Kati ya mambo viongozi wa Dini mnahitaji kupuuzwa na kudharauliwa, ni uchonganishi wenu wa kidini

Kati ya mambo viongozi wa Dini mnahitaji kupuuzwa na kudharauliwa, ni uchonganishi wenu wa kidini

mkulimamiwa

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2025
Posts
2,254
Reaction score
4,466
Nyinyi mmekuwa sababu ya nchi nyingi balani Africa kukosa Amani kwa uchochezi wenu na kuingiza waumini wenu kwenye vita vya kidini huku nyinyi mkiendelea kuishi kwa raha na kwa Amani tele na familia zenu

Kwa Tanzania mtasubili sana kwa uchonganishi wenu

Tutawapuuza na tumewapuuza

Hamuwezi kutuingiza kwenye vita vya kijinga ilihali nyinyi mkitafuna swadaka zetu

Uchochezi uliopo leo ni wa kipuuzi sana na kila mtu anajua kwamba, hakuna ulazima wa nyinyi kulumbana zaidi ya kutumia hekima zenu mkaitana ili kuyajenga yakaisha na serikali ikatumia mbinu zake kuyajenga na wananchi wake ili yaishe

Unapowatukana na kuwasema TEC, Je, kuna mahali wewe wamekutukana au kukusema?

Huu sio uchonganishi kwa waumini wenu na Watanzania kwa ujumla?

Ni lini mmeacha kukaa vikao vya pamoja ili kuyajenga kama viongozi wa dini?

Mungu mnayetuhubiria, si mnatwambia ni mwenye kupenda Amani kwa watu wote?

Mbona mnaanza kuchokonoana?

Hapo kuna Mungu tena hapo au njaa zenu?

Hamtatuingiza kwenye mitego yenu isiyo na faida wala maana

Mambo yenu myamalize nyinyi kwa nyinyi

Na Serikali imalize mambo yake kwa namna iwezavyo ili nchi yetu iwe ni nchi ya haki, amani na utulivu!
 
Nyinyi mmekuwa sababu ya nchi nyingi balani Africa kukosa Amani kwa uchochezi wenu na kuingiza waumini wenu kwenye vita vya kidini huku nyinyi mkiendelea kuishi kwa raha na kwa Amani tele na familia zenu

Kwa Tanzania mtasubili sana kwa uchonganishi wenu

Tutawapuuza na tumewapuuza

Hamuwezi kutuingiza kwenye vita vya kijinga ilihali nyinyi mkitafuna swadaka zetu

Uchochezi uliopo leo ni wa kipuuzi sana na kila mtu anajua kwamba, hakuna ulazima wa nyinyi kulumbana zaidi ya kutumia hekima zenu mkaitana ili kuyajenga yakaisha na serikali ikatumia mbinu zake kuyajenga na wananchi wake ili yaishe

Unapowatukana na kuwasema TEC, Je, kuna mahali wewe wamekutukana au kukusema?

Huu sio uchonganishi kwa waumini wenu na Watanzania kwa ujumla?

Ni lini mmeacha kukaa vikao vya pamoja ili kuyajenga kama viongozi wa dini?

Mungu mnayetuhubiria, si mnatwambia ni mwenye kupenda Amani kwa watu wote?

Mbona mnaanza kuchokonoana?

Hapo kuna Mungu tena hapo au njaa zenu?

Hamtatuingiza kwenye mitego yenu isiyo na faida wala maana

Mambo yenu myamalize nyinyi kwa nyinyi

Na Serikali imalize mambo yake kwa namna iwezavyo ili nchi yetu iwe ni nchi ya haki, amani na utulivu!
Ungemalizia tu masheikh ndio wanao tafuta chokochoko maana nyaraka za TEC zinaelekezwa kwa serikali cha ajabu wao wanajifanya wanazijibu utadhani ndio wasemaji wa serikali ,hawa wakitembelewa 9D watasema ni wakatoliki wakati wao wenyewe wanatengeneza ugomvi ,nacho shukuru TEC wastaarabu na waruluvu wangekuwa kama hawa malopolopo wa kobaz nadhan tungesha anza kushikana hapa
 
Back
Top Bottom