Katiba mpya iondoe hili suala la CAG kuisomea ripoti Serikali ikiwa wao ndiyo wana makosa mengi

Escrowseal1

JF-Expert Member
Dec 17, 2014
4,430
4,222
Hakuna maana yoyote na wala haileti mantiki CAG kuisomea report serikali wakati ndo mtuhumiwa mkuu wa madudu hayo.

Katika katiba ijayo kama itaridhiwa tuukatae huu upuuzi. Haina maana sana serikali hiyo hiyo inayofanya madudu ndiyo ati isomewe report.

Nashauri marekebisho yafanyike na CAG awe anachukua hatua stahiki mara moja na kuketa taarifa ya hatua zilizochukuliwa ili mzigo uwe wa CAG na si kwa mtuhumiwa wa wizi.

Huu mchezo ndo unatufanya tume gota kwenye cycle.
 
Binafsi sioni maana ya uwepo wa CAG. Ni kwakuwa tu CAG anatambulika kikatiba.

Ukiona fedha ya umma imeliwa, ujue kuna mkono mreefu sana, sio tu mtu mmoja amejiamulia kula!

Sio rahisi individual kula pesa ya umma kwakuwa fedha ya umma mpaka inatoka ujue imepitia mikono mingi sana, tena mingine inajiridhisha (due deligence)

Ili CAG awe na nguvu zaidi, kwanza wao wenyewe wapunguze njaa! vinginevyo itakuwa unafiki mtupu.
 
Hakuna maana yoyote na wala haileti mantiki CAG kuisomea report serikali wakati ndo mtuhumiwa mkuu wa madudu hayo. Katika katiba ijayo kama itaridhiwa tuukatae huu upuuzi. Haina maana sana serikali hiyo hiyo inayofanya madudu ndo ati isomewe report .

Nashauri marekebisho yafanyike na CAG awe anachukua hatua stahiki mara moja na kuketa taarifa ya hatua zilizochukuliwa ili mzigo uwe wa CAG na si kwa mtuhumiwa wa wizi . Huu mchezo ndo unatufanya tume gota kwenye cycle .
What if cag ndio mtuhumiwa namba moja?

Jamaa is dramatic

Tuone full report tutagundua jamaa anapagawa na camera
 
CAG amezungumzia utekelezaji wa hoja za miaka ya nyuma.
-Kuna hoja alitoa kwenye ukaguzi wa mwaka 2020/21 Kuhusu kupunjwa malipo ya wakazi wa Kipawa na kigilagila waliopisha ujenzi wa terminal 3 na fidia kwa wakazi wa kipunguni wanaotakiwa kupisha upanuzi wa JNIA,
- Lakini mpaka leo hoja hiyo ya ukaguzi bado haijatekelezwa na wananchi wa Kipawa na kigilagila waliopisha ujenzi terminal 3 wanaishi kwa shida
-Kuna haja gani CAG kuendelea kutoa hoja ambazo hazitekelezwi na Serikali au wajibu.
-Au kwa sababu watanzania huwa hatufutilii hoja za ukaguzi na tumekuwa wapole mno na wanatumia msemo funika kombe mwanaharamu apite.
- Mwezi wa nane mwaka 2023 Waziri fedha,Naibu spika na Mbunge wa ilala, Mbunge wa segerea walifika Kipunguni na kutoa taarifa kuwa Serikali imeshatenga billioni 140 kwa ajili ya fidia kwa watu wa kipunguni lakini mpaka leo wananchi wa kipunguni lakini mpaka hivi leo wananchi wa kipunguni bado hawajalipwa.
-Hata hivyo hoja ya CAG ilisema deni la fidia kwa wakazi wa kipunguni A na mapunjo kwa wananchi wa Kipawa na kigilagila waliopisha ujenzi wa terminal 3 ni shs39 billion.
-Wakazi kipawa na kigilagila wanashangaa hayo mabilioni 140 yamefikiwaje,?
-Itapendeza kama orodha ya wadai au mchanganuo wake na wananchi ikatolewa na wahusika walipwe ili kufunga hoja za ukaguzi
-Orodha ya wananchi wa Kipawa na kigilagila uhakiki wake ni kwa kupitia majina ya waliolipwa mwaka 2011 na kwa wananchi wa kipunguni uhakiki ni kwa kupitia orodha ya uthamini ya 1997 na nyumba zilizopo sasa hivi huko Kipunguni A
-Mama fedha anazo. lakini wasaidizi wake wanamwangusha mama yetu.
 
What if cag ndio mtuhumiwa namba moja?

Jamaa is dramatic

Tuone full report tutagundua jamaa anapagawa na camera
Ukisha sema what if inageuka theory aka mawazo ya kusadikika
CAG kama mkaguzi mkuu wa serikal anafanya kazi yake kikatiba, we unasema yoko dramatic? He is doing his job
 
Hakuna maana yoyote na wala haileti mantiki CAG kuisomea report serikali wakati ndo mtuhumiwa mkuu wa madudu hayo.

Katika katiba ijayo kama itaridhiwa tuukatae huu upuuzi. Haina maana sana serikali hiyo hiyo inayofanya madudu ndiyo ati isomewe report.

Nashauri marekebisho yafanyike na CAG awe anachukua hatua stahiki mara moja na kuketa taarifa ya hatua zilizochukuliwa ili mzigo uwe wa CAG na si kwa mtuhumiwa wa wizi.

