Wanateuliwa kwanza kuwa wabunge halagu wanateuliwa kuwa mawaziri, na siyo kinyume chake.Kwani hizo teuzi haziwezi kuwa simultaneously?
Mbona kuna mawaziri ambao huwa wanateuliwa kuwa wabunge na kuwa mawaziri kwa wakati mmoja....au nakosea?
Wanateuliwa kwanza kuwa wabunge halagu wanateuliwa kuwa mawaziri, na siyo kinyume chake.Kwani hizo teuzi haziwezi kuwa simultaneously?
Mbona kuna mawaziri ambao huwa wanateuliwa kuwa wabunge na kuwa mawaziri kwa wakati mmoja....au nakosea?
Katiba tupa kule kwa sasa ni one man show tuMods naomba tuuache uzi huu ujitegemee ili tuweze kupata mwanga wa kikatiba na kisheria kuhusu uteuzi tajwa.Pamekuwa na kambi mbili katika uteuzi huu na msaada wa wadau wa katiba na sheria unaweza kutupa mwanga.
Najua kuna jukwaa la mambo ya sheria lakini uteuzi huu una athari za kisiasa ambazo inawezekana kwa sasa hazipo wazi.
Tusaidieni tujue ukweli ni upi?
Hata kwa hii "katiba", bado haijavunjwa. Hasa ukisoma hicho kipengele cha 7 chote (kwenye hii attachment yako kimekatika).Hii hapa mkuuView attachment 1713309
Hata kwa hii "katiba", bado haijavunjwa. Hasa ukisoma hicho kipengele cha 7 chote (kwenye hii attachment yako kimekatika).
Hapana. Weka hapa hicho kipengele cha 7 chote, ili kila mtu asome. Utaona kuwa si lazima mtu awe katibu mkuu bali hata wenye sifa za kuweza kuchaguliwa katibu mkuu. Lakini ukisoma katiba ya sasa, hakuna sehemu ilipovunjwa (tena yenyewe haiweki mipaka) na pia Public Services Act pia haijavunjwa.Tuondolee 'utopolo' wako hapa. Afisa Mwandamizi anayeshika nafasi ya KATIBU MKUU maana yake siyo KATIBU MKUU WA CCM baali Ni KATIBU MKUU kwenye moja ya Wizara! Je, unataka kunambia CCM nayo ni Wizara??
Hapana. Weka hapa hicho kipengele cha 7 chote, ili kila mtu asome. Utaona kuwa si lazima mtu awe katibu mkuu bali hata wenye sifa za kuweza kuchaguliwa katibu mkuu. Lakini ukisoma katiba ya sasa, hakuna sehemu ilipovunjwa (tena yenyewe haiweki mipaka) na pia Public Services Act pia haijavunjwa.
Sikubaliani na JPM kwenye mambo mengi tu (soma posts zangu humu JF), lakini napenda kuwa objective.
In fact, hata kwenye huu uteuzi wa Bashiru nina reservations zangu nyingi tu, but sio katiba kuvunjwa.
Soma tu katiba ya sasa (katibu wa baraza la mawaziri). Hiyo ya katiba ya Warioba ambayo wajenga hoja humu wanaitumia haitumiki kwa sasa. Kwa hivyo nilikuwa tu najaribu kujenga hoja kuwa hata kwa kutumia hiyo Katiba ya Warioba bado haijavunjwa. Ndio kwenye post yangu nikamuomba aliyeweka nukuu, aweke hicho kipengele cha 7 chote kinachotoa tafsiri ya afisa mwandamizi...Hicho kipengele chote cha 7 unachotumia kama kichaka kinasemaje? Kama kinatetea hoja yako ya Uteuzi wa KATIBU MKUU CCM si ukiweke basi??
We nae mamlaka za serikali zinatokana na siasa na mliruhusu mfumo wa vyama vingi,sasa unakuja na swali gani hiliMods naomba tuuache uzi huu ujitegemee ili tuweze kupata mwanga wa kikatiba na kisheria kuhusu uteuzi tajwa.Pamekuwa na kambi mbili katika uteuzi huu na msaada wa wadau wa katiba na sheria unaweza kutupa mwanga.
Najua kuna jukwaa la mambo ya sheria lakini uteuzi huu una athari za kisiasa ambazo inawezekana kwa sasa hazipo wazi.
