Wanachojadili kwenye Kikao ni jinsi ya kupata Katiba Bora itakayodhibiti Ufisadi,Wizi wa Mali ya Umma,Mauaji ya Tembo,Usafirishaji wa Madawa ya Kulevya na Kuhonga Wachina Urithi wa Watoto wetu.Katiba hii ikipatikana CCM itabidi iondoke Madarakani maana Giza na Nuru haviwezi kuishi Pamoja.
Well noted wewe upo hapo kwenye kikao?