UKAWA Isifanye kosa kumsimamisha DR. Slaa ,Lipumba au Mbatia.
Hawa wote wana ukomo wa kukubalika.
Hili halina ubishi.Kuing'oa CCM ni kazi pevu inayohitaji maono ya kutafakari sana na maarifa makubwa ya sayansi ya siasa na jamii.
Hii nchi ina tatizo kubwa kwenye madaraka ukicheza vibaya hupati kitu.
Kampeni chafu zilishajenhwa na zitajengwa zaidi na CCM za padri kuongoza nchi yenye waislam 35-45% . Hapa hakuna muislam atakayemchagua Dr.Slaa milele
Hali kadhalika Lupumba alishachafuliwa na CCM kuwa ni mdini na mpaka video yake ikaonyeshwa.
.Tusijidanganye CCM ilishaweka misingi mikubwa ya kucheza na neno udini hapa Tanzaniana na kuzitoa hizo propoganda ni mpaka ccm itoke madarakani na katiba yao inayowapa watawala nafasi za kuwa miungu watu.
Pili ukanda anaotoka Dr.Slaa na Mbatia unapigwa sana vita na makabila madogo yaliyobaki nyuma kimaendeleo na kielimu. Na ikumbukwe kuwa umaskini na Elimu ndogo ni mtaji mkubwa wa CCM.
Lipumba naye hana mvuto mana hata Ukanda wake wenye watu zaidi ya mil.6 haujawahi kumpa hata kura laki tatu.
Hapa pasipo na shaka Kwa sasa kwenye UKAWA Tundulisi ndiye anayefaa zaidi kuleta ushindi wa kishindo.Ataongeza idadi kubwa ya wapiga kura .Nimepita sana vijiji Tundulisu anatajwa zaidi kwenye ukawa kwa vijana.
Zito kabwe umri na misimamo yake isiyoeleweka inamkosesha urais.
Mkuu umeongea jambo la mbole
Jambo ambalo vijana na wazeee wa CCM hawataki kulisikia
Hivi punde utawaona vijana wako wa CCM watakavyomiminika humu kwa matusi na kejeli kwa Dr Slaa
Hawataacha kuongelea swala la kuoa,swala la amechoka na blablah nyingine
Hawana Jipya
Watanzania Tumaini letu Jipya ni CHADEMA
Tumaini letu ni UKAWA
Forward Ever,Backward Never
Freeland wa JF
Slaa ni tishio kwa familia yako sio kwa watanzania.