Kati ya Wanafunzi 7,805 waliofukuzwa UDOM, ni 382 tu ndio wenye sifa

Kwa hili tamko bado naona ukakasi,

Je Hawa ni akina nani kati ya hao wanafunzi 7000? Nanukuu:

"Aidha alisema kuwa wengine 4,586 wa mwaka wa kwanza wa programu maalum wa stashahada ya ualimu wa sekondari waliokidhi vigezo vya ufaulu watahamishiwa katika vyuo vya ualimu vya serikali ambavyo ni Morogoro, Butimba,Mpwapwa, Songea na Tukuyu kuendelea na masomo na wanafunzi1,337 wa mwaka wa pili watahamishiwa vyuo vya Korogwe na Kasulu ili kumalizia masomo yao"
 
Kwa hili tamko bado naona ukakasi,

Je Hawa ni akina nani kati ya hao wanafunzi 7000?

"Aidha alisema kuwa wengine 4,586 wa mwaka wa kwanza wa programu maalum wa stashahada ya ualimu wa sekondari waliokidhi vigezo vya ufaulu watahamishiwa katika vyuo vya ualimu vya serikali ambavyo ni Morogoro, Butimba,Mpwapwa, Songea na Tukuyu kuendelea na masomo na wanafunzi1,337 wa mwaka wa pili watahamishiwa vyuo vya Korogwe na Kasulu ili kumalizia masomo yao"
Kumbe shida nii UDOM? Wangemalizi UDOM wangepewa Stashahada au cheti. watu wanashindwa kuelewa. Vyuo vikuu wanatoa, certificate, diploma, degree, masters, etc.
Sikila mtu anayesoma chuo kikuu atapata shahada, wengine watapa certificate of completion tu. Mfano mzuri, ukienda UDSM department ya commerce utakutana na watu wengi. kwa mtu mgeni atajua tu wote hawa watapata stashahada, kumbe wengine wanasoma kozi fupi.
 
Kwa hili tamko bado naona ukakasi,

Je Hawa ni akina nani kati ya hao wanafunzi 7000? Nanukuu:

"Aidha alisema kuwa wengine 4,586 wa mwaka wa kwanza wa programu maalum wa stashahada ya ualimu wa sekondari waliokidhi vigezo vya ufaulu watahamishiwa katika vyuo vya ualimu vya serikali ambavyo ni Morogoro, Butimba,Mpwapwa, Songea na Tukuyu kuendelea na masomo na wanafunzi1,337 wa mwaka wa pili watahamishiwa vyuo vya Korogwe na Kasulu ili kumalizia masomo yao"
Hujaelewa nini? vigezo vya ufaulu wa level ya hivyo vyuo tajwa na sio chuo kikuu.

Nyie watu sijui akili zenu mmepeleka wapi sikuhizi, nani kakuambia huko vyuoni (cheti ) wanafunzi hupewa mikopo? Ukila.za kwa maana ya level waliyokuwa wamepewa pale UDOM.
 
Continuation of the last Comedy. Mmetufanya sisi mazuzu, tunaelewa sana, sema tu hatuna cha kuwafanya.
 
Kumbe shida nii UDOM? Wangemalizi UDOM wangepewa Stashahada au cheti. watu wanashindwa kuelewa. Vyuo vikuu wanatoa, certificate, diploma, degree, masters, etc.
Sikila mtu anayesoma chuo kikuu atapata shahada, wengine watapa certificate of completion tu. Mfano mzuri, ukienda UDSM department ya commerce utakutana na watu wengi. kwa mtu mgeni atajua tu wote hawa watapata stashahada, kumbe wengine wanasoma kozi fupi.
Ondoeni upotoshaji humu, mnaudhi sana kudhihaki kila kitu, ushaona wapi Tanzania hapa, chuo gani nchini humu mtu anayesomea cheti achilia mbali stashahada akapewa mkopo na serikali? hivi huu uchafu nao ni wa kuutetea kweli? wanafunzi wangapi mayatima na wenye uhitaji hasa vyuo vikuu walikosa mikopo na hivyo kuharibu ndoto za maisha yao sababu ya watu kama hawa ambao hawakuwa na sifa ila wakabebwa?
 
Continuation of the last Comedy. Mmetufanya sisi mazuzu, tunaelewa sana, sema tu hatuna cha kuwafanya.
Mnaelewa nini? Mliwatetea kwamba wameonewa wote walikuwa na vigezo, tena mkatuaminisha kwamba wote walikuwa na div 1 na 2 pekee, leo mmepewa facts kwamba waliokutwa na vigezo yaani div 1-3 hawafiki 400, DHAMBI YA UNAFKI INAWATAFUNA.
 
Ondoeni upum.bavu wenu na upotoshaji humu, mnaudhi sana kudhihaki kila kitu, ushaona wapi Tanzania hapa, chuo gani nchini humu mtu anayesomea cheti achilia mbali stashahada akapewa mkopo na serikali? hivi huu uchafu nao ni wa kuutetea kweli? wanafunzi wangapi mayatima na wenye uhitaji hasa vyuo vikuu walikosa mikopo na hivyo kuharibu ndoto za maisha yao sababu ya watu kama hawa ambao hawakuwa na sifa ila wakabebwa?
Ukitukana wewe ruksa kisa una kadi ya chama, wengine wakitukana mnakuja juu. pole hiyo ndo nguvu ya hoja.

Vyuoni wapo wanaopata mikopo na wengine hawapati mikopo. Certificate zinatolewa pitia website ya vyuo utajionea. jifunze kusoma literature review kabla ya kujib hoja. Pole tena ndugu na sante kwa kunitukana.
 
Hapo haki itakuwa imetendeka hata hivyo Prof alijichanganya mara ya mwanzo alipodai kuwa wanafunzi wote walikuwa na sifa. Kimsingi hata kama sio kutumbulia hakakapele kalitakiwa kakamuliwe ili kasilete madhara zaidi.
 
sasa yamefanyika marekebisho 382 watarudi Udom na wengine watakwenda vyuo vya ualimu vya serikali sasa unataka nini tena?
Mkuu umeelezea vyema lkn bado sijaridhika.
1.Ilikuwaje mpaka mkaanzisha hii programme?
2. Ni vigezo gani mlivyovitumia kuwatahini hawa watu kabla ya kuwafukuza?
3. Na kwann mlikaa kimya mpaka hawa watu wanakaribia kumaliza mafunzo yao?
4. Je, km ilikuwa batili kwann mliwapa mkopo?
Wote hao ambao leo wanatumbua tumbua wote walikuwepo awamu iliyopita.
Naomba majibu mkuu, usinipe majibu ya kisiasa.
 
Nasubiri Tamko kutoka kwa UKAWA
Tamko kutoka UKAWA au kutoka kwa aliyewapeleka UDOM? Ameshasema kuna jamaa amemuachia mzigo mkubwa, sasa huyo jamaa yupo UKAWA? Wale wabunge wa CCM waliosema wamewapa lifti na kuwasaidia malazi wanafunzi waliofukuzwa kwa mabomu, nao wapo UKAWA?
 
Mnaelewa nini? Mliwatetea kwamba wameonewa wote walikuwa na vigezo, tena mkatuaminisha kwamba wote walikuwa na div 1 na 2 pekee, leo mmepewa facts kwamba waliokutwa na vigezo yaani div 1-3 hawafiki 400, DHAMBI YA UNAFKI INAWATAFUNA.
Lakini si huyu huyu mwanzoni alituambia tatizo ni mgogoro wa kimaslah uliopo kati ya Walimu wao na uongozi wao,so watarudishwa shulen baada ya kuumaliza huo mgogoro.
Later on mtukufu Rais akaja na tamko jingine.Acha nifanye kazi zangu mana "Ya Ngoswe mwachie Ngoswe"
 
Back
Top Bottom