasilahi binafsi zaidi kuliko ya nchi.

Ninaamini kuwa katika vyama hivi No. 1 ni CCM, ambacho kimekuwa chaka la walanguzi, wakwepa kodi, wezi wa mali ya umma, wachumia tumbo, wasioangalia next generation, wasiojali maendeleo ya wananchi zaidi ya maendeleo yao wao binafsi kwa kujilimbikizia mali. Ni mpaka pale genge hili litakapoona kuwa halina cha kupoteza ndipo tutapata katiba mpya ya wananchi.

Ni kweli CDM imeonesha kuwa upande wa maslahi ya umma zaidi ila kinachoikwamisha ni hivi vyama subsidiaries vya CCM vikiongozwa na Holding wao CCM kuujenga mchakato mzima katika sura ya 'US and THEM'. This now has turned into a football match between US and THEM, surely the losers are Tanzanians. There will be no winners or losers in this process, It is either we do nothing(following the current path) or do something ( We have to change direction and find national concesus first, ie ALL OF US).

Haitotosha kwa CDM kuungana na vyama vingine vya upinzani kwani mchezo utaendelea kuwa wa SISI na WAO. Kinachotakiwa ni CDM kuongoza katika kuwapatia watanzania elimu ili wauchukue mchakato na kuufanya wao, I mean a Tanzania process.
 
Hata wakiungana vipi, kwasasa hatuna vyama vya upinzani. Wote wanachumia tumbo.
 
Chadema wao ndio wanaamini ndio wapinzani wa kweli Tanzania na ndio wazalendo huwezi kuwa mpinzani bila kuwa Chadema huku ni kujidanganya!
 
- Well, ni miaka takribani 20 sasa toka Tanzania tuingie siasa za vyama vingi na sio siri kwamba matokeo bado hayaridhishi kulinganisha na nchi zingine ambazo tuliingia nazo hii system kwa wakati mmoja, nchi kama Zambia, Kenya, na Malawi. Umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu I mean tumejaza utitiri wa vyama vingi vya Upinzani ambavyo ni waste of our kodi, yaani vyama vya kusubiri Ruzuku na kuchumia tumbo.

- Sasa wakati umefika wa kurekebisha Katiba, ukweli unaanza kujitokeza kwamba chama Tawala kitakuwa na final say of how to do it kwa sababu Upinzani ni hafifu sana infact ni like almost haupo, that is sad indeed kwa taifa la wananchi Millioni 50, ninasema huu ni wakati muafaka wa Chadema kuongoza the pack na kuchora chini mstari wa kuungana na Wapinzani wote nchini mlinusuru hili taifa.

- Ninasema Chadema waongoze the pack kwa sababu wao angalau kidogo wameonyesha kuwa na Viongozi wachache ambao ni Sober, na wanaojali Taifa ambao wakipewa nafasi ya kuuweka pamoja Upinzani wa Taifa, wanaweza kutusaidia sana lakini sio wakiwa Chadema tu, it has not worked, it doesnt work, and it wont work soon. Hili taifa tufike mahali tuwe na vyama vitatu tu, viwili vikuu na Independent Party, ama sivyo tutaendelea kurudi kinyume nyume tu as if tumelogwa, huku tumejaza ma-PhDs kila sekta ya taifa!


UMOJA NI NGUVU NA UTENGANO NI UDHAIFU: MUNGU AIBARIKI TANZANIA NA HASA WATU WAKE!



William @..NYC,USA: Mutuz Le Baharia.
pale zambia michael sata aliungana na chama gani? Msitake kuivuruga chadema kwa kuwaunganisha na wanaume kama mabinti
 
Chadema wanahitaji msaada wa kuwa One team na vyama vingine na wakati ni huu kabla ya kubadili katiba ni kuweka Taifa mbele tu na Uchama pembeni. - William
 
Nadhani mtoa mada ungesema CHADEMA iendelee kujiimarisha na kuongeza wanachama has sehemu za vijijini. Maana unaposema wapinzani waungane so far sio wapinzani wengine zaidi ya CHADEMA. Kwa hiyo nakushauri ubadilishe mada.
 
Nadhani mtoa mada ungesema CHADEMA iendelee kujiimarisha na kuongeza wanachama has sehemu za vijijini. Maana unaposema wapinzani waungane so far sio wapinzani wengine zaidi ya CHADEMA. Kwa hiyo nakushauri ubadilishe mada.

- Ni mtizamo wako tu mkuu ni kawaida kwenye Demokrasia kuwa na mitizamo mingi, wangu ni kwamba Chadema hawawezi kushindana na CCM peke yao na mfano mzuri ni huu mchezo wa Katiba mpya, kujieneza kwenye kila kona ya Taifa letu ni kazi ya miaka mingi sana mbeleni, lakini kuviunganisha vyama vyote vya Upinzani ni kazi ya muda mfupi sana, kumbuka Katiba ikipitishwa na CCM tu kama tuNAVYOELEKEA SASA hivi basi hakuna hope tena ya ukombozi.


William @..NYC,USA: Le Baharia!

 
Chadema wanahitaji msaada wa kuwa One team na vyama vingine na wakati ni huu kabla ya kubadili katiba ni kuweka Taifa mbele tu na Uchama pembeni. - William


Hivi vyama haviwezi kuungana kabisa. Tayari cuf wametangaza kuunga mkono mswada wa katiba baada ya kuonana na raisi wakati cdm wanaupinga. Hiyo tu inawatenganisha na cdm na kuwaunganisha na ccm. Hivyo cuf inaweza kuungana na ccm kwenye swala hilg la katiba na sio cdm.

