Morogoro chakula na usafiri kwenda sehemu muhimu ni nafuuKati ya Tanga, mbeya,kibaha , morogoro na songea MJI gani una gharama ndogo za maisha?
Haswa mzunguko wa Hela
Upatikanaji wa misosi
Utulivu
Huduma za jamii
Kwa anae jitafuta
Kibaha ni Dar es salaam ndogo. So za kuambiwa changanya na zako.Kati ya Tanga, mbeya,kibaha , morogoro na songea MJI gani una gharama ndogo za maisha?
Haswa mzunguko wa Hela
Upatikanaji wa misosi
Utulivu
Huduma za jamii
Kwa anae jitafuta
Hajui kama kibaha sio mkoani ni dar ndogoKibaha ni Dar es salaam ndogo. So za kuambiwa changanya na zako.
Anataka kulinganisha Small Dar na mashambani huko!! 🤣🤣Hajui kama kibaha sio mkoani ni dar ndogo
Nenda Mbeya ukishindwa karibu Korogwe Tanga.Kati ya Tanga, mbeya,kibaha , morogoro na songea MJI gani una gharama ndogo za maisha?
Haswa mzunguko wa Hela
Upatikanaji wa misosi
Utulivu
Huduma za jamii
Kwa anae jitafuta
Kuna kitu haujamalizia hapo.Tanga wali samaki 1500, juisi litre 1 kasoro ni 700 tu.
supu ya samaki 600
Nenda moro mjomba hiyo ndio back up yangu Life time.Kati ya Tanga, mbeya,kibaha , morogoro na songea MJI gani una gharama ndogo za maisha?
Haswa mzunguko wa Hela
Upatikanaji wa misosi
Utulivu
Huduma za jamii
Kwa anae jitafuta
Nyie hamjui tu uzuri hiyo miji yote nimeishi, Tanga ndio mji unamfaa mtu anae anza maisha, maisha cheap sana tanga jamani, kuanzia makazi, ujenzi, chakula na mambo mengine mfanoKati ya Tanga, mbeya,kibaha , morogoro na songea MJI gani una gharama ndogo za maisha?
Haswa mzunguko wa Hela
Upatikanaji wa misosi
Utulivu
Huduma za jamii
Kwa anae jitafuta
Hii komenti ya mtu anae ishi/ wekeza/ kukulia kibaha..Anataka kulinganisha Small Dar na mashambani huko!! 🤣
Kipi mkuu?Kuna kitu haujamalizia hapo.
Kama atafanyavuamuzi wa kwenda huko kwa hoja ya bei ya chipsi yai na keki basi ana safari ndefu kwenye haya maishaSongea ruvuma HIYO back days 2019 chips yai buku nilichoka nikaogopa kuzila nika HISI Zina TATIZO. Half keki 100 alafu KUBWA balaa. Pale stendi ugali KUKU WA mchuzi buku mia Tano au buku mbili ILE SIJUI ni nchi tofauti
Kwishaaaaaa