Watu wa FOREVER LIVING PRODUCTS wanasema, dawa hz za meno tunazozitumia, zina sumu, na katika mabox ya dawa yameandikwa "do not swallow".
mkuu, nakushauri tafuta dawa inaitwa forever bright y aaloevera ni nzuru sana zaidi ya sana, bei si chini ya 10,000, wengine wanauza 12, 14, hadi 15 inategemea na mahala duka lilipo.
ila ni dawa nzuri sana kwa ulinzi wa meno moja kwa moja.