Kwa nini amjaribu kiumbe wake aliye dhaifu?Anawajaribu ajue ni yupi ktk hao wanadamu ni mwenye kufanya yale aliyoamrisha na kuacha aliyokataza na hapa ndipo watakapo patikana wa peponi na wa motoni baada ya kutizamwa matendo yetu mmoja mmoja yapi yatazidi mengine kati ya mema na mabaya.
Kwa nn mwalimu anakupa mtihani ikiwa amefundisha na ana hakika mlimuelewa vema?
Ya kaisari mpe kaisari na ya Mungu mpeni MunguSio vya kaisari Tena?
We @@plan Paris weweKati ya Mungu na binadamu ni yupi ampe mwenzake pesa?
Lama ni Mungu ndio anatakiwa ampe binadamu pesa! Kwanini mnatuambia tumtolee Mungu pesa?
Tusihoji mkuu?vijana mkishiba mnaanzisha ligi na Mungu