Salam, Shalom!!
Ni Kweli, Yesu alituagiza kuwa "Tusiache kukusanyika" wapi alisema tukusanyike Jumapili kama siku kuu ya IBADA badala ya Jumamosi iliyovyokuwa awali?
Ibada na kutafakari neno la Mungu ni muda wote, mchana na usiku,
Na Ibada Takatifu ni Ile ifanyikayo katika Roho na Kweli, hivyo muda wowote waweza kuwa Ibada.
Na Mungu hufanya KAZI muda wote, hata sasa afanya KAZI, hivyo kuabudu Siku Kwa kujiita wasabato Si sawa!!
Mungu anakuuliza Ewe Mkristo kupitia thread hii, ni nani aliyekwambia kukusanyika Jumapili kama siku kuu ya ibada takatifu badala ya Jumamosi?
Ukiulizwa andiko utalitoa wapi?
Ni nani aliyebadili siku kuu ya kukusanyika Kwa Ibada Kutoka Siku ya Saba ya juma, kwenda siku ya kwanza ya juma,jumapili?
Ni nani aliyekuagiza kusherehekea sikukuu ya Christmas tarehe 25 DECEMBER?
Unalo andiko?
Ni maagizo ya Roho mtakatifu kufanya mambo hayo?
NB: Mkristo aulizwaye swali hili ni yule aliyeokoka, aliyebatizwa Kwa maji mengi na Kwa Moto wa Roho Mtakatifu, yule aaminiye juu ya karama Tano, unabii ukiwemo, aaminiye juu ya kunena Kwa lugha, aliyefunguliwa macho ya Rohoni na kuisikia sauti ya Roho mtakatifu wazi WAZI.
ANGALIZO; Hii Si mada kuhusu Ukristo kama DINI, Bali Ukristo kama IMANI juu ya Yesu Kristo na maisha matakatifu.
Askofu Kilaini amebainisha wazi alipofanya mahojiano na DW kuhusu utata wa papa kubariki mashoga, ametanabaisha kuwa, Jumapili imeanzishwa mwaka wa 300 AD kuendelea sikukuu ya kumuabudu mungu jua.
SOURCE: OLE... MNAOTETEA JOKA KUABUDU JUMAPILI- UTUBE VIDEO, UNYAKUO TV.
Karibuni.🙏
Ni Kweli, Yesu alituagiza kuwa "Tusiache kukusanyika" wapi alisema tukusanyike Jumapili kama siku kuu ya IBADA badala ya Jumamosi iliyovyokuwa awali?
Ibada na kutafakari neno la Mungu ni muda wote, mchana na usiku,
Na Ibada Takatifu ni Ile ifanyikayo katika Roho na Kweli, hivyo muda wowote waweza kuwa Ibada.
Na Mungu hufanya KAZI muda wote, hata sasa afanya KAZI, hivyo kuabudu Siku Kwa kujiita wasabato Si sawa!!
Mungu anakuuliza Ewe Mkristo kupitia thread hii, ni nani aliyekwambia kukusanyika Jumapili kama siku kuu ya ibada takatifu badala ya Jumamosi?
Ukiulizwa andiko utalitoa wapi?
Ni nani aliyebadili siku kuu ya kukusanyika Kwa Ibada Kutoka Siku ya Saba ya juma, kwenda siku ya kwanza ya juma,jumapili?
Ni nani aliyekuagiza kusherehekea sikukuu ya Christmas tarehe 25 DECEMBER?
Unalo andiko?
Ni maagizo ya Roho mtakatifu kufanya mambo hayo?
NB: Mkristo aulizwaye swali hili ni yule aliyeokoka, aliyebatizwa Kwa maji mengi na Kwa Moto wa Roho Mtakatifu, yule aaminiye juu ya karama Tano, unabii ukiwemo, aaminiye juu ya kunena Kwa lugha, aliyefunguliwa macho ya Rohoni na kuisikia sauti ya Roho mtakatifu wazi WAZI.
ANGALIZO; Hii Si mada kuhusu Ukristo kama DINI, Bali Ukristo kama IMANI juu ya Yesu Kristo na maisha matakatifu.
Askofu Kilaini amebainisha wazi alipofanya mahojiano na DW kuhusu utata wa papa kubariki mashoga, ametanabaisha kuwa, Jumapili imeanzishwa mwaka wa 300 AD kuendelea sikukuu ya kumuabudu mungu jua.
SOURCE: OLE... MNAOTETEA JOKA KUABUDU JUMAPILI- UTUBE VIDEO, UNYAKUO TV.
Karibuni.🙏