Kati ya Vitz na Passo ipi ina heshima?

Kati ya Vitz na Passo ipi ina heshima?

Mkali_01

Senior Member
Joined
May 13, 2015
Posts
166
Reaction score
117
Habar zenu wadau. Kwa mtazamo wangu naona Vitz ina heshima. Passo kitu gani kwanza wameniboa walivoeka staff gear. Ndani mpangilio wa viti umekaa cheap sana. Big up Vitz.
 
Umejjbu tayar..kwakuongezea labda nikujaze na picha 1434881631356.jpg ztiV
 
Zote ni gari nzuri inategemea unamnunulia nani. Kama ni wife nunua passo kama ni mchepuko mpe vitz
 
Habar zenu wadau. Kwa mtazamo wangu naona Vitz ina heshima. Passo kitu gani kwanza wameniboa walivoeka staff gear. Ndani mpangilio wa viti umekaa cheap sana. Big up Vitz.

mi naona vyote sawa ni vidogo mno! gar ndogo sana huwa heshima ni 0
 
Watz tumejaa dharau utafikiri huko majumbani tumepaki magari, kwanini uwezo wa kufikiri unaishia kuclassify magari, eti hili babywalker, hiki kifuu, hili la wanawake, etc. Je wajua issue za space on land utilization, na jinsi miji ilivyokuwa na limited parking lots huko majuu!? Ndio maana wakaplan magari madogo yanayoendana na parking space ya mmiliki karibu na home kwake. Hili Tz hatufikirii kabisa, tujifunze mengi tuelewe kwa nini magari madogo ndio yanafuata mengine yenye ukubwa mpaka mabasi ya mwisho.
 
Watz tumejaa dharau utafikiri huko majumbani tumepaki magari, kwanini uwezo wa kufikiri unaishia kuclassify magari, eti hili babywalker, hiki kifuu, hili la wanawake, etc. Je wajua issue za space on land utilization, na jinsi miji ilivyokuwa na limited parking lots huko majuu!? Ndio maana wakaplan magari madogo yanayoendana na parking space ya mmiliki karibu na home kwake. Hili Tz hatufikirii kabisa, tujifunze mengi tuelewe kwa nini magari madogo ndio yanafuata mengine yenye ukubwa mpaka mabasi ya mwisho.

Wanaoponda haya magari wengi wao wachimba chumvi, a.k.a sizitaki mbichi hizi. Hawana ata uwezo wa pikipiki ya TOYO
 
Back
Top Bottom