mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,420
- 17,735
1:Anamtegemea Mungu katika kazi zake zote 100%...
2:Anategemea waganga na madawa 100% katika shughuli zake za kujitafutia kipato...
3:Anachanganya Mungu 50% na waganga 50% katika shughuli zake za kutafuta...
4:Hategemei kati ya viwili vya mwazo, yeye anategemea juhudi, ubunifu na maarifa tu...
wakina nani mitaani kwet tukiacha zile stori za kwenye "GET RICH QUICK BOOKS"
2:Anategemea waganga na madawa 100% katika shughuli zake za kujitafutia kipato...
3:Anachanganya Mungu 50% na waganga 50% katika shughuli zake za kutafuta...
4:Hategemei kati ya viwili vya mwazo, yeye anategemea juhudi, ubunifu na maarifa tu...
wakina nani mitaani kwet tukiacha zile stori za kwenye "GET RICH QUICK BOOKS"