mafutamingi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 2,772
- 2,171
Unaposema wapinzania waungane unajumuisha na CUF?
- Well, ni miaka takribani 20 sasa toka Tanzania tuingie siasa za vyama vingi na sio siri kwamba matokeo bado hayaridhishi kulinganisha na nchi zingine ambazo tuliingia nazo hii system kwa wakati mmoja, nchi kama Zambia, Kenya, na Malawi. Umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu I mean tumejaza utitiri wa vyama vingi vya Upinzani ambavyo ni waste of our kodi, yaani vyama vya kusubiri Ruzuku na kuchumia tumbo.
- Sasa wakati umefika wa kurekebisha Katiba, ukweli unaanza kujitokeza kwamba chama Tawala kitakuwa na final say of how to do it kwa sababu Upinzani ni hafifu sana infact ni like almost haupo, that is sad indeed kwa taifa la wananchi Millioni 50, ninasema huu ni wakati muafaka wa Chadema kuongoza the pack na kuchora chini mstari wa kuungana na Wapinzani wote nchini mlinusuru hili taifa.
- Ninasema Chadema waongoze the pack kwa sababu wao angalau kidogo wameonyesha kuwa na Viongozi wachache ambao ni Sober, na wanaojali Taifa ambao wakipewa nafasi ya kuuweka pamoja Upinzani wa Taifa, wanaweza kutusaidia sana lakini sio wakiwa Chadema tu, it has not worked, it doesnt work, and it wont work soon. Hili taifa tufike mahali tuwe na vyama vitatu tu, viwili vikuu na Independent Party, ama sivyo tutaendelea kurudi kinyume nyume tu as if tumelogwa, huku tumejaza ma-PhDs kila sekta ya taifa!
UMOJA NI NGUVU NA UTENGANO NI UDHAIFU: MUNGU AIBARIKI TANZANIA NA HASA WATU WAKE!
William @..NYC,USA: Mutuz Le Baharia.
- Well, Mushi according to the word on the street, ni kwamba 80% ya maamuzi ya CDM hufanywa na Mtei, now I am not sure how true this is, lakini mara nyingi the clout ya Ufamilia na Ukaskazini, unakatisha sana tamaa Viongozi wengi wa CCM waliochoshwa na upuuzi kuingia huko upande wa pili!
William @..NYC,USA: Le Baharia!
- Ni mtizamo wako tu mkuu ni kawaida kwenye Demokrasia kuwa na mitizamo mingi, wangu ni kwamba Chadema hawawezi kushindana na CCM peke yao na mfano mzuri ni huu mchezo wa Katiba mpya, kujieneza kwenye kila kona ya Taifa letu ni kazi ya miaka mingi sana mbeleni, lakini kuviunganisha vyama vyote vya Upinzani ni kazi ya muda mfupi sana, kumbuka Katiba ikipitishwa na CCM tu kama tuNAVYOELEKEA SASA hivi basi hakuna hope tena ya ukombozi.
William @..NYC,USA: Le Baharia!
Jembe Ulaya chonde chonde mkuu, CDM haipo sehemu nyingi Bara, Wacha Visiwani ambako haipo kabisa na Katiba ndio hiyo CCM wanaondoka nayo kwa kukosa Upinzani, tutakuja kuwaambia nini watoto wetu na haya ma PhD yote tuliyojaza hili taifa?
Jembe Ulaya chonde chonde mkuu, CDM haipo sehemu nyingi Bara, Wacha Visiwani ambako haipo kabisa na Katiba ndio hiyo CCM wanaondoka nayo kwa kukosa Upinzani, tutakuja kuwaambia nini watoto wetu na haya ma PhD yote tuliyojaza hili taifa?
Wacha kupotosha watu wewe!!!!grow up.........nani kakwambia chadema hawako nchi nzima????we sasa umekaa marakani unasema CDM haiko sehemu nyingi bara!!!who told you??umezoea kupotosha...wala lengo lako si jema kwa chadema....wal upinzani tz....we unataka vyama viungane hata kama kuna vyama feki ili baadae vivunjike(history has proven that)........we kama una nia njema mbona usiseme CDM wajizatiti kwingineko tz???unasema CDM wana ukaskazini???what a joke you are????je ccm kwenye kuwekana watoto wa viongozi........na pia kwenye kuwekana kwa rushwa????you forget where you came from eh!!,for your info....CDM is far better and will be far far better without other so called opposition parties........unachotakiwa kuwaambia CDM(if you really care about the future of tz)ni kuhakikisha wanaandikisha wanachama wengi nchi nzima kwani ndio wapiga kura.....pia waambie viongozi wako waifanyie kazi ile tume ya uchaguzi ambayo ndio imekuwa ina determine nani awe rais wa nchi hii......kwa kufuata matakwa yenu ccm......be asured kuwa come 2015.......huu ndio mwisho wenu ccm.....kama tutakuwa tumepata katiba mpya na tume mpya ya uchaguzi..........Jembe Ulaya chonde chonde mkuu, CDM haipo sehemu nyingi Bara, Wacha Visiwani ambako haipo kabisa na Katiba ndio hiyo CCM wanaondoka nayo kwa kukosa Upinzani, tutakuja kuwaambia nini watoto wetu na haya ma PhD yote tuliyojaza hili taifa?