the ultimatum
JF-Expert Member
- Dec 16, 2012
- 402
- 114
nyantella
Pumba ni pumba tu hata ukiziandika kwa kimombo zitabaki kuwa pumba tu. Uliposema katiba haina umuhimu badala yake tuongelee gesi nikaacha hata kusoma post yako. Hivi si ndiyo hiyo gesi wanayoingia nayo mikataba ya siri. Hivi si ndiyo hii katiba mpya ambayo inatamka mikataba iwe ya uwazi.
Sasa mbona sioni uhusiano wa ulichokiandika. Acha kulewa na upuuzi wa CCM kwa kigezo cha kupata buku saba Lumumba
Pumba ni pumba tu hata ukiziandika kwa kimombo zitabaki kuwa pumba tu. Uliposema katiba haina umuhimu badala yake tuongelee gesi nikaacha hata kusoma post yako. Hivi si ndiyo hiyo gesi wanayoingia nayo mikataba ya siri. Hivi si ndiyo hii katiba mpya ambayo inatamka mikataba iwe ya uwazi.
Sasa mbona sioni uhusiano wa ulichokiandika. Acha kulewa na upuuzi wa CCM kwa kigezo cha kupata buku saba Lumumba
Last edited by a moderator: