Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 7,170
- 8,622
Chaguzi za rais ,wabunge na madiwani zitakuwa huru. Sababu tume ya uchaguzi itakuwa huru.Wizi wa kura utadhibitiwa.
Mahakama zitakuwa huru, sababu majaji watakuwa wanaomba kazi hawatakuwa wateule wa rais.
Kesi zinazohusu uchaguzi zitakuwa huru na upendeleo utakoma.
Viongozi waliofanya uafisadi watafikishwa mahakamani hata na raia binafsi. Sio mpaka Takukuru au Dpp afungue kesi.
Ndio maana CCM hawaitaki katiba mpya. Wanaogopa sana kaka mtoto anavyoigopa pilipili kichaa
Mahakama zitakuwa huru, sababu majaji watakuwa wanaomba kazi hawatakuwa wateule wa rais.
Kesi zinazohusu uchaguzi zitakuwa huru na upendeleo utakoma.
Viongozi waliofanya uafisadi watafikishwa mahakamani hata na raia binafsi. Sio mpaka Takukuru au Dpp afungue kesi.
Ndio maana CCM hawaitaki katiba mpya. Wanaogopa sana kaka mtoto anavyoigopa pilipili kichaa