Tusaidieni tujue ukweli ni upi?
Hapo siyo!Soma tu katiba ya sasa (katibu wa baraza la mawaziri). Hiyo ya katiba ya Warioba ambayo wajenga hoja humu wanaitumia haitumiki kwa sasa. Kwa hivyo nilikuwa tu najaribu kujenga hoja kuwa hata kwa kutumia hiyo Katiba ya Warioba bado haijavunjwa. Ndio kwenye post yangu nikamuomba aliyeweka nukuu, aweke hicho kipengele cha 7 chote kinachotoa tafsiri ya afisa mwandamizi...
"116(7) Kwa madhumuni ya Ibara hii, maneno “Afisa Mwandamizi aliye katika nafasi ya uteuzi” maana yake ni mtu anayeshika nafasi ya Katibu Mkuu au mwenye sifa ya kuwa Katibu Mkuu au cheo kingine kinachofanana na hicho."
Hapo vipi?
Sawa. Tuletee hivyo vipengele vya sheria. Ukishakuwa mhadhiri wa chuo kikuu cha umma na baadae kuteuliwa kuwa katibu mkuu wa ccm unapoteza sifa za kuteuliwa kuwa katibu mkuu wa wizara au katibu mkuu kiongozi?Hapo siyo!
Nimeshakwambia maana ya mtu anayeshika nafasi ya KATIBU MKUU au mwenye sifa ya kuwa Katibu Mkuu siyo KATIBU MKUU WA CCM.
Sifa ya kuwa KATIBU MKUU wa BARAZA LA MAWAZIRI ni angalao awe alishawahi kuwa KATIBU MKUU WA WIZARA mojawapo(experience)!
Hebu fuatilia ujue utujuze kama Marehemu Kijazi alitokea CCM akiwa KM wa CCM.....!!
Alishapoteza hiyo sifa. Ni katibu wa ccmBashiru ni mtumishi mwandamizi wa umma.
Unajua kama jamaa ni kutoka karibu na multi-choice Tanzania?..utumishi wa umma ni serikali kuu na taasisi zake.
..watumishi waandamizi ni manaibu katibu wakuu, makatibu wakuu, na wateule wa raisi ktk taasisi za serikali.
Soma 116(2) atakuwa katibu wa baraza wa usalama wa Taifa.Kwahiyo baada ya kuteuliwa kua Katibu wa CCM Taifa aliendelea kua Mwalimu na mtumishi wa umma?View attachment 1713332
Sawa. Tuletee hivyo vipengele vya sheria. Ukishakuwa mhadhiri wa chuo kikuu cha umma na baadae kuteuliwa kuwa katibu mkuu wa ccm unapoteza sifa za kuteuliwa kuwa katibu mkuu wa wizara au katibu mkuu kiongozi.
Katiba yetu haina hilo zuio na hata hiyo ya Warioba haina hilo zuio.
Hapo sawaMkuu in brief niseme hivi:
Hapa hakuna Katiba iliyofuatwa si ya Katiba hii tuliyo nayo Wala Katiba Pendekezwa ya Jaji Warioba!!!
Katiba inayotumika kwa sasa ni ya JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI..Yeye ndiye kila kitu: Yeye ndo Katiba, yeye ndo Serikali, Yeye ndiye Bunge,Yeye ndiye Mahakama na yeye ndiye Waziri wa Fedha.😎
Kwa kifupi JIWE kachemka sana na hakuna mtu wa kumwambia. Chief Secretary ilipaswa atoke miongoni mwa maafisa waandamizi wa serikali siyo mtumishi wa chama cha siasa.
hakuna kosa lolote, kwa sababu sio dhambi kuwa mwanachama wa chama chochote kile cha siasa na wakati huo huo ukawa mtumisha wa uma, isipokuwa hauruhusiwi tu kuwa mwanasiasa wa majukwaani, pia hupaswi kujihusisha na shughuli za kisiasa,..kwa hiyo kumtoa mtu ofisi ya chama na kumpeleka ofisi ya umma hamna makosa?
Wewe ata kuelewa uelewi...kua katibu wa bara za la usalama wa Taifa ni baada ya kua katibu kiongozi sio kabla ya apo.Tatizo ni lugha au?Soma 116(2) atakuwa katibu wa baraza wa usalama wa Taifa.
Unamjua Bashiru kijuu juu.