Huu mchezo ndo unatufanya tume gota kwenye cycle.
Ana serve important place kwenye serikali, yeye ndio check and balance. Asilaumiwe kwa lolote maana anafanya kazi hiyo vizuri, waonatakiwa kuchukua hatua ambao ndio viongozi wa nchi ndio wenye shida
 
Tanzania nchi ya vituko vingi,BUNGE DHAIFU ndio bucket 🪣 hili linaishia ,ripoti hii ni Bunge ndilo linalotakiwa lichukue hatua ya to remedy tatizo hili,sio kazi ya no 1,kama unafuatilia Africa news pale kwa Madiba ,Speaker wa Bunge lile yupo mbioni kukamatwa kwa ufisadi,tiss mtamkamata lini Anna makinda kwa ufisadi mkubwa alioufanya?,nilitegemea angemchukulia Jackson Makweta (MHSRIP)kama role model wake,lakini wapi ufisadi,greed vimechafua legacy yake
 
Hakuna maana yoyote na wala haileti mantiki CAG kuisomea report serikali wakati ndo mtuhumiwa mkuu wa madudu hayo.

Katika katiba ijayo kama itaridhiwa tuukatae huu upuuzi. Haina maana sana serikali hiyo hiyo inayofanya madudu ndiyo ati isomewe report.

Nashauri marekebisho yafanyike na CAG awe anachukua hatua stahiki mara moja na kuketa taarifa ya hatua zilizochukuliwa ili mzigo uwe wa CAG na si kwa mtuhumiwa wa wizi.

Huu mchezo ndo unatufanya tume gota kwenye cycle.

Dhalimu magu na chawa wake Ndugai baada ya CAG kuweka wazi ubadhirifu wao, na wao wakatengeneza mizengwe kuwa CAG naye akaguliwe! Hizo ripoti za CAG kutokana na hatua kutokuchukuliwa, ni wendawazimu hata kuendelea kuzisikiliza.
 
Hakuna maana yoyote na wala haileti mantiki CAG kuisomea report serikali wakati ndo mtuhumiwa mkuu wa madudu hayo.

Katika katiba ijayo kama itaridhiwa tuukatae huu upuuzi. Haina maana sana serikali hiyo hiyo inayofanya madudu ndiyo ati isomewe report.

Nashauri marekebisho yafanyike na CAG awe anachukua hatua stahiki mara moja na kuketa taarifa ya hatua zilizochukuliwa ili mzigo uwe wa CAG na si kwa mtuhumiwa wa wizi.

Huu mchezo ndo unatufanya tume gota kwenye cycle.
Ni kweli, Kenya wao yule CAG wao huwa anaita waandisha wa habari na kutoa report yake basi, sasa Tanzania huu ni usanii mtupu
 
Binafsi sioni maana ya uwepo wa CAG. Ni kwakuwa tu CAG anatambulika kikatiba.

Ukiona fedha ya umma imeliwa, ujue kuna mkono mreefu sana, sio tu mtu mmoja amejiamulia kula!

Sio rahisi individual kula pesa ya umma kwakuwa fedha ya umma mpaka inatoka ujue imepitia mikono mingi sana, tena mingine inajiridhisha (due deligence)

Ili CAG awe na nguvu zaidi, kwanza wao wenyewe wapunguze njaa! vinginevyo itakuwa unafiki mtupu.
CAG kazi yake nu ku audit tu mkuu, sasa kama report zake hazifanyiwi kazi hilo sio kosa lake. Kumbuka pia hizi report huwa zinaenda IMF na World Bank na kwingineko. Kama Serikali haichukui maamuzi vipi nyie raia
 
CAG kazi yake nu ku audit tu mkuu, sasa kama report zake hazifanyiwi kazi hilo sio kosa lake. Kumbuka pia hizi report huwa zinaenda IMF na World Bank na kwingineko. Kama Serikali haichukui maamuzi vipi nyie raia
Kama CAG anafanya kazi, na report zake hazifanyiwi kazi, maan yake ni nini? kwaiyo anatumia fedha za kuendesha ofisi yake bure??

Anaweza kuandika Audit Opinion kuwa, Ofisi yakw inashindwa kuendelea na kazi, mpaka mpaka pale mapendekezo yake yatakapofanyiwa kazi.
 
Ukiona CAG anavyoongea Kwa uchungu utafikiri Ofisi yake ni safi. Kimsingi nchi yetu zaidi ya 78% ya Ofisi za Umma Kuna matumizi mabaya ya Ofisi. Hakuna uwazi wa mapato na matumizi, tunahtj katiba itakayosisitiza uwazi na uwajibikaji
 
Hakuna maana yoyote na wala haileti mantiki CAG kuisomea report serikali wakati ndo mtuhumiwa mkuu wa madudu hayo.

Katika katiba ijayo kama itaridhiwa tuukatae huu upuuzi. Haina maana sana serikali hiyo hiyo inayofanya madudu ndiyo ati isomewe report.

Nashauri marekebisho yafanyike na CAG awe anachukua hatua stahiki mara moja na kuketa taarifa ya hatua zilizochukuliwa ili mzigo uwe wa CAG na si kwa mtuhumiwa wa wizi.

Huu mchezo ndo unatufanya tume gota kwenye cycle.
CCM HAITAKI KATIBA MPYA WANAJUA WANANCHI WATAFUTA MAMBO MENGI YA KIJINGA YALIYOMO KWENYE KATIBA ILIYOPO
 
Kwaheri mwalimu Nyerere huu ndio uhuru uliotuletea.

TAIFA LINAANGAMIA NCHI INATEKETEA TANZANIA INAKUFA.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom