Buchanan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 13,199
- 1,969
Wakuu,
Kati ya watanzania ambao walikuwa concerned sana na suala la Katiba Mpya walikuwa Wanzanzibari!
Lakini siku zinavyozidi kusonga hawa wenzetu wanazidi kunywea! Je,
1. Walipata walichokuwa wanataka?
2. Warioba anawafanyia kazi ambayo walitakiwa waifanye?
3. Ni delay tactic?
4. Baada ya kutimuliwa Mwanasheria Mkuu wao waliogopa?
5.....
Tujadili zaidi!
Kati ya watanzania ambao walikuwa concerned sana na suala la Katiba Mpya walikuwa Wanzanzibari!
Lakini siku zinavyozidi kusonga hawa wenzetu wanazidi kunywea! Je,
1. Walipata walichokuwa wanataka?
2. Warioba anawafanyia kazi ambayo walitakiwa waifanye?
3. Ni delay tactic?
4. Baada ya kutimuliwa Mwanasheria Mkuu wao waliogopa?
5.....
Tujadili zaidi!