Kati ya kalenda na biblia kipi kilitangulia?

Feb 18, 2017
63
62
Kumekuwa na utata mwingi kuhusu siku maalum hasa kwa ibada pale unapokutana na watu wanaosema sabato ni Jumapili na wengine wakisema ni Jumamosi na wote wakiwa sababu zinazowafanya waamini katika hizo siku.

Pia masuala mbali mbali ikiwemo sikukuu zetu (mfano sikukuu ya Christmas ambayo huwa tunasema ni siku ya kuzaliwa Yesu Kristo na ndio siku wakristo tulipoanza kuhesabu mwaka).

Kama ilikuwa ndio siku ya kwanza inakuwaje Christmas isiwe tarehe moja bali 25? Kumekuwa na utata mwingi katika mpangilio wa kikalenda unaofanya biblia ni kalenda yetu kukinzana kwenye vitu vingi.

Msaada kwa mwenye ujuzi juu ya haya mambo.
 
hakuna siku maalum ya kufanya ibada halafu siku zingine ufanye dhambi, kila siku ni siku ya ibada. Uwe wa ijumaa, jumamosi au jumapili nadhani wote tunamwabudu Mungu yuleyule japo kwa njia tofauti. Dini zenyewe utata mtupu huwezi ukiwaza sana huwezi kujua ni ipi yakweli, ipi siyo ya kweli au zote sio za kweli. Kikubwa wewe bakia na Mungu wako haijalishi unafanya ibada jumatatu.

Ubarikiwe sana
 
Kumekuwa na utata mwingi kuhusu siku maalum hasa kwa ibada pale unapokutana na watu wanaosema sabato ni Jumapili na wengine wakisema ni Jumamosi na wote wakiwa sababu zinazowafanya waamini katika hizo siku.

Pia masuala mbali mbali ikiwemo sikukuu zetu (mfano sikukuu ya Christmas ambayo huwa tunasema ni siku ya kuzaliwa Yesu Kristo na ndio siku wakristo tulipoanza kuhesabu mwaka).

Kama ilikuwa ndio siku ya kwanza inakuwaje Christmas isiwe tarehe moja bali 25? Kumekuwa na utata mwingi katika mpangilio wa kikalenda unaofanya biblia ni kalenda yetu kukinzana kwenye vitu vingi.

Msaada kwa mwenye ujuzi juu ya haya mambo.
Ndugu briophyta plantae kwa kweli ukitaka kujua haya mambo mtafute mwalimu ambaye utaamini atakupa elimu unayotaka, la si hivyo hapa kwenye JF utachanganyikiwa, kwani unaweza kupata mawazo ambayo si tu yatakuchanganya bali yanaweza hata kukukatisha tamaa katika imani yako, hivyo kwa jambo la kidini bora uonane ana kwa ana mwalimu ambaye utaweza kumuuliza na kukupa majibu ya maswali yako, huo ni ushari tu.
 
hakuna siku maalum ya kufanya ibada halafu siku zingine ufanye dhambi, kila siku ni siku ya ibada. Uwe wa ijumaa, jumamosi au jumapili nadhani wote tunamwabudu Mungu yuleyule japo kwa njia tofauti. Dini zenyewe utata mtupu huwezi ukiwaza sana huwezi kujua ni ipi yakweli, ipi siyo ya kweli au zote sio za kweli. Kikubwa wewe bakia na Mungu wako haijalishi unafanya ibada jumatatu.

Ubarikiwe sana
short and clear
 
hakuna siku maalum ya kufanya ibada halafu siku zingine ufanye dhambi, kila siku ni siku ya ibada. Uwe wa ijumaa, jumamosi au jumapili nadhani wote tunamwabudu Mungu yuleyule japo kwa njia tofauti. Dini zenyewe utata mtupu huwezi ukiwaza sana huwezi kujua ni ipi yakweli, ipi siyo ya kweli au zote sio za kweli. Kikubwa wewe bakia na Mungu wako haijalishi unafanya ibada jumatatu.

Ubarikiwe sana
hujatoa majibu hapo
 
Ndugu briophyta plantae kwa kweli ukitaka kujua haya mambo mtafute mwalimu ambaye utaamini atakupa elimu unayotaka, la si hivyo hapa kwenye JF utachanganyikiwa, kwani unaweza kupata mawazo ambayo si tu yatakuchanganya bali yanaweza hata kukukatisha tamaa katika imani yako, hivyo kwa jambo la kidini bora uonane ana kwa ana mwalimu ambaye utaweza kumuuliza na kukupa majibu ya maswali yako, huo ni ushari tu.
hakuna mwenye majawabu hata huyo mwalimu atatumi hekima zake tu not maandiko
 
Mungu wakati anaumba dunia kwa mujibu wa maandiko ya biblia alikuwa akisema hivi. Aliumba mbingu na nchi, ikawa jioni ikawa asubuhi siku moja. Akaendelea kuumba mpaka siku ya sita. Siku ya 7 akapumzika.

Sasa tuje kwenye siku za kufanya ibada kwa imani ya Islam ni ijumaa. Wengi wa wakikristu ni jumapili. Wasabato wanasali siku ya jumamosi. Je kwa kalenda yetu tunayoanza siku inaanza lini? Inaanza jumamosi. Yaani siku ya kwanza. Jumamosi, jumapili,jumatatu,jumanne,jumatano Alhamisi na siku ya mwisho ni ijumaa. Kama tutafuata kalenda basi inaonyesha Mungu alipumzika siku ya ijumaa.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kalenda ya kiswahili yaani mosi ni 1
Pili ni 2 lkn mwisho ni 5 alhamis nayo ni 6 kwa kihehe labda na ijumaa ni 7 kwa kizaramo
Mungu wakati anaumba dunia kwa mujibu wa maandiko ya biblia alikuwa akisema hivi. Aliumba mbingu na nchi, ikawa jioni ikawa asubuhi siku moja. Akaendelea kuumba mpaka siku ya sita. Siku ya 7 akapumzika.

Sasa tuje kwenye siku za kufanya ibada kwa imani ya Islam ni ijumaa. Wengi wa wakikristu ni jumapili. Wasabato wanasali siku ya jumamosi. Je kwa kalenda yetu tunayoanza siku inaanza lini? Inaanza jumamosi. Yaani siku ya kwanza. Jumamosi, jumapili,jumatatu,jumanne,jumatano Alhamisi na siku ya mwisho ni ijumaa. Kama tutafuata kalenda basi inaonyesha Mungu alipumzika siku ya ijumaa.



Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom