Sungurampole
JF-Expert Member
- Nov 17, 2007
- 984
- 205
Hivi ingekuwa tumebanwa sana kiasi cha kuandika katiba mpya ikabidi tubadili tu kitu kimoja. Je, wewe ungependa kitu gani/jambo gani moja lishughulikiwe na katiba mpya?
Najua ni ngumu lakini fikiri, chekecha, pata lako moja.
Mimi ningependa katiba itakayohakikisha Tanzania inakuwa na ZERO TOLERANCE KWA UFISADI!
Najua ni ngumu lakini fikiri, chekecha, pata lako moja.
Mimi ningependa katiba itakayohakikisha Tanzania inakuwa na ZERO TOLERANCE KWA UFISADI!