Tanzania Tech
JF-Expert Member
- Dec 8, 2016
- 355
- 276
Habari wana JF Kama wewe ni mfuatiliaji wa maswala haya ya teknolojia najua utakuwa unajua kuwa leo kampuni ya Huawei imezindua simu mpya ya Huawei P30 na P30 Pro. Lakni moja kati ya simu bora kati ya Hizi ni P30 Pro ambayo inakuja na sifa bora sana.
Baadhi ya sifa za simu hii ni pamoja na Kamera nne kwa nyuma za MP 40, MP 20, MP 8 na kamera ya mwisho hii ni TOF 3D Camera. Simu hii inakuja na RAM ya GB 6 au GB 8 pamoja na ukubwa wa ROM wa GB 128, GB 256 na GB 512. kujua zaidi kuhusu simu hii angalia video hapo chini.
Kama unataka kulinganisha ipi ni bora kati ya simu hizi unaweza kuangalia video hapo chini ya Samsung Galaxy S10 Plus.
Baadhi ya sifa za simu hii ni pamoja na Kamera nne kwa nyuma za MP 40, MP 20, MP 8 na kamera ya mwisho hii ni TOF 3D Camera. Simu hii inakuja na RAM ya GB 6 au GB 8 pamoja na ukubwa wa ROM wa GB 128, GB 256 na GB 512. kujua zaidi kuhusu simu hii angalia video hapo chini.
Kama unataka kulinganisha ipi ni bora kati ya simu hizi unaweza kuangalia video hapo chini ya Samsung Galaxy S10 Plus.