Katiba inasemaje ikiwa staki kumwita kiongozi husika Mheshimiwa.Ikiwa naona si mtu wa kuheshimika.

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Jul 29, 2013
10,842
24,614
Sisi wachache tumebaki bado tunazingatia dhamira za mioyo yetu. Mfano inatokea sijisikii kumwita mkuu wa mkoa, mkuu wa wilaya,mbunge au waziri mheshimiwa maana kabisa najua simweshimu. Je kuna adhab yoyote napata?

Heshima haiombwi wala hailazimishwi je nikimwita tu mfano mkuu wa wilaya ni matatizo nikamwita bwana matatizo mkuu wa wilaya. Au nikasema kwa upendo kabisa ndugu matatizo kuna ubaya kisheria?
 
Hakuna ubaya wowote. Kwanza ujinga tu kuita majina hayo ya sijui mheshimiwa, mtukufu nk kwa hawa wanasiasa wetu uchwata
 
Hakuna ubaya wowote. Kwanza ujinga tu kuita majina hayo ya sijui mheshimiwa, mtukufu nk kwa hawa wanasiasa wetu uchwara
 
Iga mfano wa wenzako hawa halafu urudi utupe mrejesho
e067554fb0f6e7498725e7edde5c60c8.jpg
b0f60d478912bd1f4077829e5815bbc8.jpg
 
"Rais Wetu,Mpendwa Wetu,Mheshimiwa Dr. JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI'' ..IN MAKONDA'S VOICE
 
Kama mcha Mungu sioni sababu yakumwita binaadam (mtu) mtukufu or whatever , especially hapa kwetu palipo jaa maudhi
 
Sisi wachache tumebaki bado tunazingatia dhamira za mioyo yetu. Mfano inatokea sijisikii kumwita mkuu wa mkoa, mkuu wa wilaya,mbunge au waziri mheshimiwa maana kabisa najua simweshimu. Je kuna adhab yoyote napata?

Heshima haiombwi wala hailazimishwi je nikimwita tu mfano mkuu wa wilaya ni matatizo nikamwita bwana matatizo mkuu wa wilaya. Au nikasema kwa upendo kabisa ndugu matatizo kuna ubaya kisheria?

Hakuna suala kumwita kiongozi Mheshimiwa kwenye katiba. Katiba haiwezi kutia ndani mambo madogo yasiyo na maana kama hayo.
 
Ni kweli sio lazima kumuita mheshimiwa lkn usimuite matatizo muite jina lake halisi
 
Back
Top Bottom