Huko Kawe, m/kiti wa nccr amemfungulia mashtaka mbunge wa cdm. Wanaweza kuungana hawa!? Sidhani!

Mrema alipata ubunge kwa kura za wanaccm baada ya mafisadi kumwondoa Aloyce Kimaro aliyekuma mwiba kwao.. Yeye anaweza kumpongeza JK hata kwa sifa za kijinga ili wanachama wa ccm wamsapoti maana jimboni kwake hana wanachama! Cdm watajiungaje nae huyu?

Cheyo alipopata misukosuko ya madeni na kutishiwa mali zake kupigwa mnada, haongei tena sikuhizi. Nadhani amewekwa sawa.

Kwa ufupi ni kwamba chama pekee cha upinzani ni cdm. Hao wengine ni jumuia za ccm. Cdm watakuwa wamefanya makosa makubwa sana kuungana na hao wengine. Yaani watakuwa wameungana na ccm! Hayo mambo ya ukanda, udini, ukabila na mengineyo ni propaganda za ccm na wapinga maendeleo. Cdm wanatakiwa kupambana nazo maana hakuna mafanikio yasiyokuwa na wapigaji.

.
 
Unlimited political parties in tz ni njia haramu ya ccm kudhofisha upinzani, tuchukulie mfano mdogotu kwamba watanzania hadi sasa tupo kama milioni 50, mgawanyo wake kisiasa ni pande mbili tu ambazo ni chama tawala na vyama vya upinzani, hawa wote ni ndani ya limited number of people as explained above.
ikiwa tunaweza kubakiwa na vyama vitatu basi upinzani utakuwa na nguvu zaidi kwasababu watu pia watakuwa wengi na kiwango cha upinzani ndani ya vyama vya upinzani kitapungua kwa kiasi kikubwa.
 
- CCM haiwezi kugawanyika bila tishio kutoka nje, so far halipo!


William @..NYC,USA: Le Baharia!


William mkuu wangu,

So far hata mimi silioni tishio la CCM kumeguka toka nje, tishio ni toka ndani!! Motive kubwa ni ulafi wa madaraka! Well ulafi wa mdaraka is as good as kudhulumiana pesa a.k.a kuzimana!!!
 
- Well, ni miaka takribani 20 sasa toka Tanzania tuingie siasa za vyama vingi na sio siri kwamba matokeo bado hayaridhishi kulinganisha na nchi zingine ambazo tuliingia nazo hii system kwa wakati mmoja, nchi kama Zambia, Kenya, na Malawi. Umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu I mean tumejaza utitiri wa vyama vingi vya Upinzani ambavyo ni waste of our kodi, yaani vyama vya kusubiri Ruzuku na kuchumia tumbo.

- Sasa wakati umefika wa kurekebisha Katiba, ukweli unaanza kujitokeza kwamba chama Tawala kitakuwa na final say of how to do it kwa sababu Upinzani ni hafifu sana infact ni like almost haupo, that is sad indeed kwa taifa la wananchi Millioni 50, ninasema huu ni wakati muafaka wa Chadema kuongoza the pack na kuchora chini mstari wa kuungana na Wapinzani wote nchini mlinusuru hili taifa.

- Ninasema Chadema waongoze the pack kwa sababu wao angalau kidogo wameonyesha kuwa na Viongozi wachache ambao ni Sober, na wanaojali Taifa ambao wakipewa nafasi ya kuuweka pamoja Upinzani wa Taifa, wanaweza kutusaidia sana lakini sio wakiwa Chadema tu, it has not worked, it doesnt work, and it wont work soon. Hili taifa tufike mahali tuwe na vyama vitatu tu, viwili vikuu na Independent Party, ama sivyo tutaendelea kurudi kinyume nyume tu as if tumelogwa, huku tumejaza ma-PhDs kila sekta ya taifa!


UMOJA NI NGUVU NA UTENGANO NI UDHAIFU: MUNGU AIBARIKI TANZANIA NA HASA WATU WAKE!



William @..NYC,USA: Mutuz Le Baharia.

Watanzania wemekuelewa William,

ila wewe kuamini CCM haiwezi kumeguka inaonyesha ni jinsi gani una hofu na maisha yako. lakini ukweli ni kwamba kwa mwana CCM kuandika maneno kama haya ya kwako inaonyesha ni jinsi gani umechoshwa na hali ya mambo yanavyoenda ndani ya CCM.

Kuna mifano ya hai inayoonyesha mgawanyiko ndani ya CCM na serikali yake, huku wananchi wengi wakiwa nyuma ya CDM na sauti kubwa ya PEOPLES POWER.

Sikufichi mwishio wa CCM unakaribia mfano ni maneno aliyotoa Samwel Sita katatika dk 45 ITV yanaonyesha 2012 tutaona mbivu na mbichi za CCM, na Swala la kuwatoa Wazee kama Malecela, Mkapa, Mwinyi etc kwenye background ya chama vile vile hayatakinusuru CCM.

In fact mambo ni mengi sana yanayotuonyesha CCM inagawanyika na hatimaye inakufa, mfano mtafute Nape atakueleza mengi hasa baada ya huu mkutano wa juzi, CCM ina wenyewe I hope hata wewe unakubaliana maana hata tukianalize post zako nyingi hapa JF zitatueleza ukweli.

Ukweli ni kwamba CCM hakina wafusi ambao ni waTZ halisi, imebakia tu na watoto wa wakuwa ambao wana maslahi yao binafsi.

Peoples Power
 
Back
Top Bottom