Katiba Mpya: CHADEMA, CUF na NCCR- Mageuzi wakutana na wanahabari Sept 15, 2013

hiyo nimeipenda najua ccm hiyo kwao nimaumivu makali sana.basi ili tuotoe ccm madalakani inabidi hivi vyama vijipange 2015 viungane.
 
Nkweli usemi huu "WAKATI HUAMU MAMBO" kwa ushirikiano wa nguvu za pamoja huharakisha mabadiliko,huu ni mwanzo kwa kambi ya upinzani tunategemea kutathimini matokeo ya nguvu hii,mafanikio yake yataonekana bilamashaka mwanzo huu wa mshikamano umeanza hakuna kurudi nyuma,hongera Chadema hongera Cuf na hongera Nccr.
 
kila la kheri sote tunategemea mafanikio mazuri katika muungano huu.
 
Hili ndo jambo tulilokuwa tukilisubiri watanzania Big up sana wakuu tuko nyuma yenu.
 
Yule jamaa mwenye ndevu nyingi kule Zanzibar sijui anajisikiaje maana namuona Prof.Lipumba akiwa mstari wa mbele kupinga huu uchafu wa CCM.
 
kikubwa ipataikane katiba yenye maslahi na taifa,

Katiba ndio msingi wa mambo yote.

Hilo lipewe kipaombele
 
Kwanza kabisa nawapongeza sana viongozi wa CUF, NCCR na CHADEMA kwa kukubali kukaa pamoja na kupanga mikakati ya kuwapigania wananchi haki yao ya utungaji wa katiba ambayo wa janja walisha pora haki hiyo ya wananchi kujitungia katiba yao.

Pili naomba wapange mikakati ya kushirikiana kama vyama kwapamoja vya upinzani na kujipanga kwapamoja kuakikisha chama cha mapinduzi kinaondoka madarakani mapema 2014.

Nawaomba sana Prof Lipumba, Mbowe na Mbatia, watanzania wamepigika kweli kweli wanawaangalia ninyi wamechoka na chama cha mapinduzi, tumaini laoni ninyi. Umoja ni nguvu za kukiondoa chama cha mapinduzi.

Asanteni sana nawatakia muungano mwema,
 
Sasa mnaonyesha njia ya
ukomavu! Please builder a strong coalition. Pale ambapo tunaweka itikadi
zetu penbeni na kuenzi uzalendo. CUF na NCCR, hii ndiyo Kete kubwa ya
CDM.

Wananchi wanahitaji mageuzi, wanahitaji viongozi wa kuwaongoza kuyafikia
hayo. Ajenda hii mkiipatia kipau mbele, nawahakikishia, 2015 wananchi
watawapatieni Kura sana.

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

sina hakika kama hiyo ndoa itadumu maana CUF amefunga ndoa ya kudumu na CCM huko Zenji. bila shaka chadema atakuwa ni Kidumu tu na wakati wowote kitakimbiwa
 
hiyo nimeipenda najua ccm hiyo kwao nimaumivu makali sana.basi ili tuotoe ccm madalakani inabidi hivi vyama vijipange 2015 viungane.

DJ NYUKI
Siungu mkono hili ni mapema sana.
Kuna wengine kitendo hiko ni sawa na Kukata Kuti walilo kalia au kukata Miraja inayowaweka mjini.

Ushahuri ni huu tu, washirikiane kwenye hili moja kwa sasa wakifaulu na kuona inafaaa na wamefanikiwa kwa hili basi wakae chini na kukubaliana mengine.
 
Last edited by a moderator:
sina hakika kama hiyo ndoa itadumu maana CUF amefunga ndoa ya kudumu na CCM huko Zenji. bila shaka chadema atakuwa ni Kidumu tu na wakati wowote kitakimbiwa

Na amini ajenda ikiwa Katiba Pekee basi tutafika ila wakiweka ajenda nyingine ujue ni balaa hilo, Maana kama nilivyo kwishasema kuwa wengine kuiua CCM ni sawa kukata Kuti walilo kalia au kukata Miraji.
 
Next tym siandamani tena wote kwenye hiyo picha ni wasaliti tu. hadi hapo tayari wameshajigawa kwa kumuacha Lyatonga na viongozi wa vyama vingine.
 
DJ NYUKI
Siungu mkono hili ni mapema sana.
Kuna wengine kitendo hiko ni sawa na Kukata Kuti walilo kalia au kukata
Miraja inayowaweka mjini.

Ushahuri ni huu tu, washirikiane kwenye hili moja kwa sasa wakifaulu na
kuona inafaaa na wamefanikiwa kwa hili basi wakae chini na kukubaliana
mengine.

hili bandiko lako linahitaji tafakari pana zaidi. kwa akili za bavicha hapo watatoka patupu
 
Last edited by a moderator:
Next tym siandamani
tena wote kwenye hiyo picha ni wasaliti tu. hadi hapo tayari
wameshajigawa kwa kumuacha Lyatonga na viongozi wa vyama
vingine.

mkuu, hivi unafikiri maandamano bado yapo nchini? la hasha. chadema wamechemsha katika hilo na sasa wanategemea nusura ya vyama vingine
 
Back
Top Bottom