Kati ya mke wa ndoa na hawara ama kimada nani anaenjoy maisha

Babumawe

JF-Expert Member
Sep 12, 2014
2,556
2,560
Habarini

WanaJamiiForums leo naona tuchambue na tuzungumze kwa pamoja kati ya mke wa ndoa na hawara ama kimada nani anaenjoy maisha...kuna watu hawataki kuolewa na wengine kila siku wanatamani kuolewa sasa hebu tuchambue hapa anayekuwa mke na anayekuwa kimada nani anakula maisha na kuenjoy.. Yafuatayo ni mambo wayapatayo mke na hawara

1) MKE
-Anapewa heshima ya kuwa mke wa ndoa
-Anakuwa responsible na wewe katika kujenga na kuikuza familia
-Sometimes anapewa jukumu la kusimamia assets ama biashara ya familia
-Ambaye anavumilia kwa hali yoyote ile muda wowote ule utakao amua kurudi nyumbani
- Muda wote ukiwa haupo anakuwa na mawazo kibao huku akiomba urudi salama
-Yabidi avumilie kwenye hali yeyote ile iwe shida au raha
-Ambaye utafariki ukiwa mikononi mwake

2) HAWARA
-Anapewa daraja la kwanza kwenye suala zima la kupenzika
-Anapewa nafasi ya kuagiza chochote anachotaka sehemu yeyote yenye starehe
-Anapewa nafasi ya kupelekwa shopping na kununuliwa chochote anachokitaka
-Anakuwa na uhakika vijihelahela na vijichenji kila anapohitaji
-Anapewa nafasi ya kudeka anavyotaka
-Anapewa nafasi ya kumsindikiza mwanaume sehemu yeyote iwe ndani au nje ya nchi

TUSAIDIANE MAWAZO HAPA KWA PAMOJA NANI ANAENJOY NA KWANINI?
 
Wanaume huwa tuko weak sana kwa mwanamke mnyenyekevu, msikivu, mpole mwenye akili na nidhamu, ukikuta ana hizo sifa hapo akaongeza na ile hali ya kujua kwamba kichwa cha chini cha baba kinahitaji huduma kwa wakati mwafaka ihiiiiiiiiiiiiiii!! Mbona kazi anakuwa kashaimaliza
 
Mke ni mke na mcheps anasimama kama hvyo ukitaka ufaulu usiwalinganishe just enjoy uwepo wa kila m1 kwa nafas yake
 
Wanaume huwa tuko weak sana kwa mwanamke mnyenyekevu, msikivu, mpole mwenye akili na nidhamu, ukikuta ana hizo sifa hapo akaongeza na ile hali ya kujua kwamba kichwa cha chini cha baba kinahitaji huduma kwa wakati mwafaka ihiiiiiiiiiiiiiii!! Mbona kazi anakuwa kashaimaliza
:D :D :D UKWELI mtupu... michepuko ni noma... yaani ni wasikivu na wanajua kubembeleza
 
:D :D :D UKWELI mtupu... michepuko ni noma... yaani ni wasikivu na wanajua kubembeleza
Haswaaa...kwa kuwa anajua hayupo maishani mwako kisheria, unyenyekevu wake na manjonjo yake ndiyo yanamhalalishia kupata huduma zako. Tofauti na mke wa ndoa ambaye anajua unalazimika kisheria kumtunza na kumhudumia.
 
1. Kuna mmoja anakula mbivu, mwengine anapika mbichi anakula

2. Mchepuko anaweza kuwa mke ila mke hawezi kuwa mchepuko
 
Back
Top Bottom