KAYABOMBICHI
JF-Expert Member
- Oct 12, 2013
- 296
- 142
Nimemsikia mkuu wa mkoa wa Daresalaaam akiahidi kumpa mtaa mchezaji wa kimataifa Mtanzania Mbwana Ali Samatta kwa kuitangaza nchi vizuri kupitia michezo.
Sina kinyongo na hilo lakini ninachokiwaza ni kuwa Mzee Mengi amekuwa na mchango mkubwa katika taifa hili kwa ujenzi wa uchumi na kutoa ajira kwa watanzania wengi. Amesaidia kujenga hospitali, mashule, misikiti, makanisa na kadhalika.
Je, yeye hakustahili kuenziwa kwa kupewa angalau mtaa?
Sina kinyongo na hilo lakini ninachokiwaza ni kuwa Mzee Mengi amekuwa na mchango mkubwa katika taifa hili kwa ujenzi wa uchumi na kutoa ajira kwa watanzania wengi. Amesaidia kujenga hospitali, mashule, misikiti, makanisa na kadhalika.
Je, yeye hakustahili kuenziwa kwa kupewa angalau mtaa?